Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
Maandiko yako wazi ukisoma kwa kutafakari.Swali fikirishi sana sijui ulikuwa unawaza nini mpka kufikia kuandika hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandiko yako wazi ukisoma kwa kutafakari.Swali fikirishi sana sijui ulikuwa unawaza nini mpka kufikia kuandika hivyo
Jiulize chadema na ccm mbowe atatoka gerezani lakini anaoga fasta kwenda ikulu ...
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Yani unaambiwa Mwamba Yesu alivyokuwa anashuka kuwaokoa akina shedrack njiani alikuwa anatembeza mkong'oto wa haja na wa aina yake. Shetani alitimua vumbi shetani ni muoga sana ukimjulia. Ndo maana ukiwa na Yesu ana keep a very big distance anajua vizuri moto wake
Pia siku ile Mwamba Yesu alivyofufuka unaambiwa wale waliobeba jiwe kubwa kufunika kaburi walikuwa shetani na malaika zake shetani. Binadamu wa kawaida wasingeweza kubeba lile jiwe kwasababu lilikuwa zito na kubwa.
Na walikesha siku tatu mfululizo kulinda kaburi na kusubiri kweli atafufuka?
Ilipofika jumapili morning Kali Mwamba akaamka na kupiga lile jiwe teke na kuanza kuwatembezea mkono nje kabla ya kupaa kwa baba yake.
Shetani unaambiwa alichomoka balaa huku haamini akilia na kulaani damn binadamu kakombolewa.
Sasa kama shetani na Mungu hawana bifu... ni kwanini sasa shetani atake mwanadamu apotee?Mungu na shetani hawana bifu, shetani ni kiumbe wa Mungu. Bosi ni mmoja tu hapo. Shetani ndio alichagua kukaidi amri ya Mungu akapokea malipo yake, lakini sio kwamba kuna nguvu mbili zinavutana, hapana. Bali sisi wanadamu pia tulichagua kukaidi amri ya Mungu (Adam na Hawa) hivyo kuingia kwenye mamlaka ya shetani. Mungu anatusihi turejee kwake ili tuishi kwa kadiri ya kusudi lake. Shetani hakumwumba mwanadamu hivyo hana mpango wowote wa baadaye kwake zaidi ya kumtakia uangamivu
Bado inafikirisha kwanini muda huu shetani anasubiri hukumu hadhibitiwi? Maana hata katika milki zetu za kibinadamu mtu anayesubiri hukumu akivunja masharti ya dhamana hutupwa mahabusu hadi hukumu yake, kwanini shetani hadhibitiwi anaachwa tu? Huoni anapendelea kwa hasara yetu binadamuExactly, Shetani anasubiri tu hukumu yake kwa sasa ndio maana anazidi kuivuruga dunia kuchochea mambo yasiyo ya kimaadili na mambo mengine mengi mabaya ili siku atajapokuja kuhukumiwa aende na wengi
Ana hasira kinyama mbwa yule
Wewe huja elewa aliposema shetani anawezaje kuwa malaika? Ni hivi katika Uislamu shetani sio malaika, shetani ni moja ya majini ama viumbe waliokumbwa kwa moto na malaika wameumbwa na nuru na kwamba shetani kama angekuwa malaika asingesalitiVipi umemaliza kucheza na majini hapo masjid?
Shetani alifukuzwa mbinguni yeye na theluthi ya malaika walioamua kumfuata na ndio hao wanaitwa malaika zake.
Shetani anatafuta kuharibu uumbaji wa Mungu, lakini Mungu hana cha kuharibu kwa shetani kwa sababu vyote ni mali yake. Hakuna kitu chochote alichoumba shetani.Sasa kama shetani na Mungu hawana bifu... ni kwanini sasa shetani atake mwanadamu apotee?