Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Unapokuwa mtu wa kwanza kuwa Muislaam katikati ndugu zako makafiri utasemaje !?
Wewe ndo wa kwanza kuwa Muislaam katika ukoo wenu wa Makafiri.
Haimaniishi Uislaam ulianza siku hiyo wewe kusilimu.
Ndani ya Qur'an Musa, Ibrahim na Lukuman wametamka hivyo.
Ati mgala anafundisha Qur'an !
Toa Aya inayosema Muhammad hakuwa wa kwanza katika wenye Kuslimu na uiweke hapa.
 
Toa Aya inayosema Muhammad hakuwa wa kwanza katika wenye Kuslimu na uiweke hapa.
'Na Mola wake Mlezi alipomwambi (Ibrahim): Silimu, nyenyekea ! (Ibrahim) Alinena: Nimesilimu, nimenyenyekea kwa Mola wa walimwengu wote !

'Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yakuub: Enyi wanangu ! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii (Uislam) basi msife bali nanyi mmekuwa Waislam, wanyenyekevu.

Je, mlikuwapo yalipomfikia Yakuub mauti, akawaambia wanae (usia) Mtamuabudu nani baada yangu (kufa) ?
Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismael na Is'haq (Isaka), Mungu Mmoja tu. Na sisi (watoto wako) tunasilimu kwake.
Qur'an: 2:131-133. Gangongine
 
'Na Mola wake Mlezi alipomwambi (Ibrahim): Silimu, nyenyekea ! (Ibrahim) Alinena: Nimesilimu, nimenyenyekea kwa Mola wa walimwengu wote !

'Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yakuub: Enyi wanangu ! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii (Uislam) basi msife bali nanyi mmekuwa Waislam, wanyenyekevu.

Je, mlikuwapo yalipomfikia Yakuub mauti, akawaambia wanae (usia) Mtamuabudu nani baada yangu (kufa) ?
Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismael na Is'haq (Isaka), Mungu Mmoja tu. Na sisi (watoto wako) tunasilimu kwake.
Qur'an: 2:131-133. Gangongine
Soma Historia utaelewa kuwa kabla ya Muhamad kuanzisha Uislam, Bara Arabu lilikuwa kipindi cha giza(Jahiliya) ambapo al Qaaba ilikuwa na sanamu 360 zikiabudiwa na upagani.
Qurani ilinakiliwa kutoka Agano la Kale karne ya 7 baada ya Kristo. Ni ujanja ulifanyika wa kunakili Agano la Kale. Kabla ya Muhamad hakukuwa na Uislam.
 
Soma Historia utaelewa kuwa kabla ya Muhamad kuanzisha Uislam, Bara Arabu lilikuwa kipindi cha giza(Jahiliya) ambapo al Qaaba ilikuwa na sanamu 360 zikiabudiwa na upagani.
Qurani ilinakiliwa kutoka Agano la Kale karne ya 7 baada ya Kristo. Ni ujanja ulifanyika wa kunakili Agano la Kale. Kabla ya Muhamad hakukuwa na Uislam.
'Na wakasema: kuweni Wayahudi au Wakiristo ndio mtaongoka. Sema: bali (sisi) tunashika mila ya Ibrahim mwongofu. Wala hakuwa katika washirikina (waabudu sanamu)

'Semeni nyinyi (Waislam): Tumemwamini Mwenyezi Mungu na yale tulioteremshiwa sisi (Qur'an) na yale yalioteremshwa kwa Ibrahim na Ismael na Is'haq na Yaakub na wajukuu zake, na waliyopewa Musa (Tourat) na Issah (Yesu -Injil) na yale waliopewa Manabii wengine (Zaburi) kutoka kwa Mola wao Mlezi.
(sisi waislam) hatutofaitishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake (Mwenyezi Mungu)
Qur'an: 2:135-136. Gangongine
Soma Historia utaelewa kuwa kabla ya Muhamad kuanzisha Uislam, Bara Arabu lilikuwa kipindi cha giza(Jahiliya) ambapo al Qaaba ilikuwa na sanamu 360 zikiabudiwa na upagani.
Qurani ilinakiliwa kutoka Agano la Kale karne ya 7 baada ya Kristo. Ni ujanja ulifanyika wa kunakili Agano la Kale. Kabla ya Muhamad hakukuwa na Uislam.
 
