Hivi Mungu na Shetani bado wanawasiliana?

Hivi Mungu na Shetani bado wanawasiliana?

Tangu lini jinni akawa malaika!?..hiyo ni sawa na kudai mbuzi hubadilika kuwa punda
Si ndo hayo majini yenu mnayoyafuga baadaye yanabadilika na kuwa popobawa nakuanza kuwafumuamarynder
Yani nyie wote mnabishania vitu msivovijua, ila mnasikia story na kusoma vitabu.
Vitu vya kufikirika
Kwahyo wote mpo sahihi na wote hampo sahihi...Maana hivo vitu havipo
 
Unbreakable chain..like umbilical chord
Ila ukisoma vizuri Ayubu 1 na Ayubu 2 ni kama vile Mungu alikuwa anamuamini sana Shetani kama mmoja wa watumishi wake..

Ila upande wa pili nimegundua shetani alikuwa ni kama mtu mwenye fitna, wivu, na uwongo.

Kwa sababu pale sura ya pili kuna sehemu Mungu alisema

Ayubu 2:3

[3]BWANA akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu; naye hata sasa anashikamana na utimilifu wake, ujapokuwa ulinichochea juu yake, ili nimwangamize pasipokuwa na sababu.
 
Ila kipindi kile cha Japheth n, shedrack na Abednego walipotupwa kwenye tanuru ya moto yule malaika wa nne aliteonekana alikuwa mwamba mwenyewe Yesu.

Unaambiwa Gabriel alitumwa Kwanza kwenda kuwaokoa shetani akamzuia njiani Kwa kumshushia kibano kikali hakarudi mbinguni hoi akamuambia Mungu ngoma kali.

Mwamba mikaeli Yesu mwenyewe aksema tu thisbulsh akaamua kushuka. Unaambiwa nusu sekunde tu alishafika kwa akina shedrack huku akimtembezea shetani na malaika zake mkong'oto wa haja na wa aina yake.
Hiv huwa mnaamini hizi stori za kipumbavu
 
Mwanzo shetani alikuwa na uhuru pia nafasi ya kutubu ndiyo maana unaona alikuwa anajihuzulisha mbele za Bwana lakini jambo hilo lilikoma tu pale Yesu alipokufa msalabani, Hakuna nafasi tena ya shetani ya mazungumzo na Bwana
 
Ila shetani bana mjanja mjanja sana. Yani alimpiga saundi Hawa hadi akamgonga.
Ukisoma Ayubu 2:3 unagundua kwamba shetani alikuwa na uwezo wa kumdanganya mpaka Mungu mwenyewe..

Ayubu 2:3
[3]BWANA akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu; naye hata sasa anashikamana na utimilifu wake, ujapokuwa ulinichochea juu yake, ili nimwangamize pasipokuwa na sababu.
 
Ila kipindi kile cha Japheth n, shedrack na Abednego walipotupwa kwenye tanuru ya moto yule malaika wa nne aliteonekana alikuwa mwamba mwenyewe Yesu.

Unaambiwa Gabriel alitumwa Kwanza kwenda kuwaokoa shetani akamzuia njiani Kwa kumshushia kibano kikali hakarudi mbinguni hoi akamuambia Mungu ngoma kali.

Mwamba mikaeli Yesu mwenyewe aksema tu thisbulsh akaamua kushuka. Unaambiwa nusu sekunde tu alishafika kwa akina shedrack huku akimtembezea shetani na malaika zake mkong'oto wa haja na wa aina yake.
Ila ukisoma sana biblia between the lines... unaona kwamba Shetani kiumbe chenye uwezo mkubwa sana...

Napenda niendelee ku base n kitabu cha Ayubu 1 na 2, pamoja na yote hayo.. nimegundua kwamba pia mafanikio ya mtu yanatoka kwa Mungu ikiwa ni pamoja na utajiri... na uharibifu unatoka kwa shetani.

Ayubu 1:9-10
[9]Ndipo Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Je! Huyo Ayubu yuamcha BWANA bure?
[10]Wewe hukumzingira kwa ukigo pande zote, pamoja na nyumba yake, na vitu vyote alivyo navyo? Kazi za mikono yake umezibarikia, nayo mali yake imeongezeka katika nchi.

Ayubu 1:12
[12]BWANA akamwambia Shetani, Tazama, yote aliyo nayo yamo katika uwezo wako; lakini usinyoshe mkono wako juu yake yeye mwenyewe. Basi Shetani akatoka mbele za uso wa BWANA.
 
