Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Mussa a.s alikua Muisrael ila si Myahud bali Muislam "kwani Uislam, Ukristo, Uyahud/Zionism" zote hapatikani Kanda hiyo
 
Swali lako haliko sahihi

Ni sawa na kuuliza hivi Magufuli ni Msukuma au Muislam?
Kwa kuwa inawezekana akawa ni Msukuma pia ni Muislam
Inawezekana Mtu akawa Muarabu lakin pia akawa Myahudi Ila haiwezekani Ukawa Muarabu hapo hapo Ukawa Muisrael

Uarabun ni race lakin Uyahudi ni dini
Ingekuwa Mussa alikuwa muisrael au muarabu
Au Mussa alikuwa Muislam au Myahudi?

swali liko sawa tu, Uyahudi unahusika katika mambo matatu kwa wakati mmoja,ni kundi flani la watu(ethnic),ni dini na ni utaifa!
 
swali liko sawa tu, Uyahudi unahusika katika mambo matatu kwa wakati mmoja,ni kundi flani la watu(ethnic),ni dini na ni utaifa!

Leo Jifunze kitu kimoja!

Idadi ya Wayahudi waliopo Marekani ni wengi kuliko waliopo Isarel na hao Wayahudi waliopo America si waisrael!
Ethiopia nayo Ina ma laki ya Wayahudi lakin ni waethiopia!
Isarel inayo Raia wengi tu ambao si Wayahudi!
 
Swali lako haliko sahihi

Ni sawa na kuuliza hivi Magufuli ni Msukuma au Muislam?
Kwa kuwa inawezekana akawa ni Msukuma pia ni Muislam
Inawezekana Mtu akawa Muarabu lakin pia akawa Myahudi Ila haiwezekani Ukawa Muarabu hapo hapo Ukawa Muisrael

Uarabun ni race lakin Uyahudi ni dini
Ingekuwa Mussa alikuwa muisrael au muarabu
Au Mussa alikuwa Muislam au Myahudi?
kwa elimu yangu najua wayahudi ni dini na waisraeli wengi ni ni waumini wa dini ya kiyahudi huku wachache wakiwa ni wakristo na waislam
 
Leo Jifunze kitu kimoja!

Idadi ya Wayahudi waliopo Marekani ni wengi kuliko waliopo Isarel na hao Wayahudi waliopo America si waisrael!
Ethiopia nayo Ina ma laki ya Wayahudi lakin ni waethiopia!
Isarel inayo Raia wengi tu ambao si Wayahudi!

nafahamu yote hayo,hivyo pote ulipotaja na kuweka neno Wayahudi hapo neno Wayahudi stands for a certain ethnic Group bila kujali wako wapi!na ndipo mtoa swali alipouliza.kauliza kama Musa belongs to this ethnic group.Kwa hiyo yuko sahihi,hajauliza myahudi kama dini bali myahudi kama jamii flani ya watu!Ndio maana nikakuambia tunapotaja neno Yahudi linaweza kuwa na maana kama kundi flani la jamii ya watu,dini au utaifa.Naamini umenielewa.
 
Muisrael ni Yacob tu. Lile jina alilopewa ni Tittle kwake tu. Kama vile Kristo ndio maana hata wadogo zakeYesu hawakuitwa James Kristo.
Watoto wake walisimama kama wenyewe kwa majina yao. So kwa mimi nadhani watabaki waebrania tu. Na ndio maana hata Kwenye bibble wanaitwa tu watoto wa Israel lakini sio taifa la Israel.
 
nafahamu yote hayo,hivyo pote ulipotaja na kuweka neno Wayahudi hapo neno Wayahudi stands for a certain ethnic Group bila kujali wako wapi!na ndipo mtoa swali alipouliza.kauliza kama Musa belongs to this ethnic group.Kwa hiyo yuko sahihi,hajauliza myahudi kama dini bali myahudi kama jamii flani ya watu!Ndio maana nikakuambia tunapotaja neno Yahudi linaweza kuwa na maana kama kundi flani la jamii ya watu,dini au utaifa.Naamini umenielewa.

Hayo ni Mazoea na wengi wamezoea hivyo Kama Wewe ulivyozoea Ila sio sahihi
Ni sawa na Mtu akiambiwa African haraka haraka akawaza ni Black hayo ni Mazoea lakin pia sio sahihi Ila hulazimishwi kuacha Mazoea yako.
 