'Na wakasema: kuweni Wayahudi au Wakiristo ndio mtaongoka. Sema: bali (sisi) tunashika mila ya Ibrahim mwongofu. Wala hakuwa katika washirikina (waabudu sanamu)

'Semeni nyinyi (Waislam): Tumemwamini Mwenyezi Mungu na yale tulioteremshiwa sisi (Qur'an) na yale yalioteremshwa kwa Ibrahim na Ismael na Is'haq na Yaakub na wajukuu zake, na waliyopewa Musa (Tourat) na Issah (Yesu -Injil) na yale waliopewa Manabii wengine (Zaburi) kutoka kwa Mola wao Mlezi.
(sisi waislam) hatutofaitishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake (Mwenyezi Mungu)
Qur'an: 2:135-136. Gangongine
Shet'ani kwa mara ya kwanza ameapa kiapo cha utii kutoka Abu Bakr katika msikiti na Shet'ani alisilimu na kumfuata Allah. (Israr-e-Muhammad, Page No 30)

Ni bahati mbaya kwamba Adamu Hawa hawakufanikiwa kufanya jitihada za kumwezesha shetani na wanae kuuomba msamaha kwa mwenyezi Mungu na kuwa Waislamu, ni mtume Muhammad tu ndiye aliyemsilimisha shetani akawa muislamu… (KITABU CHA ASILI YA MAJINI UK 20)

Sasa Ikiwa shetani ni muislamu, na sisi tunajua kuwa shetani yeye ndiye adui yetu namba moja ambaye sisi hatupaswi kushirikiana nae,

Yakobo 4:7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni shetani, nae atawakimbia.
Sasa iweje tena tumfuate shetani katika uislamu? Kwa kuwa shetani ambaye aliwadanganya Adamu na Hawa.

KUMBE SHETANI NI MUISLAMU. HUU NI MSIBA KWA WAISLAM
 
'Na Mola wake Mlezi alipomwambi (Ibrahim): Silimu, nyenyekea ! (Ibrahim) Alinena: Nimesilimu, nimenyenyekea kwa Mola wa walimwengu wote !

'Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yakuub: Enyi wanangu ! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii (Uislam) basi msife bali nanyi mmekuwa Waislam, wanyenyekevu.

Je, mlikuwapo yalipomfikia Yakuub mauti, akawaambia wanae (usia) Mtamuabudu nani baada yangu (kufa) ?
Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismael na Is'haq (Isaka), Mungu Mmoja tu. Na sisi (watoto wako) tunasilimu kwake.
Qur'an: 2:131-133. Gangongine

UTATA NDANI YA KORAN: NANI ALIKUWA MTEREMSHAJI WA KWANZA WA QURAN KWA MTUME MUHAMMAD?

Jibril au Roho Mtakatifu?

Somo letu la leo tutazungumzia utata ulio jaa ndani ya Koran. Leo hii tutajinfunza kuhusu nani alikuwa wa kwanza kuteremsha Koran kwa Mtume wa Allah.

Katika Qura 2:97 tunasoma kuwa, Jibril ndie aliye kuwa wa kwanza kushusha aya za Quran kwa Mtume wa Allah. Soma kifungu hiki hapa:

Quran 2:97. Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

Hiyo aya hapo juu ipo wazi kabisa kuwa, Jibril ndie aliye kuwa mshushaji wa Quran kwa Mtume wa Allah ajulikanaye kwa jina la Muham'mad. Hebu tuendelee kusoma Quran hiyo hiyo na tuone kama ni kweli Jibril alikuwa wa kwanza kufanya hiyo kazi au kulikuwa na mtu mwingine aliye kuwa anafanya kazi hiyo hiyo ya kushusha Quran kwa Mtume wa Allah.

Rejea hapa:

Quran 16:102. Sema: Ameiteremsha hii Roho takatifu kutokana na Mola wako Mlezi kwa haki, ili awathibitishe wale walio amini, na kuwa ni uwongofu, na ni bishara kwa Waislamu.

103. Na Sisi hakika tunajua kwamba wanasema: Yuko mtu anaye mfundisha. Lugha ya huyo wanaye muelekezea ni ya kigeni, na hii ni lugha ya Kiarabu mbayana.

Katika aya tulizo zisoma hapo juu, tunagundua kuwa Allah alimtumia Roho Mtakatifu kushusha Aya kwa Mtume wake na si Jibril kama tulivyo soma kwenye Surah 2 aya 97.

