Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Musa alikuwa Muisraeli tena wa uzao wa Lawi ambao ndiyo waliokuwa makuhani katika hekalu la maturubai . Uislamu umeanza miaka mia sita baada ya Ukristo kuanzia pale Antiokia. Wakati wa Musa, Uislamu haukuwepo, ila waarabu (wamidiani) walikuwepo na walikuwa wakiabudu miungu.
Mkuu acha uchochezi
 
Mussa alikuwa ni muislam,, na amezungumzwa kwenye qurain,, na hata kitabu alichopewa na MUNGU torati pia Kimezungumzwa kwenye qurain,, TORATI ya MUSSA,, ZABURI ya DAUD,, INJILI ya ISSA,, (YESU) FURQAIN ya MUHAMMAD (SAW) hivyo ndivyo ilivyozungumzwa,,, na MUSSA alikuwa ni MYAHUDI hakuwa MUARABU,,,
 
Mkuu acha uchochezi
Huu si uchochezi ni fact. Na fact hii naitoa katika kitabu kilicho kizee kuliko vitabu vingine vyote( Bible). Unayesema ni uchochezi unabase kutoka kitabu gani?. Kwa taarifa yako, mke wa Musa alikuwa Mmidiani( muarabia) upo hapo?.
 
Back
Top Bottom