ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,739
- 2,697
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umeelizwa musa wewe unamuelezea yesu... UMETOROKA MILEMBE SI BURE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umeelizwa musa wewe unamuelezea yesu... UMETOROKA MILEMBE SI BURE
Ni jinsi mnavyoaminishwaWatu wa Jumamosi wamezungumzwa ndani ya Qur'an na waligeuzwa manyani. Qur'an ni mwongozo na hakuna tusilolijua kupitia Qur'an.
Hivyo Musa alifundisha ujew ! Vipi Daudi yeye alifundisha nini !?Ni jinsi mnavyoaminishwa
Waarabu ni waislam
Musa hakuwa mwarabu alikuwa ni mjew
Na wajews mpaka leo ni wa Judaism
Nyie mnaaminishwa
Wote ni wajewHivyo Musa alifundisha ujew ! Vipi Daudi yeye alifundisha nini !?
Hao wote wanajua kuwa Yesu ni mungu ?
Jibu maswali, wacha kujifanya hamnazu !Wote ni wajew
Hivyo Musa alifundisha ujew ! Vipi Daudi yeye alifundisha nini !?
Hao wote wanajua kuwa Yesu ni mungu ?
Ni jinsi mnavyoaminishwa
Waarabu ni waislam
Musa hakuwa mwarabu alikuwa ni mjew
Na wajews mpaka leo ni wa Judaism
Nyie mnaaminishwa
Mnakera Sana si mkomae Na mpambane Na lidini lenuNi dini.ndo maana Musa alipowaletea dini ya uislam.walikuwa wanagoma
Linakera kweliUnafanana na avatar yako.uislam umeanza juzi tu
Nimekujib kwa jinsi nilivyokuelewa, hueleweki na weweJibu maswali, wacha kujifanya hamnazu !
Nimekujib kwa jinsi nilivyokuelewa, hueleweki na wewe
Ni kama unaniuliza kama nilifundishwa ukurya
Hizi aya ndio zinamsilimisha Musa AS na Yesu AS.Nimekujib kwa jinsi nilivyokuelewa, hueleweki na wewe
Ni kama unaniuliza kama nilifundishwa ukurya
'Na wakasema: kuweni Wayahudi au Wakiristo ndio mtaongoka. Sema: bali (sisi) tunashika mila ya Ibrahim mwongofu. Wala hakuwa katika washirikina (waabudu sanamu)
'Semeni nyinyi (Waislam): Tumemwamini Mwenyezi Mungu na yale tulioteremshiwa sisi (Qur'an) na yale yalioteremshwa kwa Ibrahim na Ismael na Is'haq na Yaakub na wajukuu zake, na waliyopewa Musa (Tourat) na Issah (Yesu -Injil) na yale waliopewa Manabii wengine (Zaburi) kutoka kwa Mola wao Mlezi.
(sisi waislam) hatutofaitishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake (Mwenyezi Mungu)
Qur'an: 2:135-136. Gangongine
kwa mujibu wa Biblia niliyoisoma nikiwa mdogo Musa ni Hebrew/Muisrael.
Nikurudishe Nyuma.
Alikuwepo Ibrahim akamzaa Isaka na Ishmael. Isaka akawazaa Esau na Yakobo[israel] Yakobo kupitia kwa Mama yake Rebbeca akampora kaka yake haki yake nilishangaa saana baadae alipokuja kubarikiwa.
Baadae Yakobo akawazaa wana 12 sitawakumbuka wote ila Yusufu akiwemo na ndugu ye Benjamini.
Baadae wakiwa machungani ndugu 11 wakamuuza mwenzao mmoja ambaye ni Yusufu kwa watwana wa ki-ishmael wakampeleka misri akawa mtumwa kule. Nifupishe.
Balaa la njaa likatokea dunia yote likaikumba Kaanan Yordan na viunga vyake likawapitia Yakobo na jamii yake.
Misri ilikuwa na hifadhi kubwa ya Chakula wakakimbilia misri wakamkuta nduguye Yusufu akawasaidia.
Wakaishi kule hadi alipokuja Farao mtata akawafanya Watumwa jamii yote ile. Mwisho wakazaliwa Mussa Haruni na wengineo hivyo Mussa ni Mwebrania kutoka uzao wa Ibrahim ukoo wa Lawi.
Yakuzingatia hapo juu.
-musa ni mwebrania
-Waisrael waliitwa Israel baada ya Yakobo kupewa hilo jina Na Mungu.
-Waisrael walijipeleka wenyewe Utumwani.
-kwa mujibu wa Biblia kipindi hicho hapakwepo na Hizi dini bali kufuata Mungu.
-wakati Yakobo anaenda Israel na jamii yake kutoka Caanan nchi ya Caanan ilikuwa siyo yao walikuwa wanakalia eneo dogo tu la baba yao.
Asante. Ninampango nikasome upadree sema tu Umri umenitupa.
Ni jinsi mnavyoaminishwa
Waarabu ni waislam
Musa hakuwa mwarabu alikuwa ni mjew
Na wajews mpaka leo ni wa Judaism
Nyie mnaaminishwa
Yote yameandikwa kwenye bibliaWagalatia hamna mnachokijua !
Ukiristo wako huujui, bali utamkuta mgala yuko biizee anausemea Uislaam !
Sisi tunasoma dini kwanza (madrasa) wakafi nyie mmeachia dini mapadre na manabii wa uongo. How come mtu anasimama anakwambia kaongea na Yesu halafu kanisa zima linalipuka kwa shangwe !
Kuwa Neutral then tumia akiliHizi aya ndio zinamsilimisha Musa AS na Yes AS.
Musa nimwisraelHakua Arab wala Jews!
Musa hakuwa kabila la Juda alikuwa kabila la Levi. Na alikuwa muebraniaKwa hiyo Musa alimuamini Mungu na Mtume?
Ndio maana kila jini ni muislam... maana unasikia eti yako.mazuri na mabaya... but yote yanaswali miskitini.JIBU HIZO HOJA. 1.Nani kateremsha(kama kweli iliteremka) Qurani. Jibril au Roho Mtakatifu?
2.SHETANI yuko kwenu amesilimu na mnasali naye Msikitini. Hiyo ndio dini ya Mwenyezi Mungu kweli?
....lakini hayafanyiwi kazi !Yote yameandikwa kwenye biblia
Uyahudi ni kabila usiwe mjinga !Kuwa Neutral then tumia akili
Jiulize kwann hamna myaudi muislam angali Mussa na Yesu walikuwa wayaudi
Kabila ni hilo Lawi, Dini yake ni ipi huyo Musa !?Musa nimwisrael
Anatoka kabila la walawi
Kumbuka lawi nimtoto mmoja wapo Wa Israel au Jacob
Nandio maana mwenyenzi Mungu aliwapa walawi kuongoza Nyumba yake katika ibada
Harun Ndugu yake mussa
Una amini majini yapo na yameumbwa ? NaughtyGuyNdio maana kila jini ni muislam... maana unasikia eti yako.mazuri na mabaya... but yote yanaswali miskitini.
'Na hakika mlikwisha yajua yale wale miongoni mwenu walioivunja Sabato (siku ya mapumziko jumamosi) na tukawaambia: kuweni manyani.Ni jinsi mnavyoaminishwa
Waarabu ni waislam
Musa hakuwa mwarabu alikuwa ni mjew
Na wajews mpaka leo ni wa Judaism
Nyie mnaaminishwa