Katika Surah 2:97 tunasoma kuwa Mteremshaji wa Quran ni Jibril.

Katika Surah 16:102-103 tunasoma kuwa Roho Mtakatifi ndie anateremsha Quran.

Ndugu zanguni. Hivi kwanini Koran inamakosa namna hii? Nani alikuwa mteremshaji wa Koran? Ni Jibril au Roho Mtakatifu?

Nimategemeo yangu kuwa, hili soma litawafungua macho na kufahamu ukweli kuhusu Quran. Kama kweli Allah ni Mungu na yeye ndie aliye kuwa anaishusha Quran kupita Jibril, basi asinge fanya kosa la kumsingizia Roho Mtakatifu kuwa na yeye alikuwa anashusha Quran.

Kama kweli Allah ni Mungu, kwanini afanye makosa makubwa namna hii?
 
Swali lako haliko sahihi

Ni sawa na kuuliza hivi Magufuli ni Msukuma au Muislam?
Kwa kuwa inawezekana akawa ni Msukuma pia ni Muislam
Inawezekana Mtu akawa Muarabu lakin pia akawa Myahudi Ila haiwezekani Ukawa Muarabu hapo hapo Ukawa Muisrael

Uarabun ni race lakin Uyahudi ni dini
Ingekuwa Mussa alikuwa muisrael au muarabu
Au Mussa alikuwa Muislam au Myahudi?
Uyahudi sio dini
 
wanakupotezea muda.. waulize Musa alizaliwa kipindi gani na uislamu umeanza lini? ni kama mashariki na kusini.. usipoteze muda wako kubishana na wanywa kahawa na stori zao.
Uislamu ni toka adam unasemaje
 
Swali lako haliko sahihi

Ni sawa na kuuliza hivi Magufuli ni Msukuma au Muislam?
Kwa kuwa inawezekana akawa ni Msukuma pia ni Muislam
Inawezekana Mtu akawa Muarabu lakin pia akawa Myahudi Ila haiwezekani Ukawa Muarabu hapo hapo Ukawa Muisrael

Uarabun ni race lakin Uyahudi ni dini
Ingekuwa Mussa alikuwa muisrael au muarabu
Au Mussa alikuwa Muislam au Myahudi?
Kweli we ni andazi uarabun unesema mwarabu uyahudin unasema dini

Uarabuni ni sehemu au mahali wanapoishi au kukaa waarabu vivyo hivyo na uyaudin

Uarabu ni race kama unavyosema myahudi dini ni imani myahudi anaweza kuwa mslamu mpagani au mkristo nk
 
UTATA NDANI YA KORAN: NANI ALIKUWA MTEREMSHAJI WA KWANZA WA QURAN KWA MTUME MUHAMMAD?

Jibril au Roho Mtakatifu?

Somo letu la leo tutazungumzia utata ulio jaa ndani ya Koran. Leo hii tutajinfunza kuhusu nani alikuwa wa kwanza kuteremsha Koran kwa Mtume wa Allah.

Katika Qura 2:97 tunasoma kuwa, Jibril ndie aliye kuwa wa kwanza kushusha aya za Quran kwa Mtume wa Allah. Soma kifungu hiki hapa:

Quran 2:97. Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

Hiyo aya hapo juu ipo wazi kabisa kuwa, Jibril ndie aliye kuwa mshushaji wa Quran kwa Mtume wa Allah ajulikanaye kwa jina la Muham'mad. Hebu tuendelee kusoma Quran hiyo hiyo na tuone kama ni kweli Jibril alikuwa wa kwanza kufanya hiyo kazi au kulikuwa na mtu mwingine aliye kuwa anafanya kazi hiyo hiyo ya kushusha Quran kwa Mtume wa Allah.

Rejea hapa:

Quran 16:102. Sema: Ameiteremsha hii Roho takatifu kutokana na Mola wako Mlezi kwa haki, ili awathibitishe wale walio amini, na kuwa ni uwongofu, na ni bishara kwa Waislamu.

103. Na Sisi hakika tunajua kwamba wanasema: Yuko mtu anaye mfundisha. Lugha ya huyo wanaye muelekezea ni ya kigeni, na hii ni lugha ya Kiarabu mbayana.

Katika aya tulizo zisoma hapo juu, tunagundua kuwa Allah alimtumia Roho Mtakatifu kushusha Aya kwa Mtume wake na si Jibril kama tulivyo soma kwenye Surah 2 aya 97.

