Ili uelewe nambo haya ni lazima urejee kwenye historia ya wa Israel na utaipata kirahisi kwenye bibilia ,je muisrael ni nani na myahudi ni nani? Israel na Yuda ni tofauti?taifa la Israel(wana wa usrael)linatokana na Yakobo mwana wa isaka mjukuu wa Abraham.Yakobo(israeli) alizaa watoto 12 kwa wakeze 2 na wajakazi wao 2,ambao ni Reuben ,simeon,YUDA,LAWI,Isakari,Zabuloni kwa Leah,Yusufu na Benjamini kwa Raheli,Gadi na Asheri kwa Zilpa ,Dani na Naftali kwa Bilha.hawa ndio makabila (koo)12 za Israel kabila(lugha)waebrania.Hao ndio waisrael.baada ya kutoka utumwani jemedari Yoshua aliepokea kijiti cha uongozi toka kwa Musa aligawa urithi kwa makabila 12 kumbuka wakati wanaenda Misri walikuwa wachache maana walikuwa watoto 12 na familia zao ambao walikuwa 70 ivi soms mwanzo 46:27 lakini baada ya miaka 430 waliongezeka sana kufikia watu karibu ml.2.4 sasa baada kuvuka mto jordan makabila yote yalipewa urithi yaan mikoa/mipaka isipokuwa kabila la lawi.wao walipewa miji na waikaa katika mipika yote.walikaa jerusalem pia.kabila hili wao walikuwa ndio pekee wanaoruhusiwa kuwa makuhani na ndio wslikuwa wanahudumu hekaluni uko jerusalem.sasa baada ya uasi wa mfalme Solomon Yehovah Mungu wa Abraham na Isaka ,Mungu wa Israel akaigawanya Israel vipinde 2 ufalme wa kask ukaitwa Usrael wenye makabila 10 na kusin ukaitwaYuda/ Yudea wenye makabila 2 benjamin na yuda ndipo linapoanzia jina yahudi.ivo ufalme wa kusini makao makuu yakawa Jerusalem. lakini wote ni waisrael ni waebrania . Wapo walawi waliobaki yerusalem kwenye ufalme wa Yuda ambao raia wake walikuja kujulikana kama wayahudi.ivo angeishi Yudea nyakati hizo basi angekuwa myahudi.jamii ilikuewepo mspema kabla ata ya musa.wapo wanaotamani kusikia Musa alikuwa mkureshiMUSA si myahudi wala si muarabu bali ni miongoni mwa waisraeli. Ieleweke kuwa Yakobo(Israeli) alikuwa na wana 12 ambao hawa ndiyo wanaitwa wana wa Israel ama waisaraeli. Moja ya majina ya watoto hawa mmoja anaitwa Yuda na mwingine anaitwa Lawi. Hivyo wana wa yuda( siyo aliye msaliti Yesu) wanaitwa wayahudi. Sasa MUSA hakutoka katika kabila la Yuda ama uyahudi bali alitoka katika uzao wa Lawi ( Mwanzo 2:1- 10)
.....sioni faida ya kuwa na elimu ya dini zaidi inakufanya mtumwa wa kifikra. (nimenukuu maandishi yako na kuyakariri)Sasa kama wewe umeshindwa kuelewa kitu kidogo kama hicho sioni faida ya kuwa na elimu ya dini zaidi inakufanya mtumwa wa kifikra.
Nilishakupa sababu ukabaki kulazimisha kwa sababu ulishakariri huwezi kutoka nje ya box ulilokaririshwa kwa sababu ulishafanywa mtumwa wa fikra.
Anyway nitaiona Elimu yako ya maana endapo utanielimisha kwa sababu za mashiko kwa nini Issa(yesu) wa wakristo ni sawa na Issa (yesu) wa Waislamu. Nipe sababu
...umejaza uongo mtupu hapo juu !Bw.Yesu alikuja kukamilisha Torati ambayo ni agano la kale na kutengeneza agano jipya . Agano la kale, lilitakiwa kuwe na hekalu(jengo). Agano jipya, miili yetu ndiyo hekalu la Mungu aliye hai.. Agano la kale, ili Mtu asamehewe makosa aliyotenda lazima atoe dhabihu ya mnyama. Agano jipya ,ni kuomba msamaha katika jina la Yesu Mtu anasamehewa, kwa sababu hiki ni kipindi cha Neema.. NK NK. Kwa hiyo Yesu, alihubiri dini ya upendo kwa adui, msamaha kwa aliyekukosea bila masharti, kutolipiza kisasi, kuhesabiwa haki kwa njia ya kumpokea Yesu. Ndiyo maana alihubiri alisema njoni kwa nini nyote msumbkao na mizigo nani nitawapumzisha. Bw Yesu alisema agano jipya kwa kifo chake pale Golgotha msalabani. Kwa damu yake mwenyewe na si ya mnyama alipaingia patakatifu pa patakatifu ili kuwatakasa watu wote waishio hapa duniani ili kuondoka adhabu ya kifo iliyokuwa sentenced kwa Adamu na uzao wake.
