Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Ukisoma kitabu cha Ayubu 1: 6 - 9
Ayubu 1: 7-9
[7]BWANA akamwuliza Shetani, Umetoka wapi wewe? Ndipo Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Natoka katika kuzunguka-zunguka duniani, na katika kutembea huku na huku humo.
[8]Kisha BWANA akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu.
[9]Ndipo Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Je! Huyo Ayubu yuamcha BWANA bure?
Mimi napenda kufikiria nje ya boksi.. ukiangalia hii communication pattern kati ya Shetani na Mungu, mbona ipo ki friendly sana?
Yaani ni kama pande mbili ambazo zinaelewana sana tu na huwa zinawasiliana kila siku..
Kwa hiyo communication pattern, hivi kweli Mungu na Shetani wana bifu kali kiasi hicho? au wana same mission ya kumfanya mwanadamu azidi kuwa mtii kwa Mungu?
Ayubu 1: 7-9
[7]BWANA akamwuliza Shetani, Umetoka wapi wewe? Ndipo Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Natoka katika kuzunguka-zunguka duniani, na katika kutembea huku na huku humo.
[8]Kisha BWANA akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu.
[9]Ndipo Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Je! Huyo Ayubu yuamcha BWANA bure?
Mimi napenda kufikiria nje ya boksi.. ukiangalia hii communication pattern kati ya Shetani na Mungu, mbona ipo ki friendly sana?
Yaani ni kama pande mbili ambazo zinaelewana sana tu na huwa zinawasiliana kila siku..
Kwa hiyo communication pattern, hivi kweli Mungu na Shetani wana bifu kali kiasi hicho? au wana same mission ya kumfanya mwanadamu azidi kuwa mtii kwa Mungu?