Katika Surah 2:97 tunasoma kuwa Mteremshaji wa Quran ni Jibril.

Katika Surah 16:102-103 tunasoma kuwa Roho Mtakatifi ndie anateremsha Quran.

Ndugu zanguni. Hivi kwanini Koran inamakosa namna hii? Nani alikuwa mteremshaji wa Koran? Ni Jibril au Roho Mtakatifu?

Nimategemeo yangu kuwa, hili soma litawafungua macho na kufahamu ukweli kuhusu Quran. Kama kweli Allah ni Mungu na yeye ndie aliye kuwa anaishusha Quran kupita Jibril, basi asinge fanya kosa la kumsingizia Roho Mtakatifu kuwa na yeye alikuwa anashusha Quran.

Kama kweli Allah ni Mungu, kwanini afanye makosa makubwa namna hii?

Shet'ani kwa mara ya kwanza ameapa kiapo cha utii kutoka Abu Bakr katika msikiti na Shet'ani alisilimu na kumfuata Allah. (Israr-e-Muhammad, Page No 30)

Ni bahati mbaya kwamba Adamu Hawa hawakufanikiwa kufanya jitihada za kumwezesha shetani na wanae kuuomba msamaha kwa mwenyezi Mungu na kuwa Waislamu, ni mtume Muhammad tu ndiye aliyemsilimisha shetani akawa muislamu… (KITABU CHA ASILI YA MAJINI UK 20)

Sasa Ikiwa shetani ni muislamu, na sisi tunajua kuwa shetani yeye ndiye adui yetu namba moja ambaye sisi hatupaswi kushirikiana nae,

Yakobo 4:7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni shetani, nae atawakimbia.
Sasa iweje tena tumfuate shetani katika uislamu? Kwa kuwa shetani ambaye aliwadanganya Adamu na Hawa.

KUMBE SHETANI NI MUISLAMU. HUU NI MSIBA KWA WAISLAM
.....nilikwambia mgalatia afundishe Qur'an itakuwa maajabu !
Nimegonga mule mule, unaanza kuruka ruka na kupost madudu !
Huu ujinga kaa nao tuu ila kuna watakao pita na watafaidika na posti zangu.
 
.....nilikwambia mgalatia afundishe Qur'an itakuwa maajabu !
Nimegonga mule mule, unaanza kuruka ruka na kupost madudu !
Huu ujinga kaa nao tuu ila kuna watakao pita na watafaidika na posti zangu.
JIBU HIZO HOJA. 1.Nani kateremsha(kama kweli iliteremka) Qurani. Jibril au Roho Mtakatifu?
2.SHETANI yuko kwenu amesilimu na mnasali naye Msikitini. Hiyo ndio dini ya Mwenyezi Mungu kweli?
 
.....nilikwambia mgalatia afundishe Qur'an itakuwa maajabu !
Nimegonga mule mule, unaanza kuruka ruka na kupost madudu !
Huu ujinga kaa nao tuu ila kuna watakao pita na watafaidika na posti zangu.
QURAN NI KITABU KILICHOJAA UTATA, SHAKA, KISICHO NA MWELEKEO NA MTIRIRIKO WA HOJA

Tunaponukuu aya yenye utata, chuki au ya kuanika uongo wa Waislamu kwenye Qur'an, Waislamu huja juu na kuipinga vikali huku wakisema kuwa aya hiyo haijakamilika hadi tusome aya inayoitangulia juu yake, au inayoifuatia chini yake.

Kwa maana hiyo basi, embu tuzitazame hizi aya zilizoandikwa kwa &[HASHTAG]#8216[/HASHTAG];mtiririko' wa namba 191, 192, 193, 194 na 195 tuone kama kweli zinajenga hoja ya mtiririko na utashangazwa sana vile Kuran inayodaiwa kuwa ni mwongozo mzuri wa Waislamu.

KUMBUKA: Maelezo yangu nimeyaweka kwenye mabano (&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]😉

QUR'AN: Sura Al Baqara 2:191-195:
******************************************
191. Na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote walipo kutoeni; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. Wala msipigane nao kwenye Msikiti Mtakatifu mpaka wakupigeni huko. Wakikupigeni huko basi nanyi pia wapigeni. Na hivi ndivyo yalivyo malipo ya makafiri.

