blessed Fanikio
Senior Member
- Dec 20, 2017
- 127
- 118
Mwenye akili huwa ana ignore mamboNon sense
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye akili huwa ana ignore mamboNon sense
[emoji3][emoji3][emoji3]Mussa azzan zungu or nan kuwa specific
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] samahani bossYalishaisha siyo lazima uropoke hapa ungekuwa una akili na busara wala usingekuwa umejibu kama hivyo. Wenye akili siku zote Huwa wana ignore mambo.
Sema ni sawa na kuuliza kuwa ni mwafrika na ni muislam na si kuwa ni msukuma na mwislamSwali lako haliko sahihi
Ni sawa na kuuliza hivi Magufuli ni Msukuma au Muislam?
Kwa kuwa inawezekana akawa ni Msukuma pia ni Muislam
Inawezekana Mtu akawa Muarabu lakin pia akawa Myahudi Ila haiwezekani Ukawa Muarabu hapo hapo Ukawa Muisrael
Uarabun ni race lakin Uyahudi ni dini
Ingekuwa Mussa alikuwa muisrael au muarabu
Au Mussa alikuwa Muislam au Myahudi?
Aaaahaaa.... acha nikupe mukhtasar wa historiya..Yaani muislam au mjewish(mjuda)?
Majibu tafadhili.
Unafanana na avatar yako.uislam umeanza juzi tuMyahudi kiasili.kidini ni muislam.
Yaani muislam au mjewish(mjuda)?
Majibu tafadhili.
Nipe andiko linalosema alikua muislam,nitajie nguzo tano za uislam halafu niambie musa ilitimiza ipi.halafu hapo ulipoandika furqain utuambie ulikua unamaanisha niniMussa alikuwa ni muislam,, na amezungumzwa kwenye qurain,, na hata kitabu alichopewa na MUNGU torati pia Kimezungumzwa kwenye qurain,, TORATI ya MUSSA,, ZABURI ya DAUD,, INJILI ya ISSA,, (YESU) FURQAIN ya MUHAMMAD (SAW) hivyo ndivyo ilivyozungumzwa,,, na MUSSA alikuwa ni MYAHUDI hakuwa MUARABU,,,
ThibitishaNi dini.ndo maana Musa alipowaletea dini ya uislam.walikuwa wanagoma
Imeandikwa wapiMusa alikuwa myahudi kabila sio myahudi dini ,imani yake ilikuwa ya kiislam.
Abraham alikuwa anaamini katika dini gani?Musa alikuwa Muisraeli tena wa uzao wa Lawi ambao ndiyo waliokuwa makuhani katika hekalu la maturubai . Uislamu umeanza miaka mia sita baada ya Ukristo kuanzia pale Antiokia. Wakati wa Musa, Uislamu haukuwepo, ila waarabu (wamidiani) walikuwepo na walikuwa wakiabudu miungu.
Hujaeleweka soma tena swaliAaaahaaa.... acha nikupe mukhtasar wa historiya..
Katika vitabu vinne vya mwisho (Taurat,Injil,Zabur na Qura'an) vilithibitisha kuwa Nabii Mussa aliongea direct na Mwenyeezzi Mungu... usiniulize kwa lugha ipi?!? Na ndiyo Nabii Mussa ambaye sisi waDini tumuatae na kumtukuza kwa ujio wake kwetu...
kwa kifupi enzi hizo hapakuwepo utaifa kama muda huu !!
Kwa hiyo Nabi Mussa alikuwa akifuatana mdigo wake Haroona hapo Misri ndani ya utawala wa maFirauni ambao walikuwa waarabu waliotokea kusini !!
Aalahu yealam (God knows better)
Na ukristo umeanza lini?Unafanana na avatar yako.uislam umeanza juzi tu
Afu hii mbinu ya kutafuta gape wakakae ikulu afu watumike kwa maslahi ya Israeli kumbe ni mbinu ya enzi na enzi Duh, basi kumbe hawa watu wataendelea kuwa habari ya mjini na kijijini miaka nenda rudi afu wanaowazunguka nao wataendelea kupata umaarufu parasite for so long!Huhuuuuuuu am sorry kama MUSA naweza sema ni myahudi alizaliwa uhamishoni misri japo alilelewa katika mazingira ya kifalme pale. Alitumika kuja kuwakomboa wayahudi wakiwa misri.
Uislamu ulikuwa toka ,Adam,ndio maana waislamu wannamini Mitume kuanzia Adam ,mpaka Yesu.Mtime Muhammad sio mwanzilishi wa uislamu,yeye ni muenelezaji wa uislamu,uliokuwako,na akausakbaza dunia nzima.Musa alikuwa Muisraeli tena wa uzao wa Lawi ambao ndiyo waliokuwa makuhani katika hekalu la maturubai . Uislamu umeanza miaka mia sita baada ya Ukristo kuanzia pale Antiokia. Wakati wa Musa, Uislamu haukuwepo, ila waarabu (wamidiani) walikuwepo na walikuwa wakiabudu miungu.
Uislamu umeanza toka Adam,kabla hata Musa, hajazaliwa,ndio ukaona waislamu wanaamini kitume yote, kuanzia Adam mpaka Yesu, na vitabu vyote, kuanzia Zaburi,Taurati,Injili ,na Taurati ni kitabu cha Musa, bila kuiamini Taurat na Musa, uislamu haujakamilika wa anayeamini.wanakupotezea muda.. waulize Musa alizaliwa kipindi gani na uislamu umeanza lini? ni kama mashariki na kusini.. usipoteze muda wako kubishana na wanywa kahawa na stori zao.