Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Yaani muislam au mjewish(mjuda)?

Majibu tafadhili.

Update
Musa alikuwa ni muebrania(moja ya kabira la wayaudi)
Na aliwaongoza wayaudi kwenda israel kwa imani ya wayaudi. Yaan Mungu alietenanisha bahari na aliewalisha mda wote
Na ikumbukwe hakuna myaudi muislam
Na kihistoria alienzisha au kukuza uislam ni Mohammad na uislam haukuepo enzi hizo
Kuna wengine wanafika adi hatua ya kusema Adam alikuwa muislam. Cjui maantiki yao ni wap. Na upande wa kuchoma kondoo ili kuondolewa dhambi je??

Alikua Myahudi wa Masri na Muislam. Akiamini Mungu Mmoja na yeye ni Mtume wake. Amri 10 alizo pewa ni za waislam .
Aliwakimbiza wayahudi kwao Masri kukimbia mateso ya Pharao na kuwapeleka ukimbizini Philistine.
Wakimbizi hawa wa Masri sasa wanasema Philistine ni yao
 
Musa alikuwa Muisraeli tena wa uzao wa Lawi ambao ndiyo waliokuwa makuhani katika hekalu la maturubai . Uislamu umeanza miaka mia sita baada ya Ukristo kuanzia pale Antiokia. Wakati wa Musa, Uislamu haukuwepo, ila waarabu (wamidiani) walikuwepo na walikuwa wakiabudu miungu.

Uislam ulianza Pale bina adam wa mwanzo kuja duniani yaani Adam na Hawa.
Kiini cha Uislam ni Kuamini kuwapo Kwa Mungu Mmoja tu na kuamini Mitume wake ambao ni binadamu kwa ajili ya kufikisha ujumbe wa namna ya kuishi katika ulimwengu huu.
Adam , Noh, David au Daud, Yusuf au Joseph, Ibrahim, Is-hak Ismail , Mussa , Jesus na Muhamad wote ni mitume wa Mungu mmoja. Na walio leta Uislam ...yaani kuamini Mungu mmoja asie na mshirika.
Ukristo ulikuja baada ya miaka 100 y kuondoka Jesus. Ulianza na Paulo. Ambaye hakuwa mtume na hakuwahi kukutana na malaika wanao yumws kwa mitume.
Itikadi ya sasa ya kikristo ni tofauti kabisa na dini alokuja nayo Adam , Noah,Mussa, Joseph, Ibrahim, David, Lut, Jesus ni imani mpya
 
Uyahudi ni kabila usiwe mjinga !
Yesu alikuwa ni Mnazareti si myahudi.
Mbona na wewe hujiuliza kuwa kama Yesu ni mwana wa mungu, sijui mungu mwenyewe, mbona wayahudi hawamfuati wala kumuabudu !?
Mi nasemea dini ya Judaism
Nyie mmedanganywa uko
Ila ukivutia ukweli unaona kabisa ukweli ulikuwa wap
Ni kama leo useme waafrica ndo wenye dini ya kihindu
Uislam umeanza na Muhamad
 
Alikua Myahudi wa Masri na Muislam. Akiamini Mungu Mmoja na yeye ni Mtume wake. Amri 10 alizo pewa ni za waislam .
Aliwakimbiza wayahudi kwao Masri kukimbia mateso ya Pharao na kuwapeleka ukimbizini Philistine.
Wakimbizi hawa wa Masri sasa wanasema Philistine ni yao
Wamisri walikuwa na miungu yao wewe
Baadae akawa Mjudaism ambayo ukristo umechimbukia
Jiulize kwann wayaudi na waJews hawapatani
 
Alikua Myahudi wa Masri na Muislam. Akiamini Mungu Mmoja na yeye ni Mtume wake. Amri 10 alizo pewa ni za waislam .
Aliwakimbiza wayahudi kwao Masri kukimbia mateso ya Pharao na kuwapeleka ukimbizini Philistine.
Wakimbizi hawa wa Masri sasa wanasema Philistine ni yao
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] eti za waislam
Za kijuda
Ivi hujiulizi kwann mmefuta kipengele cha kuchoma kondoo wakat wanaandika quran
 