(&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];kama fitina ni mbaya kuliko kuuwa ya nini basi muwauwe? Mara msiwapige kwenye Msikiti mtakatifu mara wapigeni, ipi ndio ipi? Anayelipiza ni Waislamu au ni Allah?)
192. Lakini wakiacha basi Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.

(&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];nani asamehewe hapa, makafiri au Waislamu maana wote wametenda dhambi kwa kupigana)

193. Na piganeni nao mpaka pasiwepo fitina, na Dini iwe ya Mwenyezi Mungu tu. Na kama wakiacha basi usiweko uadui ila kwa wenye kudhulumu.

(&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];lakini si Mwenyezi Mungu amesema kwenye aya ya 192 kuwa ni mwenye kusamehe, vipi tena awaamuru mpigane nao (makafiri?))

194. Mwezi mtakatifu kwa mwezi mtakatifu. Na vitu vitakatifu vimeekewa kisasi. Anaye kushambulieni nanyi mshambulieni, kwa kadiri alivyo kushambulieni. Na mcheni Mwenyezi Mungu. Na jueni kwamba Mwenyezi Mungu yu pamoja na wachamngu.
(&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];hivyo kushambulia anayekushambulia ndio kumcha mungu? SERIOUSLY????)

195. Na toeni katika njia ya Mwenyezi Mungu, wala msijitie kwa mikono yenu katika maangamizo. Na fanyeni wema. Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao wema.
(&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];lakini Mwenyezi Mungu si amesema kwenye aya za 191, 193 na 194 kuwa mpigane nao na kuwauwa. Vipi tena anawaagiza msiwaangamize kwa mikono yenu?)

TATHMINI:
Qur'an ni kitabu kilichojaa utata, fitina, chuki, shaka, na kibali cha kuuwa wasio Waislamu.

Aya zake hazina mtiririko. Kila aya inajisimamia kivyake na haihusiani na aya inayoitangulia au kuifuatia.

Kwenye aya moja, Allah anaamuru wafuasi wake kuwapiga wasio Waislamu huku nyingine kuwasamehe. Ifuatwe ipi?
 
JIBU HIZO HOJA. 1.Nani kateremsha(kama kweli iliteremka) Qurani. Jibril au Roho Mtakatifu?
2.SHETANI yuko kwenu amesilimu na mnasali naye Msikitini. Hiyo ndio dini ya Mwenyezi Mungu kweli?
.....hatukuwa tunajadili hivi vitu, sasa huu ujinga kaa nao tuu.
Sina haja ya kujibu.
Muislam yeyote kabla hajaanza kufanya lolote husema: Au'dhubillahi minal shetwan rajiim !
(awali ya yote najiepusha na shetani aliye laaniwa na Mungu !)
 
QURAN NI KITABU KILICHOJAA UTATA, SHAKA, KISICHO NA MWELEKEO NA MTIRIRIKO WA HOJA

Tunaponukuu aya yenye utata, chuki au ya kuanika uongo wa Waislamu kwenye Qur'an, Waislamu huja juu na kuipinga vikali huku wakisema kuwa aya hiyo haijakamilika hadi tusome aya inayoitangulia juu yake, au inayoifuatia chini yake.

Kwa maana hiyo basi, embu tuzitazame hizi aya zilizoandikwa kwa &[HASHTAG]#8216[/HASHTAG];mtiririko' wa namba 191, 192, 193, 194 na 195 tuone kama kweli zinajenga hoja ya mtiririko na utashangazwa sana vile Kuran inayodaiwa kuwa ni mwongozo mzuri wa Waislamu.

KUMBUKA: Maelezo yangu nimeyaweka kwenye mabano (&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]😉

QUR'AN: Sura Al Baqara 2:191-195:
******************************************
191. Na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote walipo kutoeni; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. Wala msipigane nao kwenye Msikiti Mtakatifu mpaka wakupigeni huko. Wakikupigeni huko basi nanyi pia wapigeni. Na hivi ndivyo yalivyo malipo ya makafiri.

(&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];kama fitina ni mbaya kuliko kuuwa ya nini basi muwauwe? Mara msiwapige kwenye Msikiti mtakatifu mara wapigeni, ipi ndio ipi? Anayelipiza ni Waislamu au ni Allah?)
192. Lakini wakiacha basi Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.

