Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Quran imeandikwa na mtu moja
Bibria imeandikwa na mitume wakubwa wengi unaowajua
Biblia inaendana na historia kabisa ndo maana kila ki2 ukikifatilia cha kwenye biblia unakipata
Lkn kwa upande wa quran hamna
Ata sodoma na gomora aipo kwenye quran
Af ni kutumia logic tu.
Mitume wote mnaowaongelea walikuwa wayaudi
Kwann wayaudi si waislam????. Jiulize hilo
Af uislam umeanza 7th century
.....soma post yangu no. 312 Qur'an (aya /sura 19:58) inasema Waisrael walikuwa Waislaam.
 
...umejaza uongo mtupu hapo juu !
Katika Biblia Yesu anasema: sikuja kuitengua Torati au Manabii, bali kutimiliza, yeyote atakae punguza hata nukta moja katika Torati huyo atakuwa mdogo kabisa katika ufalme wa Mungu.

Yesu alikuja na Injil.

Habari ya agano jipya hizo ni stori zako wewe na Paulo.
Hiyo wewe unayoesema injili ndiyo agano jipya. Usichokijua ni usiku wa Giza kwako.
 
.....soma post yangu no. 312 Qur'an (aya /sura 19:58) inasema Waisrael walikuwa Waislaam.
Ivi nyie mnafaham ten comandments ambazo Musa alipewa na Mungu

Uislam umeanza 620AD
 
Muislaam wa kwanza ni Nabii Adam, na wa pili ni Mkewe Hawa.
Ni kwa mujibu wa Qur'an na si kwa maoni yako na mafundisho ya sunday school. KweliKwanza
Wale walikuwa wanasali jumamos
Na musa alipewa ten comandments kabisa
Sa waislam c wanasal ijumaa na wanafata mwezi kwa sabab ya Mohammed
 
Wale walikuwa wanasali jumamos
Na musa alipewa ten comandments kabisa
Sa waislam c wanasal ijumaa na wanafata mwezi kwa sabab ya Mohammed
Watu wa Jumamosi wamezungumzwa ndani ya Qur'an na waligeuzwa manyani. Qur'an ni mwongozo na hakuna tusilolijua kupitia Qur'an.
 
Muisrael ni Yacob tu. Lile jina alilopewa ni Tittle kwake tu. Kama vile Kristo ndio maana hata wadogo zakeYesu hawakuitwa James Kristo.
Watoto wake walisimama kama wenyewe kwa majina yao. So kwa mimi nadhani watabaki waebrania tu. Na ndio maana hata Kwenye bibble wanaitwa tu watoto wa Israel lakini sio taifa la Israel.
Sijajua mantiki yako hasa nini hapa, niseme tu jina waebrania, wayahudi na waistraeli yanatokana na wahusika binafsi hususani viongozi wa taifa la Mungu mfano waebrania limetokana na jina la ibrahimu, wayahudi ni Yuda aliyekuwa mtoto wa pili wa Yakobo na Israel ni Yakobo mwenye lenye maana ya aliyeshindana na Mungu na jina hilo lilithibitisha maisha halisi ya waistrael kama taifa walivyokuwa wakishindana na Mungu ktk kufuata maagizo yake ndiyo maana manabii wengi walishuka kwao. Ukisoma vizuri wafalme utajua jina wayahudi lilipatikana vipi kwahiyo ndani ya Israel kulipatikana mataifa mawili yaani wayahudi ambao walitokana na makabila mawili ya Yuda na Benjamin na Israel ni makabili kumi Kati ya 12 yaliyobaki. Japo wote asiliyao ni moja kutoka kwa baba yao Yakobo. Mfano kwenye agano jipya wasamaria ndiyo waistrael. Ukitaka kupata ufahamu mzuri soma biblia ktk Wafalme kuanzia utawala wa Mfalme Sulemani utapata picha kwanini walijitenga then soma habari ya Yesu kukutana na mwanamke msamaria kisimani fuatilia majibizano yao utagundua kitu muhimu sana. Wayahudi walijiona bora sana kuliko ndugu zao waistrael kwakuwa walikuwa walikuwa wakifuata ibada za kipagani
 