Kukariri mimi sipendi na hakuna Injinia au mwanasheria anayefanya kazi kwa weledi kwa kukariri kanuni au vifungu ila kwa kuelewa......sioni faida ya kuwa na elimu ya dini zaidi inakufanya mtumwa wa kifikra. (nimenukuu maandishi yako na kuyakariri)
Wanasheria wote Duniani wanakariri na Mainjinia wote wanakariri kanuni.
Wewe kukariri unakuchukuliaje !?
Haya ni maneno ya Yesu mwenyewe akiwaambia wana Israel:
'Hear o Israel, the lord our God is one Lord. Marko: 12:29.
'Shama Israelu, Adonai ila hayano, Adonai Ikhadi.
Qur'an inasema Yesu aliwaambia Wana Israel ' Rabikum wa Rabakum'
Bwana wangu ndiye Bwana wenu.
Hili la Yesu mungu, mwana wa mungu, utatu mtakatifu, sijui maria mama wa mungu, yametoka wapi ?
Sasa dini yenyewe huijui na wala hutaki kusoma wala hujui concept ya kukariri ni nini sasa usaidiweje !?Kukariri mimi sipendi na hakuna Injinia au mwanasheria anayefanya kazi kwa weledi kwa kukariri kanuni au vifungu ila kwa kuelewa.
Kuna tofauti kati ya kuelewa na kukariri.
Wewe umekariri ila hujaelewa ndio maana umeshindwa kunipa sababu za kuonyesha Issa wa Qur'an na Yesu wa Biblia ni yuleyule.
Ila mimi nimeelewa ndo maana nilishakupa sababu ukashindwa kuzijibu na kwa sababu umekariri ukabaki kulazimisha.
Mimi nakuona Biblia huijui wala Qur'an huijui pia.Ndo maana hauwezi kuzitetea hoja zako logically kwa mjibu wa Qur'an au Biblia.
Pia mimi naona ni ujinga kunukuu maneno ya kitabu ambacho unakipinga.Umeshasema Biblia ni kitabu kisicho cha maana.
kwa nini unakinukuu kutetea hoja zako kama hakina maana?
Je kama hakina maana una uhakika gani ulichokinukuu kina maana?
Je nikikuletea mafungu yanayoonyesha utatu mtakatifu kwako yatakuwa na maana au hayana maana?
....ukileta utatu utapingana na hayo maneno niliyo nukuu, ndipo Biblia itaonekana haina maana. Kitabu kinachojichanganya changanya.Kukariri mimi sipendi na hakuna Injinia au mwanasheria anayefanya kazi kwa weledi kwa kukariri kanuni au vifungu ila kwa kuelewa.
Kuna tofauti kati ya kuelewa na kukariri.
Wewe umekariri ila hujaelewa ndio maana umeshindwa kunipa sababu za kuonyesha Issa wa Qur'an na Yesu wa Biblia ni yuleyule.
Ila mimi nimeelewa ndo maana nilishakupa sababu ukashindwa kuzijibu na kwa sababu umekariri ukabaki kulazimisha.
Mimi nakuona Biblia huijui wala Qur'an huijui pia.Ndo maana hauwezi kuzitetea hoja zako logically kwa mjibu wa Qur'an au Biblia.
Pia mimi naona ni ujinga kunukuu maneno ya kitabu ambacho unakipinga.Umeshasema Biblia ni kitabu kisicho cha maana.
kwa nini unakinukuu kutetea hoja zako kama hakina maana?
Je kama hakina maana una uhakika gani ulichokinukuu kina maana?
Je nikikuletea mafungu yanayoonyesha utatu mtakatifu kwako yatakuwa na maana au hayana maana?
Hujui maana ya neno kukariri.Aliyekariri haelewi na aliyeelewa hajakariri.Wewe umekariri.Sasa dini yenyewe huijui na wala hutaki kusoma wala hujui concept ya kukariri ni nini sasa usaidiweje !?
Uwezo wako ni mdogo sana, umekaa kiubishi ubishi. Ungekuwa mtu mwenye haiba ya usomi basi ungezama ndani na kujiuliza kwa nini Issa ndiye Yesu. Zama ndani ya Qur'an, kisha rudi kwenye Biblia fanya analysis then pata conclusion.
By the way hata maana ya Qur'an ni kukariri !
Mainjinia wana kariri, madoctor wana kariri (ndio maana una pewa vidonge fulani 3x3 na kila Dr ikizidisha tu, sumu !)