(&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];nani asamehewe hapa, makafiri au Waislamu maana wote wametenda dhambi kwa kupigana)

193. Na piganeni nao mpaka pasiwepo fitina, na Dini iwe ya Mwenyezi Mungu tu. Na kama wakiacha basi usiweko uadui ila kwa wenye kudhulumu.

(&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];lakini si Mwenyezi Mungu amesema kwenye aya ya 192 kuwa ni mwenye kusamehe, vipi tena awaamuru mpigane nao (makafiri?))

194. Mwezi mtakatifu kwa mwezi mtakatifu. Na vitu vitakatifu vimeekewa kisasi. Anaye kushambulieni nanyi mshambulieni, kwa kadiri alivyo kushambulieni. Na mcheni Mwenyezi Mungu. Na jueni kwamba Mwenyezi Mungu yu pamoja na wachamngu.
(&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];hivyo kushambulia anayekushambulia ndio kumcha mungu? SERIOUSLY????)

195. Na toeni katika njia ya Mwenyezi Mungu, wala msijitie kwa mikono yenu katika maangamizo. Na fanyeni wema. Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao wema.
(&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG];lakini Mwenyezi Mungu si amesema kwenye aya za 191, 193 na 194 kuwa mpigane nao na kuwauwa. Vipi tena anawaagiza msiwaangamize kwa mikono yenu?)

TATHMINI:
Qur'an ni kitabu kilichojaa utata, fitina, chuki, shaka, na kibali cha kuuwa wasio Waislamu.

Aya zake hazina mtiririko. Kila aya inajisimamia kivyake na haihusiani na aya inayoitangulia au kuifuatia.

Kwenye aya moja, Allah anaamuru wafuasi wake kuwapiga wasio Waislamu huku nyingine kuwasamehe. Ifuatwe ipi?
IMG-20171209-WA0000.jpg

...hangaika na fundi seremala !
 
kwa mujibu wa Biblia niliyoisoma nikiwa mdogo Musa ni Hebrew/Muisrael.

Nikurudishe Nyuma.

Alikuwepo Ibrahim akamzaa Isaka na Ishmael. Isaka akawazaa Esau na Yakobo[israel] Yakobo kupitia kwa Mama yake Rebbeca akampora kaka yake haki yake nilishangaa saana baadae alipokuja kubarikiwa.

Baadae Yakobo akawazaa wana 12 sitawakumbuka wote ila Yusufu akiwemo na ndugu ye Benjamini.

Baadae wakiwa machungani ndugu 11 wakamuuza mwenzao mmoja ambaye ni Yusufu kwa watwana wa ki-ishmael wakampeleka misri akawa mtumwa kule. Nifupishe.

Balaa la njaa likatokea dunia yote likaikumba Kaanan Yordan na viunga vyake likawapitia Yakobo na jamii yake.

Misri ilikuwa na hifadhi kubwa ya Chakula wakakimbilia misri wakamkuta nduguye Yusufu akawasaidia.

Wakaishi kule hadi alipokuja Farao mtata akawafanya Watumwa jamii yote ile. Mwisho wakazaliwa Mussa Haruni na wengineo hivyo Mussa ni Mwebrania kutoka uzao wa Ibrahim ukoo wa Lawi.

Yakuzingatia hapo juu.

-musa ni mwebrania
-Waisrael waliitwa Israel baada ya Yakobo kupewa hilo jina Na Mungu.
-Waisrael walijipeleka wenyewe Utumwani.
-kwa mujibu wa Biblia kipindi hicho hapakwepo na Hizi dini bali kufuata Mungu.
-wakati Yakobo anaenda Israel na jamii yake kutoka Caanan nchi ya Caanan ilikuwa siyo yao walikuwa wanakalia eneo dogo tu la baba yao.

Asante. Ninampango nikasome upadree sema tu Umri umenitupa.
 
Kweli we ni andazi uarabun unesema mwarabu uyahudin unasema dini

Uarabuni ni sehemu au mahali wanapoishi au kukaa waarabu vivyo hivyo na uyaudin

Uarabu ni race kama unavyosema myahudi dini ni imani myahudi anaweza kuwa mslamu mpagani au mkristo nk
Kwanini utukane kwny kuonesha utofauti wa Mawazo au Mtazamo ? Mbona Mimi nimemkosoa Mleta Uzi kwa heshma tu bila ya kutukana?
 
Back
Top Bottom