Hivi Mungu na Shetani bado wanawasiliana?

Hivi Mungu na Shetani bado wanawasiliana?

Ukisoma kitabu cha Ayubu 1: 6 - 9
Ayubu 1: 7-9

[7]BWANA akamwuliza Shetani, Umetoka wapi wewe? Ndipo Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Natoka katika kuzunguka-zunguka duniani, na katika kutembea huku na huku humo.

[8]Kisha BWANA akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu.

[9]Ndipo Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Je! Huyo Ayubu yuamcha BWANA bure?

Mimi napenda kufikiria nje ya boksi.. ukiangalia hii communication pattern kati ya Shetani na Mungu, mbona ipo ki friendly sana?

Yaani ni kama pande mbili ambazo zinaelewana sana tu na huwa zinawasiliana kila siku..

Kwa hiyo communication pattern, hivi kweli Mungu na Shetani wana bifu kali kiasi hicho? au wana same mission ya kumfanya mwanadamu azidi kuwa mtii kwa Mungu?
Stori za kutunga lazima ziwe na mambo mengi ya kujichanganya na kutoeleweka.
 
Kuna mwanatheolojia flan na mkufunzi anayeheshimika anasema wale waliokuwa wanasema asulubiwe asulubiwe walikuwa malaika wa shetani waliojibadilisha. Yani shetani alidhamiria kabisa tusipate wokovu.

Really humanity should be very very grateful to Jesus. Without him we would have perished forever. But now we have the gift of life and a chance to live forever if we repent and accept Jesus as our Lord and savior.

Jesus first Jesus Forever
 
Kuna mwanatheolojia flan na mkufunzi anayeheshimika anasema wale waliokuwa wanasema asulubiwe asulubiwe walikuwa malaika wa shetani waliojibadilisha. Yani shetani alidhamiria kabisa tusipate wokovu.

Really humanity should be very very grateful to Jesus. Without him we would have perished forever. But now we have the gift of life and a chance to live forever if we repent and accept Jesus as our Lord and savior.

Jesus first Jesus Forever
It make sense... kuna ka ukweli kwamba inawezekana shetani aliwavaa baadhi ya watu kushadadia Yesu asulubiwe
 
Ili kuelewa kitabu Cha Ayubu vizuri, lazima ufahamu classification of the Bible. Kitabu Cha Ayubu kipo kwenye class ya poetic books, yani vitabu vya sanaa Kama nipo sahihi. Yani vitabu vilivyoandikwa kwa Lugha ya ushairi, falsafa, nyimbo, tamthilia au lugha ya kificho.

Kitabu Cha Ayubu kimeandikwa katika mfano wa Tamthilia. Ndio maana unakuta Ayubu anaongea, akimaliza anakuja mke wake anaongea akimaliza anakuja rafiki zake wanaongea.
 
Shetani mpaka kesho ana wivu wa kutaka kurudi mbinguni akachukue cheo chake ndio maana vita yake kubwa ni kwa wale wanaomtii Mungu na kuziishi amri zake
Exactly, Shetani anasubiri tu hukumu yake kwa sasa ndio maana anazidi kuivuruga dunia kuchochea mambo yasiyo ya kimaadili na mambo mengine mengi mabaya ili siku atajapokuja kuhukumiwa aende na wengi

Ana hasira kinyama mbwa yule
 
Kuna mwanatheolojia flan na mkufunzi anayeheshimika anasema wale waliokuwa wanasema asulubiwe asulubiwe walikuwa malaika wa shetani waliojibadilisha. Yani shetani alidhamiria kabisa tusipate wokovu.

Really humanity should be very very grateful to Jesus. Without him we would have perished forever. But now we have the gift of life and a chance to live forever if we repent and accept Jesus as our Lord and savior.

Jesus first Jesus Forever
Walikuwa ni watu halisi Biblia inawataja ni Wayahudi na viongozi wa Kiroma wakahalalisha kuuawa kwa Yesu
 
Ila ukisoma vizuri Ayubu 1 na Ayubu 2 ni kama vile Mungu alikuwa anamuamini sana Shetani kama mmoja wa watumishi wake..

Ila upande wa pili nimegundua shetani alikuwa ni kama mtu mwenye fitna, wivu, na uwongo.

Kwa sababu pale sura ya pili kuna sehemu Mungu alisema

Ayubu 2:3

[3]BWANA akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu; naye hata sasa anashikamana na utimilifu wake, ujapokuwa ulinichochea juu yake, ili nimwangamize pasipokuwa na sababu.
Hapo mwanzo Shetani alikuwa ni malaika mzuri tu aliyeumbwa na Mungu.

Baadaye akawa mwasi na akawa mpinzani wa Mungu alitaka wanadamu wamwabudu yeye badala ya Mungu

Ndio maana jina SHETANI linamaanisha MWASI na IBILISI linamaanisha MPINZANI
 
Ukisoma kitabu cha Ayubu 1: 6 - 9
Ayubu 1: 7-9

[7]BWANA akamwuliza Shetani, Umetoka wapi wewe? Ndipo Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Natoka katika kuzunguka-zunguka duniani, na katika kutembea huku na huku humo.

[8]Kisha BWANA akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu.

[9]Ndipo Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Je! Huyo Ayubu yuamcha BWANA bure?

Mimi napenda kufikiria nje ya boksi.. ukiangalia hii communication pattern kati ya Shetani na Mungu, mbona ipo ki friendly sana?

