Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Kwa mjibu wa Biblia hata Musa alifundisha Jino kwa Jino.

Lakini Yesu alisema mtu akikupiga shavu la kulia mgeuzie la kushoto.

Bado unashangaa Yesu kutokufundisha utatu mtakatifu?
Nikuulize, Musa alikuwa na Tourat, Daudi na Zaburi, Yesu na Injil, Muhammad na Qur'an, hivi Biblia ni kitabu cha nani !? Maana kwenye hiyo Biblia hamna hata hiyo Injil ya Yesu, kuna ya Luka, Marko, Yohana na Mathayo.
Uwezo wako mdogo ndugu, huna elimu ya dini.
 
Pia sio Muislam, nimetoa tu mfano
Unapozungumzia Dini lazima kwanza uielewe hiyo Dini la sivyo utakuwa ni mmoja wa Wapotoshaji wakuu ambao upotoshaji wao husambaa kwa kasi sana hivyo unaweza ukaharibu au ukaukuza ndio maana kuna sheria zimewekwa za Takwimu na Sheria za Uchochezi. Kama Uislam huujui ni Bora kuacha kuuzungumzia.

Ukimuuliza Sheikh yeyote atakuambia Nini maana ya Uislam so ukishaipata Tafsiri ya Neno au Imani ya Uislam hata wewe unaweza ukawa ni mmoja wa hiyo Dini so Wanaposema Adam alikuwa ni Muislam ni kwa Sababu ya Tafsiri ya Imani ya Uislam. hivyo Magufuli pia akifanya vitu vinavyofanania na Uislam yawezekana naye wakamuita hivyo ila kama kuna utofauti hawawezi kumuita hivyo.

Watu imefikia anaweza kuisemea Dini fulani kwa majidai haswa but unakuta haifahamu kiundani. Mussa Waislam humuita ya kuwa alikuwa ni Mtume wa Mungu kwa Waisrael na husema alikuwa akiufuata Uislam.

Kuna Siri kubwa Sana katika Imani tokea Historia ilipoandikwa kuna mabadiliko Mengi sana jinsi ya Kumuabudu Mungu wamepita watu wengi sana kwa Njia zao walizoziamini wao na kuwafikishia Watu wengi wakakubalika na walipingwa pia na Mizizi imeota hadi leo hii. Kinachongojwa ni Unabii wao kama Utatokea kweli na watu washuhudie, kama Ishara zimetokea sana na zimepita ila bado watu wanaamini siku bado haijafika.

Mtoa Mada ni mvvu tu wa Kusoma sababu Vitabu vya Dini ndio vina majibu yote ayatakayo yeye anakuja jf kuleta mijadala am sure kuna wengine watabeba Dhambi zao kwenye hii mijadala sometimes mimi naona labda nisome tu na nijiepushe nayo Elimu ya Dini niliyo nayo inanifanya niishi vizuri, kumuudhi mtu ni utashi tu wa Binadamu na Dini huleta Amani
 
Unapozungumzia Dini lazima kwanza uielewe hiyo Dini la sivyo utakuwa ni mmoja wa Wapotoshaji wakuu ambao upotoshaji wao husambaa kwa kasi sana hivyo unaweza ukaharibu au ukaukuza ndio maana kuna sheria zimewekwa za Takwimu na Sheria za Uchochezi. Kama Uislam huujui ni Bora kuacha kuuzungumzia.

Ukimuuliza Sheikh yeyote atakuambia Nini maana ya Uislam so ukishaipata Tafsiri ya Neno au Imani ya Uislam hata wewe unaweza ukawa ni mmoja wa hiyo Dini so Wanaposema Adam alikuwa ni Muislam ni kwa Sababu ya Tafsiri ya Imani ya Uislam. hivyo Magufuli pia akifanya vitu vinavyofanania na Uislam yawezekana naye wakamuita hivyo ila kama kuna utofauti hawawezi kumuita hivyo.

Watu imefikia anaweza kuisemea Dini fulani kwa majidai haswa but unakuta haifahamu kiundani. Mussa Waislam humuita ya kuwa alikuwa ni Mtume wa Mungu kwa Waisrael na husema alikuwa akiufuata Uislam.

