inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Malaika hawezi muasi mungu,majinni kaanza kucheza nayo yesu na Leo makanisani ndiyo yamejaa,wanatoana hukoVipi umemaliza kucheza na majini hapo masjid?
Shetani alifukuzwa mbinguni yeye na theluthi ya malaika walioamua kumfuata na ndio hao wanaitwa malaika zake.
Ni kweli kabisa au kule mlimani alipomwambia.... Nisujudie nami nitakupa mamlaka yote ya ulimwenguWanatheolojia na wakufunzi wanadai endapo Yesu angeingia mkenge na kufanya mistake na kubadilisha yale mawe kuwa mkate alipojaribiwa na shetani basi binadamu tusingekombolewa tungepotea mazima. Mwamba kusema kweli ule mtihani alijitahidi sana.
Yaani mungu adanganywe na shetani!!..hivi kwenu mungu ni nini!?..Ukisoma Ayubu 2:3 unagundua kwamba shetani alikuwa na uwezo wa kumdanganya mpaka Mungu mwenyewe..
Ayubu 2:3
[3]BWANA akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu; naye hata sasa anashikamana na utimilifu wake, ujapokuwa ulinichochea juu yake, ili nimwangamize pasipokuwa na sababu.
Ana hasira kinyama mbwa yule[emoji23]Exactly, Shetani anasubiri tu hukumu yake kwa sasa ndio maana anazidi kuivuruga dunia kuchochea mambo yasiyo ya kimaadili na mambo mengine mengi mabaya ili siku atajapokuja kuhukumiwa aende na wengi
Ana hasira kinyama mbwa yule
Ukaribu wa Mungu na shetani hauna tofauti sana na wa shetani na mwanadamu.. Ni kwamba tu Mungu ana nguvu ya kumkemea shetani.. In fact shetani anamuogopa sana MunguHaikuishia hapo baada ya shetani kuteketeza utajiri wote wa Ayubu, shetani na mungu walikutana tena Mungu akamwambia shetani umeona utiifu wa mja wangu, shetani akasema nyoosha mkono kwenye afya yake kama hata kudhihaki, mungu akamwambia nimekupa mamlaka mfanye chochote uwezacho lakini usichukue uhai wake, (sijako andikobneno kwa neno ni massage ninayoikumbuka). Ukiqngalia hapo ni kama mungu na shetani ni watu wa karibu sana,
Hii story inapatikana wapi?Ila kipindi kile cha Japheth, shedrack na Abednego walipotupwa kwenye tanuru ya moto yule malaika wa nne aliyeonekana alikuwa mwamba mwenyewe Yesu...
Ukisoma kitabu cha Ayubu 1: 6 - 9
Ayubu 1: 7-9
[7]BWANA akamwuliza Shetani, Umetoka wapi wewe? Ndipo Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Natoka katika kuzunguka-zunguka duniani, na katika kutembea huku na huku humo.
[8]Kisha BWANA akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu.
[9]Ndipo Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Je! Huyo Ayubu yuamcha BWANA bure?
Mimi napenda kufikiria nje ya boksi.. ukiangalia hii communication pattern kati ya Shetani na Mungu, mbona ipo ki friendly sana?
Yaani ni kama pande mbili ambazo zinaelewana sana tu na huwa zinawasiliana kila siku..
Kwa hiyo communication pattern, hivi kweli Mungu na Shetani wana bifu kali kiasi hicho? au wana same mission ya kumfanya mwanadamu azidi kuwa mtii kwa Mungu?
Hebu nipe Aya ya Qur'an inauobainisha haya usemayoTulia wewee. Mbona wenu alimtuma jamaa ambake na kumnajisi binti wa miaka sita? Na akaona sawa tu.
Dini yako tu huijui unakuja kudandia uislam!!Halafu huyohuyo kabinti alimsumbuaga mtu wenu kichiz. Shia hawampendi balaa. Alikuwa anagongwa nje balaa. Lakini mtu wenu alikufa kwake aambiwi kitu. Walijaribu kumshawish jamaa yenu amteme wapi. Waislam wa Shia hawataki hata kuwaita mabinti zao Aisha. Ni marufuku kwa mwanamke Yeyote wa kishia kuitwa Aisha. UNABISHA??