Hiv huwa mnaamini hizi stori za kipumbavu
Yani unaambiwa Mwamba Yesu alivyokuwa anashuka kuwaokoa akina shedrack njiani alikuwa anatembeza mkong'oto wa haja na wa aina yake. Shetani alitimua vumbi shetani ni muoga sana ukimjulia. Ndo maana ukiwa na Yesu ana keep a very big distance anajua vizuri moto wake

Pia siku ile Mwamba Yesu alivyofufuka unaambiwa wale waliobeba jiwe kubwa kufunika kaburi walikuwa shetani na malaika zake shetani. Binadamu wa kawaida wasingeweza kubeba lile jiwe kwasababu lilikuwa zito na kubwa.

Na walikesha siku tatu mfululizo kulinda kaburi na kusubiri kweli atafufuka?

Ilipofika jumapili morning Kali Mwamba akaamka na kupiga lile jiwe teke na kuanza kuwatembezea mkono nje kabla ya kupaa kwa baba yake.

Shetani unaambiwa alichomoka balaa huku haamini akilia na kulaani damn binadamu kakombolewa.
 
Amna walizinguana pale alipomnyima yesu mikate mlimani.
Sagodi alisusa...shetty akasema isiwe kesi mi ntamsulubu yesu.
Yesu msalabani nae akatemwa na mshua wake.
Huyu mshua anasusa sana.
Ila lakini mbona hata ukisoma hichi kitabu cha Ayubu inaonesha Shetani alikuwa ni kiumbe mnafiki, mwingo na mfitinishaji?

Ayubu 2:3
[3]BWANA akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu; naye hata sasa anashikamana na utimilifu wake, ujapokuwa ulinichochea juu yake, ili nimwangamize pasipokuwa na sababu.
 
Ila lakini mbona hata ukisoma hichi kitabu cha Ayubu inaonesha Shetani alikuwa ni kiumbe mnafiki, mwingo na mfitinishaji?

Ayubu 2:3
[3]BWANA akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu; naye hata sasa anashikamana na utimilifu wake, ujapokuwa ulinichochea juu yake, ili nimwangamize pasipokuwa na sababu.
Kwahyo mungu nayeye anachochewa? Inamaana kuna vitu mungu hajui mpaka aletewe taarifa?
 
Ukisoma kitabu cha Ayubu 1: 6 - 9
Ayubu 1: 7-9

[7]BWANA akamwuliza Shetani, Umetoka wapi wewe? Ndipo Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Natoka katika kuzunguka-zunguka duniani, na katika kutembea huku na huku humo.

[8]Kisha BWANA akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu.

[9]Ndipo Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Je! Huyo Ayubu yuamcha BWANA bure?

Mimi napenda kufikiria nje ya boksi.. ukiangalia hii communication pattern kati ya Shetani na Mungu, mbona ipo ki friendly sana?

Yaani ni kama pande mbili ambazo zinaelewana sana tu na huwa zinawasiliana kila siku..

Kwa hiyo communication pattern, hivi kweli Mungu na Shetani wana bifu kali kiasi hicho? au wana same mission ya kumfanya mwanadamu azidi kuwa mtii kwa Mungu?
Bwana alimuuliza shetani umetoka wapi??? Inamaana si mjuzi wa yote???
 
Ila ukisoma vizuri Ayubu 1 na Ayubu 2 ni kama vile Mungu alikuwa anamuamini sana Shetani kama mmoja wa watumishi wake..

Ila upande wa pili nimegundua shetani alikuwa ni kama mtu mwenye fitna, wivu, na uwongo.

Kwa sababu pale sura ya pili kuna sehemu Mungu alisema

Ayubu 2:3

[3]BWANA akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu; naye hata sasa anashikamana na utimilifu wake, ujapokuwa ulinichochea juu yake, ili nimwangamize pasipokuwa na sababu.
Shetani mpaka kesho ana wivu wa kutaka kurudi mbinguni akachukue cheo chake ndio maana vita yake kubwa ni kwa wale wanaomtii Mungu na kuziishi amri zake
 
Shetani mpaka kesho ana wivu wa kutaka kurudi mbinguni akachukue cheo chake ndio maana vita yake kubwa ni kwa wale wanaomtii Mungu na kuziishi amri zake
Wanatheolojia na wakufunzi wanadai endapo Yesu angeingia mkenge na kufanya mistake na kubadilisha yale mawe kuwa mkate alipojaribiwa na shetani basi binadamu tusingekombolewa tungepotea mazima. Mwamba kusema kweli ule mtihani alijitahidi sana.
 
Shetani anakuaje na malaika!!?..shigongo mwandishi mzuri kuliko waandishi wa bible
Vipi umemaliza kucheza na majini hapo masjid?

Shetani alifukuzwa mbinguni yeye na theluthi ya malaika walioamua kumfuata na ndio hao wanaitwa malaika zake.
 
Back
Top Bottom