Sijajua mantiki yako hasa nini hapa, niseme tu jina waebrania, wayahudi na waistraeli yanatokana na wahusika binafsi hususani viongozi wa taifa la Mungu mfano waebrania limetokana na jina la ibrahimu, wayahudi ni Yuda aliyekuwa mtoto wa pili wa Yakobo na Israel ni Yakobo mwenye lenye maana ya aliyeshindana na Mungu na jina hilo lilithibitisha maisha halisi ya waistrael kama taifa walivyokuwa wakishindana na Mungu ktk kufuata maagizo yake ndiyo maana manabii wengi walishuka kwao. Ukisoma vizuri wafalme utajua jina wayahudi lilipatikana vipi kwahiyo ndani ya Israel kulipatikana mataifa mawili yaani wayahudi ambao walitokana na makabila mawili ya Yuda na Benjamin na Israel ni makabili kumi Kati ya 12 yaliyobaki. Japo wote asiliyao ni moja kutoka kwa baba yao Yakobo. Mfano kwenye agano jipya wasamaria ndiyo waistrael. Ukitaka kupata ufahamu mzuri soma biblia ktk Wafalme kuanzia utawala wa Mfalme Sulemani utapata picha kwanini walijitenga then soma habari ya Yesu kukutana na mwanamke msamaria kisimani fuatilia majibizano yao utagundua kitu muhimu sana. Wayahudi walijiona bora sana kuliko ndugu zao waistrael kwakuwa walikuwa walikuwa wakifuata ibada za kipagani
Hiyo ya kujiona bora sikukatalii historia yao naijua vizuri maana hata hao wayahudi Yesu alisema ufalmr utaondolewa kwao na watapewa hawa makabila 10 ambayo yalikengeuka na ndio.maana paul alizunguka kuwafuata kokote walipo kuwapa habari njema.
Nachosema mimi ni kuwa hawa wote wanabaki kuwa waebrania
Soma kutoka uone hata yule farao alivyoamuru watoto wakizaliwa wa kiume wauwawe alitoa amri kuwa "wanawake wa kiebrania" na hata musa wa kabila la.levi " alipoona mmisri anampiga muebrania ambaye ni ndugu yake" akakasirika nae akampiga akamfukia mchangani...why biblia haijwaita hapo waisrael ikawaita waebrania. Ni sawasaa nyie mzaliwe 12 kwa mzee Masando then mtaitwa watoto wa Masando BUT mkienda kokote mtatambulika kwa kabila la baba yenu ambapo Jacob alikuwa Muebrania.
Ndio maana kuna Lugha ya ebrania but hakuna lugha ya Israel.
Aliyeshindana na Mungu ni Jacob tu hakuna mwingine.
Walichobahatika tu ni agano alilopewa Jacob kuwa hawa watoto wake Mungu hatawatupa labda walivunje agano ambapo walilivunja.
 
I really do not trust anything written in these bible books...all characters in these books are fictional....no scientific proof there is any person on this earth happen to be called Musa who climbed a mountain eti na kupokea 10 stupid commandments...

These are fictional characters at best....no rational man could believe these outlandish lies...

F**k the jews..liers.....with their stupid biblical god ambae ni mbaguzi wa kutupwa,muuaji,mwenye ghadhabu,muongo,asie na uwezo wowote proven...
 
Uislamu ulikuwa toka ,Adam,ndio maana waislamu wannamini Mitume kuanzia Adam ,mpaka Yesu.Mtime Muhammad sio mwanzilishi wa uislamu,yeye ni muenelezaji wa uislamu,uliokuwako,na akausakbaza dunia nzima.
Adam alitimiza nguzo ngapi za Uislam ?
 
Kuran ya Kanisa gani we mpumbavu !?
Usiwe unafuata tu dini bila kusoma maandiko. Jitahidi kusoma na kuelewa. Jazba haitasaidia. Jielimishe upate ukweli.

