Hivi Mungu yupo au ni mipango ya watu kujipatia ajira na pesa?

Usiwe mzembe, Fanya uchunguzi utaujua ukweli, Mungu yupo na anajidhihirisha ukimhitaji, jifunze elimu ya kiroho utajua mengi zaidi
 
Wajinga ni wengi mkuu
ila kuna watu mkuu wanatugeuzaga wengine kama mazombie.
unakuta mtu anajiita profesa wa historia lkn ukimuuliza kwann vita ya kwanza na yapili zilipiganwa majibu anayokupa .moyoni unajisemea sisi bado watumwa.

nimekutoa nje ya mada mkuu.
 
mkuu,
unajua information zote ni muhimu haijalishi za uwongo au kweli.
mkuu ulichokiona uwenda kikawa inspirational kwangu unaweza kushare nijifunze.
Mkuu ntakwambia lakini jambo la msingi ni kuwa Mungu yupo na hajipendekezi kwa mtu yeyote, mtu mwenyewe anapaswa kuchukua hatua ya kwanza na ya dhati ya kumtafuta Mungu kisha Mungu atajifunua kwake, kuwa mtu wa kiroho sio hzo habari za kwenda kanisani, ni uhusiano BINAFSI BAINA YA MTU NA MUUMBA....
 
Usiwe mzembe, Fanya uchunguzi utaujua ukweli, Mungu yupo na anajidhihirisha ukimhitaji, jifunze elimu ya kiroho utajua mengi zaidi
nipo namtafuta mungu wa kweli.
nachimbua kila kona.

mpaka hapa nilipofikia mambo ni tofauti mkuu.

wewe aliwahikujidhihilisha kwako?
au aliwahikujidhilisha kwa watanzania?
 
hakika hiyo point yakunihasa niwe mtu wa kiroho imenigusa.
 
ila kuna watu mkuu wanatugeuzaga wengine kama mazombie.
unakuta mtu anajiita profesa wa historia lkn ukimuuliza kwann vita ya kwanza na yapili zilipiganwa majibu anayokupa .moyoni unajisemea sisi bado watumwa.

nimekutoa nje ya mada mkuu.
Ni hatari sna mkuu kuifanya elimu kama chanzo cha kipato nakuacha kuitafuta elimu ili uelimike .
 
Ogopa hiyo kauli,Tajiri wa Titanic alisema meli yake haitazamishwa hata na Mungu, safari ya kwanza ikazama.

Fikiria shahawa zinakua mtu, mbegu inaota, unavuta hewa free.
📌📌📌
 
Jazak ALLAH Kheyraan 🙏📌📌📌
 
Wewe mwenyewe ni Mungu ndio maana ukimwaga mimba inatunga, umeumbwa kwa mfano wake, mfano namba moja ni kuuendeleza uumbaji wake.
Yah nalitambua hilo mkuu tena kwa mapana yake Buda.
 
😍😍😍
 
AYYAT QURSIYU😍😍😍🤲🤲🤲
 
❤️❤️❤️
 
Unamaanisha kitu kitokee tu from no where…ahaha …..kuna madogo fulani wa kishua wanaamini mchele unatengenezwa kiwandani, nilicheka sanaa…..

Yaani unaamini iPhone imetengeneswa na mtu,ila nature eti imetokea yenyewe…ahaha
Na hapo hapo unaamini Mungu ametokea tu ha ha ha

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Kwema wakuu, kwa hali ilivyo najiuliza je kweli Kuna Mungu au ni business za watu kutufanya mazuzu na kula pesa zetu?
Kwa ufahamu wako binafsi Mungu ni nani, maana isije ikawa unajadili kitu usicho na ufahamu nacho
 
MUNGU yupo!!,,,wa2 wengi wanaamini shetani yupo lakini hawaamini MUNGU yupo....
Unajua shetani n mjanja sana, na ukiangalia vitu vng duniani nikudistract watu kutoka kwa Mungu...
Na ukizingatia yeye niye mtawala wa dunia kwa sasa (1 yohana 5:19)
 
Mungu na dini ni vitu 2 tofauti kabisa.Mungu hana dini ila dini ni michongo ya wenye akili. Mfano kuna yesu wa tongoran kule kenya, baada ya miaka 1000 aman2000 atakuwa na wafuasi dunia nzima huyu and wataamini kabisa kuwa yesu alizaliwa kenya na alikufa akafufuka siku ya tatu ama vyovyote vile ambavyo watakuwa wameaminishwa. Vivyohivyo yesu wa nazaret tunavyoaminishwa sisi kwa sasa.
Mimi naamini katika Mungu mmoja na siamini dini yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…