Alie wadanganya aliwadanganyia chooni..!
soma historia ya Dini ya kiislam.. ilianza lini.? Nani alikuwa muanzilishi wake ? Ilikuwaje mpaka akaanzisha huo uislam..
yaweza kukufanya ukawa na uelewa wa kutosha.
Sema wewe sasa Musa alikuwa dini gani
 
Hayo ni Mazoea na wengi wamezoea hivyo Kama Wewe ulivyozoea Ila sio sahihi
Ni sawa na Mtu akiambiwa African haraka haraka akawaza ni Black hayo ni Mazoea lakin pia sio sahihi Ila hulazimishwi kuacha Mazoea yako.

sasa mbona wewe mwenyewe umesema kuna Wayahudi wako Marekani ulikuwa unamaanisha nini uliposema kuna Wayahudi kama sio kundi la watu flani??kwa hiyo na wewe una mazoea hayo mabaya??Anyway,jifunze kuendelea kujifunza zaidi hata kwa kitu unachodhani unakijua zaidi!Itabaki kuwa hivyo,iwe Tanzania Marekani au popote pale,kuna uhusiano wa karibu wa dhana tatu za Kundi la Watu(ethnic),dini na utaifa unapotaja neno Wayahudi.Chagua kujifunza zaidi au ku limit unachokijua!Nimemaliza
 
Sema wewe sasa Musa alikuwa dini gani
Kwa mujibu wa kamusi.. Neno Dini ni utaratibu wa binadamu kumtafuta Mwenyezi Mungu..ama Nguvu iliyo zaidi ya Nguvu zote.
utaratibu huu hutofautiana kati ya jamii na jamii ama kiutamaduni au kijiografia.

MUSSA.
ni zao la wana wa Israel walioingia Misri kipindi kulipokuwa na njaa Kanaani. Ambapo mdogo wao Yusufu alikuwa amenunuliwa na Farao.!
Watu hawa walikabidhiwa eneo lao kwa ajili ya makazi yao likiitwa Gosheni.. walikuwa wanazaliana sana (kama wapemba) jokes.
Nafsi zilizoingia Misri zilikuwa 70. Ukijumlisha watoto 12 wa Yakobo (Israel) na walio ambatana nao. Kutoka 1:1-7.
ili kudhibiti ongezeko la uzao wao wazalishaji Shifra na Pua wakapewa mission ya kuwaua watoto wote wa kiume wanaozaliwa na Wana wa Israel (waebrania.) Walikuwa Wakimcha Mungu. Wa Israel..
Kutoka 2:1-5. Inaeleza habari za Musa alizaliwa na Mtu kutoka Nyumba ya Lawi... Ambaye ni Mzaliwa wa Tatu wa Yakobo Israel akiwa amefuata baada ya Ruben na simeon. Kwenye uzao wa Lea.
hivyo Mussa alikuwa ni Muisrael au Muebrania.. aliemuabudu Mungu wa Israel. Aliemtokea wakati akienda nyumbani kwa Rabani. MUNGU HUYU ANAITWA JEHOVA ALFA NA OMEGA.!
 
Uislamu umeanza toka Adam,kabla hata Musa, hajazaliwa,ndio ukaona waislamu wanaamini kitume yote, kuanzia Adam mpaka Yesu, na vitabu vyote, kuanzia Zaburi,Taurati,Injili ,na Taurati ni kitabu cha Musa, bila kuiamini Taurat na Musa, uislamu haujakamilika wa anayeamini.
Kweli vyuma vimekaza.

Mtume Muhammad alizaliwa lini?

Pumbavu
 
Uislamu umeanza toka Adam,kabla hata Musa, hajazaliwa,ndio ukaona waislamu wanaamini kitume yote, kuanzia Adam mpaka Yesu, na vitabu vyote, kuanzia Zaburi,Taurati,Injili ,na Taurati ni kitabu cha Musa, bila kuiamini Taurat na Musa, uislamu haujakamilika wa anayeamini.
Shukran kwa Darsa lenye usaqa wa vitabu na mitume wa Mwenyeezi Mungu...
 
Back
Top Bottom