Yaani ni kama pande mbili ambazo zinaelewana sana tu na huwa zinawasiliana kila siku..

Kwa hiyo communication pattern, hivi kweli Mungu na Shetani wana bifu kali kiasi hicho? au wana same mission ya kumfanya mwanadamu azidi kuwa mtii kwa Mungu?
Walikuwa wakiwasiliana, lakini baada ya Shetani kutupwa kutoka mbinguni kuja duniani kama kitabu cha Ufunuo 12:7-12 kinavyosema Shetani anasubiri hukumu yake ya mwisho hakuna tena mawasiliano

UFUNUO 12:7-12

7. Kisha kulikuwa vita mbinguni. Mikaeli[a] na malaika zake walipigana na joka. Nalo joka na malaika zake wakapigana na Mikaeli pamoja na malaika zake,

8. lakini joka na malaika zake hawakuwa na nguvu za kutosha kushinda, na hivyo wakapoteza nafasi zao mbinguni.

9. Likatupwa chini kutoka mbinguni. (Joka hili kubwa ni nyoka yule wa zamani, aitwaye Ibilisi au Shetani, anayeudanganya ulimwengu wote.) Joka na malaika zake walitupwa duniani.

10. Kisha nilisikia sauti kubwa mbinguni ikisema:

“Ushindi na uweza na ufalme wa Mungu wetu
na mamlaka ya Masihi wake umekuja sasa,
kwa sababu mshitaki wa kaka na dada zetu
ametupwa chini.
Ndiye aliyewashitaki kwa Mungu,
mchana na usiku.

11. Walimshinda kwa sadaka ya damu ya Mwanakondoo
na kwa ujumbe wa Mungu waliowaambia watu.
Hawakuyapenda maisha yao sana.
Hawakuogopa kifo.

12. Hivyo furahi, ewe mbingu
na wote waishio humo!
Lakini ole kwa nchi na bahari,
kwa sababu Ibilisi ameshuka kwako.
Amejaa ghadhabu.
Anajua ana muda mchache.
 
Ila kipindi kile cha Japheth, shedrack na Abednego walipotupwa kwenye tanuru ya moto yule malaika wa nne aliyeonekana alikuwa mwamba mwenyewe Yesu.

Unaambiwa Gabriel alitumwa Kwanza kwenda kuwaokoa shetani akamzuia njiani Kwa kumshushia kibano kikali hakarudi mbinguni hoi akamuambia Mungu ngoma kali.

Mwamba Mikaeli Yesu mwenyewe akasema tu thisbulsh akaamua kushuka. Unaambiwa nusu sekunde tu alishafika kwa akina shedrack huku akimtembezea shetani na malaika zake mkong'oto wa haja na wa aina yake.
Wewe hii hadithi umeitoa wapi?
 
Mpaka sasa shetani ashashinda

Ova
Siku zake zinahesabika tu UFUNUO 12:12 inasema

"Shetani amekuja kwenu akiwa amejaa ghadhabu, kwa maana anajua kuwa muda wake ni mfupi!”

Kwa jicho la kibinadamu unaweza kusema mpaka sasa ameshashinda lakini kwa jicho la kiroho jamaa anajua kitakachompata
 
Haikuishia hapo baada ya shetani kuteketeza utajiri wote wa Ayubu, shetani na mungu walikutana tena Mungu akamwambia shetani umeona utiifu wa mja wangu, shetani akasema nyoosha mkono kwenye afya yake kama hata kudhihaki, mungu akamwambia nimekupa mamlaka mfanye chochote uwezacho lakini usichukue uhai wake, (sijako andikobneno kwa neno ni massage ninayoikumbuka). Ukiqngalia hapo ni kama mungu na shetani ni watu wa karibu sana,
Mmm kumbe sijasoma biblia haya suyajui duh
 
Kama mtoa mada alivyoeleeza hapo juu, shetani alipotaka kumfilisi na kumtia magonjwa Ayubu, shetani alienda kwa Mungu kuomba ruhusa na Mungu akatoa ruhusa AKAMWAMBIA amfanyie vitu vyote anavyotaka ila ASIMWUE vivyohivyo kwa wale walio wa Mungu wanaolindwa na nguvu ya MUNGU Shetani ataomba ruhusa pia yakukuweka kwenye majaribu, hivyo inatufundisha haijalishi Nini unapitia mtumainie yeye Kila jaribu Lina mlango wa kutoka kama Ayubu alivyoshinda.
 
Amna walizinguana pale alipomnyima yesu mikate mlimani.
Sagodi alisusa...shetty akasema isiwe kesi mi ntamsulubu yesu.
Yesu msalabani nae akatemwa na mshua wake.
Huyu mshua anasusa sana.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Haikuishia hapo baada ya shetani kuteketeza utajiri wote wa Ayubu, shetani na mungu walikutana tena Mungu akamwambia shetani umeona utiifu wa mja wangu, shetani akasema nyoosha mkono kwenye afya yake kama hata kudhihaki, mungu akamwambia nimekupa mamlaka mfanye chochote uwezacho lakini usichukue uhai wake, (sijako andikobneno kwa neno ni massage ninayoikumbuka). Ukiqngalia hapo ni kama mungu na shetani ni watu wa karibu sana,
Kumbe hawa jamaa ni wana, wana vikao vyao kabisa yani.
 
Back
Top Bottom