Alikua Myahudi wa Masri na Muislam. Akiamini Mungu Mmoja na yeye ni Mtume wake. Amri 10 alizo pewa ni za waislam .
Aliwakimbiza wayahudi kwao Masri kukimbia mateso ya Pharao na kuwapeleka ukimbizini Philistine.
Wakimbizi hawa wa Masri sasa wanasema Philistine ni yao
Uislam uliaza lini rasmi
 
Uislam ulianza Pale bina adam wa mwanzo kuja duniani yaani Adam na Hawa.
Kiini cha Uislam ni Kuamini kuwapo Kwa Mungu Mmoja tu na kuamini Mitume wake ambao ni binadamu kwa ajili ya kufikisha ujumbe wa namna ya kuishi katika ulimwengu huu.
Adam , Noh, David au Daud, Yusuf au Joseph, Ibrahim, Is-hak Ismail , Mussa , Jesus na Muhamad wote ni mitume wa Mungu mmoja. Na walio leta Uislam ...yaani kuamini Mungu mmoja asie na mshirika.
Ukristo ulikuja baada ya miaka 100 y kuondoka Jesus. Ulianza na Paulo. Ambaye hakuwa mtume na hakuwahi kukutana na malaika wanao yumws kwa mitume.
Itikadi ya sasa ya kikristo ni tofauti kabisa na dini alokuja nayo Adam , Noah,Mussa, Joseph, Ibrahim, David, Lut, Jesus ni imani mpya
Ndo mlivyodanganywa
 
Uislam ulianza Pale bina adam wa mwanzo kuja duniani yaani Adam na Hawa.
Kiini cha Uislam ni Kuamini kuwapo Kwa Mungu Mmoja tu na kuamini Mitume wake ambao ni binadamu kwa ajili ya kufikisha ujumbe wa namna ya kuishi katika ulimwengu huu.
Adam , Noh, David au Daud, Yusuf au Joseph, Ibrahim, Is-hak Ismail , Mussa , Jesus na Muhamad wote ni mitume wa Mungu mmoja. Na walio leta Uislam ...yaani kuamini Mungu mmoja asie na mshirika.
Ukristo ulikuja baada ya miaka 100 y kuondoka Jesus. Ulianza na Paulo. Ambaye hakuwa mtume na hakuwahi kukutana na malaika wanao yumws kwa mitume.
Itikadi ya sasa ya kikristo ni tofauti kabisa na dini alokuja nayo Adam , Noah,Mussa, Joseph, Ibrahim, David, Lut, Jesus ni imani mpya
So waisraeli walikuwa ni waarabu
 
Huu si uchochezi ni fact. Na fact hii naitoa katika kitabu kilicho kizee kuliko vitabu vingine vyote( Bible). Unayesema ni uchochezi unabase kutoka kitabu gani?. Kwa taarifa yako, mke wa Musa alikuwa Mmidiani( muarabia) upo hapo?.
Hivi hujui kuwa bibilia iliteketezwa ,hii iliyopo ni mpya
 
Mi nasemea dini ya Judaism
Nyie mmedanganywa uko
Ila ukivutia ukweli unaona kabisa ukweli ulikuwa wap
Ni kama leo useme waafrica ndo wenye dini ya kihindu
Uislam umeanza na Muhamad
Kabila haiwezi kuwa dini wacha ujinga !
Nimekuuliza Musa alikuwa Dini gani ?
 
Hivi hujui kuwa bibilia iliteketezwa ,hii iliyopo ni mpya
Nani kakudanganya Biblia iliteketezwa?.Sema nakala ziliteketezwa sio Maandiko halisi. Ivi, Leo ukiteketeza Biblia zilizomo maduka ya vitabu, ndio hutapata tena Biblia?. Unaposema hii ni mpya, maana yake, ni nakala iliyonakiliwa kutoka Katiba nakali mama.
 
