Kama Israeli sio nchi ,basi nchi yao ilikua inaitwaje??Yesu tu walimuita Mfalme wa wayahudi na sio wa Israel. Israel sio nchi ni jina lililobaki na Jacob tu peke yake ni kama cheo alichopewa yeye tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Israeli sio nchi ,basi nchi yao ilikua inaitwaje??Yesu tu walimuita Mfalme wa wayahudi na sio wa Israel. Israel sio nchi ni jina lililobaki na Jacob tu peke yake ni kama cheo alichopewa yeye tu.
Je uyahudi sio dini?au imani ?Myahudi kiasili.kidini ni muislam.
Mkuu acha uchocheziMusa alikuwa Muisraeli tena wa uzao wa Lawi ambao ndiyo waliokuwa makuhani katika hekalu la maturubai . Uislamu umeanza miaka mia sita baada ya Ukristo kuanzia pale Antiokia. Wakati wa Musa, Uislamu haukuwepo, ila waarabu (wamidiani) walikuwepo na walikuwa wakiabudu miungu.
Alikua mwana wa Adamu..yaani Bin Adam kiswahili tunasema binadamu! Mengine Mbwembwe tu wote sisi ni wanaadamuYaani muislam au mjewish(mjuda)?
Majibu tafadhili.
Ni dini.ndo maana Musa alipowaletea dini ya uislam.walikuwa wanagomaJe uyahudi sio dini?au imani ?
Soma historia yake iko wazi sana katika biblia..! Kukusaidia tu alizaliwa na mwanamke wa kiebrania akalelewa katika nyumba ya Farao.Yaani muislam au mjewish(mjuda)?
Majibu tafadhili.
Musa alikuwa myahudi kabila sio myahudi dini ,imani yake ilikuwa ya kiislam.Yaani muislam au mjewish(mjuda)?
Majibu tafadhili.
Alie wadanganya aliwadanganyia chooni..!Musa alikuwa myahudi kabila sio myahudi dini ,imani yake ilikuwa ya kiislam.
Huu si uchochezi ni fact. Na fact hii naitoa katika kitabu kilicho kizee kuliko vitabu vingine vyote( Bible). Unayesema ni uchochezi unabase kutoka kitabu gani?. Kwa taarifa yako, mke wa Musa alikuwa Mmidiani( muarabia) upo hapo?.Mkuu acha uchochezi
Alikua mhamiaji haramu mkuuYaani muislam au mjewish(mjuda)?
Majibu tafadhili.
unaulizwa ya musa unajibu ya yesu.wewe mzima kichwani?Yesu ni mwana wa Mungu aliyekuja duniani kwa umbo la kibinadamu ili aukomboe ulimwengu.
Non senseYesu ni mwana wa Mungu aliyekuja duniani kwa umbo la kibinadamu ili aukomboe ulimwengu.
Yalishaisha siyo lazima uropoke hapa ungekuwa una akili na busara wala usingekuwa umejibu kama hivyo. Wenye akili siku zote Huwa wana ignore mambo.unaulizwa ya musa unajibu ya yesu.wewe mzima kichwani?