Dogo jikite kwenye mada iliyopo mezaniSamahani mkuu mleta mada, hivi hilo jina lako "Naantombe" lina maana gani?
Exactly, Shetani anasubiri tu hukumu yake kwa sasa ndio maana anazidi kuivuruga dunia kuchochea mambo yasiyo ya kimaadili na mambo mengine mengi mabaya ili siku atajapokuja kuhukumiwa aende na wengi
Ana hasira kinyama mbwa yule
salamu ya asubuhi kwa kichagaSamahani mkuu mleta mada, hivi hilo jina lako "Naantombe" lina maana gani?
Asante mkuu ntavisoma kama ulivoshauriHii mada ni nzuri sana...ila mmeweka masihara na udini na kashfa ila kwa mkristu ilikua ni mada ya kujifunza kitu cha maana...
Nimesoma vitabu 2 nikaelewa sana biblia
Hv vitabu vimetajwa kwenye biblia ikabidi nivitafute
Ukisoma hv vitabu utaelewa mambo mengi kuhusu shetani,makerubi, YESU,MUNGU Pamoja na maserafi na nguvu zao....
1.soma kitabu cha henoko( book of enoch)
Huyu ni wa saba tokea adam,na ni babu yake nuhu (grand grand father)
2.soma kitabu cha yashari
(Book of Jasher)
Mkisoma hv vitabu,uwe muislam au mkristo mtaacha kukashfiana....maana mtajua MUNGU NI power ya namna gani...
Kama uko serios...nicheki PM Nitakutumia
Oya mkuu unanivunja mbavu.Yani unaambiwa Mwamba Yesu alivyokuwa anashuka kuwaokoa akina shedrack njiani alikuwa anatembeza mkong'oto wa haja na wa aina yake. Shetani alitimua vumbi shetani ni muoga sana ukimjulia. Ndo maana ukiwa na Yesu ana keep a very big distance anajua vizuri moto wake
Pia siku ile Mwamba Yesu alivyofufuka unaambiwa wale waliobeba jiwe kubwa kufunika kaburi walikuwa shetani na malaika zake shetani. Binadamu wa kawaida wasingeweza kubeba lile jiwe kwasababu lilikuwa zito na kubwa.
Na walikesha siku tatu mfululizo kulinda kaburi na kusubiri kweli atafufuka?
Ilipofika jumapili morning Kali Mwamba akaamka na kupiga lile jiwe teke na kuanza kuwatembezea mkono nje kabla ya kupaa kwa baba yake.
Shetani unaambiwa alichomoka balaa huku haamini akilia na kulaani damn binadamu kakombolewa.
Mungu na shetani hawana bifu, shetani ni kiumbe wa Mungu. Bosi ni mmoja tu hapo. Shetani ndio alichagua kukaidi amri ya Mungu akapokea malipo yake, lakini sio kwamba kuna nguvu mbili zinavutana, hapana. Bali sisi wanadamu pia tulichagua kukaidi amri ya Mungu (Adam na Hawa) hivyo kuingia kwenye mamlaka ya shetani. Mungu anatusihi turejee kwake ili tuishi kwa kadiri ya kusudi lake. Shetani hakumwumba mwanadamu hivyo hana mpango wowote wa baadaye kwake zaidi ya kumtakia uangamivuUkisoma kitabu cha Ayubu 1: 6 - 9
Ayubu 1: 7-9
[7]BWANA akamwuliza Shetani, Umetoka wapi wewe? Ndipo Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Natoka katika kuzunguka-zunguka duniani, na katika kutembea huku na huku humo.
[8]Kisha BWANA akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu.
[9]Ndipo Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Je! Huyo Ayubu yuamcha BWANA bure?
Mimi napenda kufikiria nje ya boksi.. ukiangalia hii communication pattern kati ya Shetani na Mungu, mbona ipo ki friendly sana?
Yaani ni kama pande mbili ambazo zinaelewana sana tu na huwa zinawasiliana kila siku..
Kwa hiyo communication pattern, hivi kweli Mungu na Shetani wana bifu kali kiasi hicho? au wana same mission ya kumfanya mwanadamu azidi kuwa mtii kwa Mungu?