Quran 6: 14. Sema: Je, nimchukue rafiki mlinzi asiye kuwa Mwenyezi Mungu, ambaye ndiye Muumba mbingu na ardhi, naye ndiye anaye lisha wala halishwi? Sema: Mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wenye kusilimu. Na wala kabisa usiwe miongoni wa washirikina.
Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu. (Wa ' Ana ' Awwalu Al- Muslimin ). S. 6:161-163
Sema (Ewe Muhammad): Hakika Mimi nimeamrishwa nimuabudu Mwenyezi Mungu, kwa kumsafishia Dini Yeye ( tu ). Na nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wale ambao ni Waislamu ( kujisalimisha kwake ). S. 39:11-12 Pickthall
Je, nani alikuwa Muislamu wa Kwanza?
1. Katika Suran 6: 163 Koran inadai kuwa Muhammad ndie Muislam wa kwanza.
2. Katika S. 02:30 , 34-35 , 37 Koran inadai kwamba, ni Ibrahim na waumini walio zaliwa kabla ya Muhammad ndio walikuwa Waislam wa Kwanza.
3. Katika S. 5:110-111 Koran inadai kuwa eti Isa Bin Maryam ndie alikuwa Muislam wa kwanza.
4. Katika S. 2:37 Koran inadai kuwa eti Adam ndie aliye kuwa Muislam wa Kwanza.
 
Usiwe unafuata tu dini bila kusoma maandiko. Jitahidi kusoma na kuelewa. Jazba haitasaidia. Jielimishe upate ukweli.

Quran 6: 14. Sema: Je, nimchukue rafiki mlinzi asiye kuwa Mwenyezi Mungu, ambaye ndiye Muumba mbingu na ardhi, naye ndiye anaye lisha wala halishwi? Sema: Mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wenye kusilimu. Na wala kabisa usiwe miongoni wa washirikina.
Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu. (Wa ' Ana ' Awwalu Al- Muslimin ). S. 6:161-163
Sema (Ewe Muhammad): Hakika Mimi nimeamrishwa nimuabudu Mwenyezi Mungu, kwa kumsafishia Dini Yeye ( tu ). Na nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wale ambao ni Waislamu ( kujisalimisha kwake ). S. 39:11-12 Pickthall
Je, nani alikuwa Muislamu wa Kwanza?
1. Katika Suran 6: 163 Koran inadai kuwa Muhammad ndie Muislam wa kwanza.
2. Katika S. 02:30 , 34-35 , 37 Koran inadai kwamba, ni Ibrahim na waumini walio zaliwa kabla ya Muhammad ndio walikuwa Waislam wa Kwanza.
3. Katika S. 5:110-111 Koran inadai kuwa eti Isa Bin Maryam ndie alikuwa Muislam wa kwanza.
4. Katika S. 2:37 Koran inadai kuwa eti Adam ndie aliye kuwa Muislam wa Kwanza.
Unapokuwa mtu wa kwanza kuwa Muislaam katikati ndugu zako makafiri utasemaje !?
Wewe ndo wa kwanza kuwa Muislaam katika ukoo wenu wa Makafiri.
Haimaniishi Uislaam ulianza siku hiyo wewe kusilimu.
Ndani ya Qur'an Musa, Ibrahim na Lukuman wametamka hivyo.
Ati mgala anafundisha Qur'an !
 
Unapokuwa mtu wa kwanza kuwa Muislaam katikati ndugu zako makafiri utasemaje !?
Wewe ndo wa kwanza kuwa Muislaam katika ukoo wenu wa Makafiri.
Haimaniishi Uislaam ulianza siku hiyo wewe kusilimu.
Ndani ya Qur'an Musa, Ibrahim na Lukuman wametamka hivyo.
Ati mgala anafundisha Qur'an !

Acha ujinga soma na kuelewa maandiko vizuri. Usiwe kipofu kwa kuwa ulikwishaamini tangu utoto. Maandiko yako wazi.
 
Back
Top Bottom