Kuna Siri kubwa Sana katika Imani tokea Historia ilipoandikwa kuna mabadiliko Mengi sana jinsi ya Kumuabudu Mungu wamepita watu wengi sana kwa Njia zao walizoziamini wao na kuwafikishia Watu wengi wakakubalika na walipingwa pia na Mizizi imeota hadi leo hii. Kinachongojwa ni Unabii wao kama Utatokea kweli na watu washuhudie, kama Ishara zimetokea sana na zimepita ila bado watu wanaamini siku bado haijafika.

Mtoa Mada ni mvvu tu wa Kusoma sababu Vitabu vya Dini ndio vina majibu yote ayatakayo yeye anakuja jf kuleta mijadala am sure kuna wengine watabeba Dhambi zao kwenye hii mijadala sometimes mimi naona labda nisome tu na nijiepushe nayo Elimu ya Dini niliyo nayo inanifanya niishi vizuri, kumuudhi mtu ni utashi tu wa Binadamu na Dini huleta Amani

Sijaelewa Mahusiano ya comment yangu uliyo quote na Maelezo yako tafadhali naomba ufafanuzi kwa kifupi
 
Nikuulize, Musa alikuwa na Tourat, Daudi na Zaburi, Yesu na Injil, Muhammad na Qur'an, hivi Biblia ni kitabu cha nani !? Maana kwenye hiyo Biblia hamna hata hiyo Injil ya Yesu, kuna ya Luka, Marko, Yohana na Mathayo.
Uwezo wako mdogo ndugu, huna elimu ya dini.
Biblia ni neno la kigriki lenye maana ya kitabu.Ni mkusanyiko wa maandiko ya kale ambayo yaliaminiwa na wahusika kuwa matakatifu.

Humo kuna mkusanyiko wa maandiko ya Musa,Suleiman,Isaya,Danieli,Daudi,Paulo etc.

Una kingine.....
 
Kwa mjibu wa Biblia hata Musa alifundisha Jino kwa Jino.

Lakini Yesu alisema mtu akikupiga shavu la kulia mgeuzie la kushoto.

Bado unashangaa Yesu kutokufundisha utatu mtakatifu?
.....ila hujui kuwa Yesu kafundisha upanga kwa upanga, na hakuleta Amani bali vita !
 
Akili yako fupi huwezi kuelewa ndo maana nikakuuliza unajua maana ya umoja.

Hujui hata Tanzania ni nchi moja inayoundwa na Tanganyika na Zanzibar.

Dar es salaam ni mkoa mmoja unaoundwa na wilaya za Ilala,Temeke,Kinondoni,Ubungo na Kigamboni.
......haaa....haaa...haaa ! No wonder wanaibuka watu wanasema ni Manabii wametumwa na Yesu na wakiristo wanajazana !
 
......haaa....haaa...haaa ! No wonder wanaibuka watu wanasema ni Manabii wametumwa na Yesu na wakiristo wanajazana !
Hata Mohamed hapishani na hao kwa sababu hata yeye alikuwa Mbakaji.Alimbaka Aisha mtoto wa miaka tisa.

By the way mimi sio mkristo wala Muislamu.Siamini katika Biblia wala Qur'an kwa sababu ni story za kutungwa na kufikirika tu.
 
Biblia ni neno la kigriki lenye maana ya kitabu.Ni mkusanyiko wa maandiko ya kale ambayo yaliaminiwa na wahusika kuwa matakatifu.

Humo kuna mkusanyiko wa maandiko ya Musa,Suleiman,Isaya,Danieli,Daudi,Paulo etc.

Una kingine.....
Huyo aliyekusanya katumwa na nani ?
Maana kitabu cha Tourat kilimshinda kupata chote akapata 'Kumbu kumbu la Tourat' yaani yale mambo machache yaliyokumbukwa ya Tourat na si Tourat yenyewe.
Na Injil ya Yesu kaikosa kabisaa, haimo !
Unajua nikiuliza, najua utakacho jibu.
 