Na jua kuwa kukariri hakumaanishi huelewi. Katika elimu ya Dini ya Kiislaam kuna elimu ya Fasihi, Lugha, Historia, Sheria, na Tafsiri. Ukisikia mtu anaitwa 'Sheikh' ujue ndo hivyo vitu viko kichwani.
Hakuna mafundisho ya ukristo yanayodai Kuna Mungu watatu.Ila Mungu mmoja katika nafsi tatu.Binafsi sioni mkanganyiko kwenye Biblia.....ukileta utatu utapingana na hayo maneno niliyo nukuu, ndipo Biblia itaonekana haina maana. Kitabu kinachojichanganya changanya.
Na wewe jumuisha wewe ni mpumbavu na hujielewi. Kila Muislaam anahimizwa kukariri Qur'an. Qur'an ina tafsiri ya lugha zote Duniani. Hivyo utashindwaje kuelewa ?Hujui maana ya neno kukariri.Aliyekariri haelewi na aliyeelewa hajakariri.Wewe umekariri.
Usiniambie nisome nilishasoma sana nika conclude Issa wa Qur'an sio Yesu wa Biblia.Kama kweli wewe umeelewa nitoe ujinga kwa kunipa sababu zinazoonesha ni yuleyule.Ukishindwa na kuleta mambo ambayo hatuyajadili mara Shekhe sijui kasoma fasihi nitakuona unaongea vitu ambavyo havihusiki na tunachokijadili.
Nipe sababu kwa nini Issa wa Qur'an ndio huyo huyo Yesu wa Biblia.
Somo dogo kama hilo la Utatu lina kupa shida, utayaelewaje mambo yanayohitaji uzamivu !?Hakuna mafundisho ya ukristo yanayodai Kuna Mungu watatu.Ila Mungu mmoja katika nafsi tatu.Binafsi sioni mkanganyiko kwenye Biblia.
Ndo maana hata kwa mjibu wa Biblia Mke na Mme ni mwili mmoja.Unaelewa nini juu ya neno umoja?
Meanauma na mwanamke wanakuwaje na mwili mmoja ? Two physical things !Hakuna mafundisho ya ukristo yanayodai Kuna Mungu watatu.Ila Mungu mmoja katika nafsi tatu.Binafsi sioni mkanganyiko kwenye Biblia.
Ndo maana hata kwa mjibu wa Biblia Mke na Mme ni mwili mmoja.Unaelewa nini juu ya neno umoja?
Mpumbavu ni wewe ambaye hata ukilielimishwa huelimiki.Nilishakuelimisha kwa kukupa sababu za kuonyesha yesu wa biblia na Issa wa Qur'an ni tofauti.Hujaelewa na kama umeelewa hutaki kuelimika basi wewe ni mpumbavu.Na wewe jumuisha wewe ni mpumbavu na hujielewi. Kila Muislaam anahimizwa kukariri Qur'an. Qur'an ina tafsiri ya lugha zote Duniani. Hivyo utashindwaje kuelewa ?
Tafuta elimu ya kujua kwa nini Issah ndiye Yesu sio kukalia ubishi kwa jambo usilolijua.
Jesus is a Muslim, Moses, Jacob, Zakaria, Maryam, Abraham, Issack, Eliyah, Eliyasah, Joseph and all prophets.
una uhakika ? Unaielewa bibilia mpaka useme hivyo?Je unaifaham vema quran?unaujua usahihi na upungufu wake?....ukileta utatu utapingana na hayo maneno niliyo nukuu, ndipo Biblia itaonekana haina maana. Kitabu kinachojichanganya changanya.
Kwa mjibu wa Biblia hata Musa alifundisha Jino kwa Jino.Somo dogo kama hilo la Utatu lina kupa shida, utayaelewaje mambo yanayohitaji uzamivu !?
Utatu haukufundishwa na Yesu.
Akili yako fupi huwezi kuelewa ndo maana nikakuuliza unajua maana ya umoja.Meanauma na mwanamke wanakuwaje na mwili mmoja ? Two physical things !
Magufuli Sio Msukuma watu wanachanganya sana Kabila la Mkulu Mama yake ndie Msukuma na ndipo alipolelewaSwali lako haliko sahihi
Ni sawa na kuuliza hivi Magufuli ni Msukuma au Muislam?
Kwa kuwa inawezekana akawa ni Msukuma pia ni Muislam
Inawezekana Mtu akawa Muarabu lakin pia akawa Myahudi Ila haiwezekani Ukawa Muarabu hapo hapo Ukawa Muisrael
Uarabun ni race lakin Uyahudi ni dini
Ingekuwa Mussa alikuwa muisrael au muarabu
Au Mussa alikuwa Muislam au Myahudi?
Pia sio Muislam, nimetoa tu mfanoMagufuli Sio Msukuma watu wanachanganya sana Kabila la Mkulu Mama yake ndie Msukuma na ndipo alipolelewa