Baba yake Musa alikuwa anaitwa Amram, mama yake Musa aliitwa Yokebedi na wote walikuwa ni Wayahudi wa kabila ya Lawi (Levi). Musa alizaliwa Misri na kukulia huko. Maandiko ya Musa (yatokanayo na ufunuo na unabii aliopewa na BWANA Mungu) ndio yalikuwa uti wa mgongo wa uanzishwaji wa Taifa kamili la Israel na baadaye dini ya Kiyahudi. Katika Biblia vitabu vitano vya mwanzo, viliandikwa na Musa yaani (Mwanzo, Kutoka, Walawi, Hesabu na Kumbukumbu la Torati)
 
Nani kakudanganya Biblia iliteketezwa?.Sema nakala ziliteketezwa sio Maandiko halisi. Ivi, Leo ukiteketeza Biblia zilizomo maduka ya vitabu, ndio hutapata tena Biblia?. Unaposema hii ni mpya, maana yake, ni nakala iliyonakiliwa kutoka Katiba nakali mama.
Unauhakika kuwa nakala mama ilibaki, Mimi tu siamini,kama toleo hili la 1967,authorized king James version, the new Scofield reference bible, toleo hili la kiingereza limefichwa.
 
Sasa mbona kuna watu wanasema alikuwa Muislam
Kwani mkuu hujui kusoma na kuandika? Ikiwa alikuwa Muislam au Myahudi soma Quran na Torah (vitabu vya Waislam na Wayabudi) kutoka huko utapata sifa ya Muislam na Myahudi na mwishowe utapata jibu.

Ukisema kuna watu wanasema hapo ndio mwanzo wa kukosea
 
Uyahudi ni kabila usiwe mjinga !
Yesu alikuwa ni Mnazareti si myahudi.
Yohana 4:22:Yesu alisema...

22 Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.

Marko 15:
12 Pilato akajibu tena akawaambia, Basi nimtendeje huyu mnayemnena kuwa ni mfalme wa Wayahudi?
13 Wakapiga kelele tena, Msulibishe.

Yohana 1:38 Yesu aligeuka, akawaona wakimfuata, akawaambia, Mnatafuta nini? Wakamwambia, Rabi, (maana yake, Mwalimu), unakaa wapi?

Rabi ni Mwalimu wa Dini ya Kiyahudi.

rabbi
ˈrabʌɪ/
noun
  1. a Jewish scholar or teacher, especially one who studies or teaches Jewish law.
    • a person appointed as a Jewish religious leader.
 
Yohana 4:22:Yesu alisema...

22 Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.

Marko 15:
12 Pilato akajibu tena akawaambia, Basi nimtendeje huyu mnayemnena kuwa ni mfalme wa Wayahudi?
13 Wakapiga kelele tena, Msulibishe.

Yohana 1:38 Yesu aligeuka, akawaona wakimfuata, akawaambia, Mnatafuta nini? Wakamwambia, Rabi, (maana yake, Mwalimu), unakaa wapi?

Rabi ni Mwalimu wa Dini ya Kiyahudi.

rabbi
ˈrabʌɪ/
noun
  1. a Jewish scholar or teacher, especially one who studies or teaches Jewish law.
    • a person appointed as a Jewish religious leader.
Sasa hao Wayahudi mbona hawamuabu Yesu na wanamwita mwanaharamu !
Wakiristo na wayahudi wanakutania wapi ?!
 
Yaani muislam au mjewish(mjuda)?

Majibu tafadhili.

Update
Musa alikuwa ni muebrania(moja ya kabira la wayaudi)
Na aliwaongoza wayaudi kwenda israel kwa imani ya wayaudi. Yaan Mungu alietenanisha bahari na aliewalisha mda wote
Na ikumbukwe hakuna myaudi muislam
Na kihistoria alienzisha au kukuza uislam ni Mohammad na uislam haukuepo enzi hizo
Kuna wengine wanafika adi hatua ya kusema Adam alikuwa muislam. Cjui maantiki yao ni wap. Na upande wa kuchoma kondoo ili kuondolewa dhambi je??
alikuwa musa sio myahudi wala mwislam ni musa tu.
 
Back
Top Bottom