Hata Mohamed hapishani na hao kwa sababu hata yeye alikuwa Mbakaji.Alimbaka Aisha mtoto wa miaka tisa.

By the way mimi sio mkristo wala Muislamu.Siamini katika Biblia wala Qur'an kwa sababu ni story za kutungwa na kufikirika tu.
.......kumbe mpumbavuu !
 
....kina uhusiano na kupigwa makofi shavuni.
Mbona unahama kwenye reli.Hayo sio tuliyokuwa tunayajadili.

Nipe sababu za kwa nini Yesu na Issa ni mtu mmoja.

Ukitaka tujadili hayo nipo tayari kwa sababu hata Qur'an ina contradiction nyingi tu kama Biblia.
 
Hata Mohamed hapishani na hao kwa sababu hata yeye alikuwa Mbakaji.Alimbaka Aisha mtoto wa miaka tisa.

By the way mimi sio mkristo wala Muislamu.Siamini katika Biblia wala Qur'an kwa sababu ni story za kutungwa na kufikirika tu.
Umeona hoja zinakubana, sasa una amua kuwa mpumbavu !
 
Mbona unahama kwenye reli.Hayo sio tuliyokuwa tunayajadili.

Nipe sababu za kwa nini Yesu na Issa ni mtu mmoja.

Ukitaka tujadili hayo nipo tayari kwa sababu hata Qur'an ina contradiction nyingi tu kama Biblia.
.....contradiction za Qur'an uzijue wewe !?
Mwenyezi Mungu amekisifu ni Kitabu kisicho na shaka (maana vingine ni mashaka matupu !) na yeye mwenyewe anakilinda na kukihifadhi (ndio maana mpaka leo kina original language yake)
Ukibadilisha herufi yake moja tu, Dunia nzima inajua.
 
Umeona hoja zinakubana, sasa una amua kuwa mpumbavu !
Mbona nilisema toka naanza kuchangia huu Uzi nikawaambia hayo mnayojadili ni mambo ya kufikirika tu.Wewe ndo ukaniquote ukasema walikuwepo watu kama mimi toka zamani.

Mimi siamini katika huo upumbavu wa vitabu vyenu vya kufikirika na kutungwa(japo naamini Mungu yupo).

Hoja ipi iliyonibana,Uliyebanwa ni wewe uliyeshindwa kunipa sababu za Yesu na Issa kuwa sawa unarukia rukia mambo tu.
 
Mbona nilisema toka naanza kuchangia huu Uzi nikawaambia hayo mnayojadili ni mambo ya kufikirika tu.Wewe ndo ukaniquote ukasema walikuwepo watu kama mimi toka zamani.

Mimi siamini katika huo upumbavu wa vitabu vyenu vya kufikirika na kutungwa(japo naamini Mungu yupo).

Hoja ipi iliyonibana,Uliyebanwa ni wewe uliyeshindwa kunipa sababu za Yesu na Issa kuwa sawa unarukia rukia mambo tu.
Why do you involve yourself !? Tafuta ulanzi unywe.
Unajadili jambo ambalo huna intetest nalo !
 
.....contradiction za Qur'an uzijue wewe !?
Mwenyezi Mungu amekisifu ni Kitabu kisicho na shaka (maana vingine ni mashaka matupu !) na yeye mwenyewe anakilinda na kukihifadhi (ndio maana mpaka leo kina original language yake)
Ukibadilisha herufi yake moja tu, Dunia nzima inajua.
Kuna vitabu na maandishi ya zamani kuliko hata Qur'an na Biblia kama Book of the dead cha ancient Egypt.

Epic of Gilgamesh cha ancient Sumerian .Na vipo katika lugha yake je navyo ni vitakatifu?
 
Umeona hoja zinakubana, sasa una amua kuwa mpumbavu !
Ndugu yangu Nakusihi na kuihusia Nafsi Yangu ebu achana kujibizana na hao watu Tafadhali. Unaona mpaka wanamdhiaki Mtume Muhammad ww bado unaendelea nao. Hebu achana nao Tafadhali.

Ata uwaambie vip hawato elewa maana hawapo katika kujifunza bali katika ubishi na Maudhi.
 
Back
Top Bottom