Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Hivi Musa alikuwa Myahudi au Mwarabu?

Hata utumwa haukuwepo na vita vya maji maji, ni stori tu !
Ushahidi wa utumwa upo hata wa vita vya majimaji upo hata ukienda makumbusho ya majimaji Songea Leo utaona makabuli na picha za wahanga.

Kuna mambo yaliyotokea miaka mingi kama Sumerian civilization miaka mingi tu kabla ya kristo na yana ushahidi.

Mafarao walikuwepo ushahidi upo mpaka Leo Misri.

Lakini wa Waisraeli kuishi Misri mbona haupo hata mdogo tu.
 
Mimi nilikuwa muislamu safi. Niliamua kusoma koran na biblia kwa umakini Sana na kufanya utafiti WA Hali ya juu Sana tena kwa muda mrefu Sana. Nikagundua kuwa uislamu ni hadithi zaidi muhamadi aliikopy na kupest mäandishi mengi toka kwenye biblia na kuyaingiza kwenye biblia. Ukweli waislamu wanakaririshwa uongo mkubwa Sana. Wanaaminishwa mambo ya uongo mkubwa. Ndo mana pia Nikagundua pia mashehe wetu wengi hawajasoma wengi wanakaririshwa tu. Ndipo Nikagundua waislamu wengi wanatetea uislamu kwa Magomvi na mauaji. Nikagundua kuwa muislamu anaweza hubiri ulaya lkn si rahisi mkristo akahubiri bara la Asia lzm atauawa.. Nilipogundua uongo huu WA korani na ubaya na ukatili wa waarabu niliamua kuhama dini hii miaka 20 iliyopita. Hakika uislamu ni dini iliyojaa uongo ukatili ushirikina na waislamu Hawana Hofu ya mungu.
Nakubaliana nawe 100% ndiyo maana kwenye mihadhara yao wanatumia Biblia maana hata wao wanaamini iko sahihi zaidi ya Qur'an
 
Ila hukuona Biblia ni ya kukopi na kupesti ?!
Maana Biblia haijulikani ni Kitabu cha nani (zaburi - Daudi, Injil - Yesu, Tourat - Musa, Qur'an - Muhammad)
Biblia imejaza vitu chungumzima mpaka barua (waraka)
Bado hiyo hiyo Biblia haina Injil ya Yesu. Kuna ya Marko, Luka, Yohana na Mathayo.
Ukiipata Injil ya Yesu, unitag fasta.
Soma; Luka; 1:1-2.
Kama hamuamini Biblia kipi kinawafanya muitumie kuwashawishi watu wasilimu si mngetumia lile gazeti lenu la udaku
 
Mungu mfu, ni yule asiyewasaidia wafuasi wake, hasikii maombi ya wafuasi wake, mungu mfu hawezi kujipigania mpaka wafuasi wake wampiganie. Kwa habari ya Bw. Yesu, yeye pekee ndiyo anayepigania wafuasi wake wao wametulia. Tena kwa jina lake ,aina zote za malaika na mapepo wanatii hata wakiamriwa na katoto kadogo. Kama huamini, hebu jaribu kukemea nini lililompagaa Mtu kwa jina la mungu unayemwamini wewe kama pepo atatoka.
 
Musa na Adam walikiri kwa moyo na kutamka kwa ulimi ya kuwa 'hapa Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi Mungu Mmoja.
(ash'hadu ala illaha ila Allah !)
Wakati wao Muhammad hakuwepo. Hivyo hawawezi kumkiri Muhammad, wakati Manabii wengine bado walikuwa njiani. .....umeona eeh !
Hayo maneno yapo katika sura ipi ndani ya Qur'an ?
 
Kama ni nabii tu kwa nini yeye ndiye pekee atakaye uhukumu ulimwengu siku ya kiama.Soma Quran ,soma Biblia ujiulize hilo swali.Kwa nini sio Musa,Kwa nini sio Isaya au Mohammed ??
Qur an ipi inasema Yesu atauhukumu ulimwengu? Aya gani hiyo? Hebu tafuta Qur an yenye tafsiri halafu soma sura ya 19 (Mariam) huu ndio ukweli usiopingika kuhusu huyo unayemtaja. Qur an haikwekwesi wala haipindishi maneno na hakuna fumbo la imani katika hicho kitabu, ukitaka amini usipotaka endelea na imani yako ila usituletee hadithi za kufikirika humu
 
Mimi nilikuwa muislamu safi. Niliamua kusoma koran na biblia kwa umakini Sana na kufanya utafiti WA Hali ya juu Sana tena kwa muda mrefu Sana. Nikagundua kuwa uislamu ni hadithi zaidi muhamadi aliikopy na kupest mäandishi mengi toka kwenye biblia na kuyaingiza kwenye biblia. Ukweli waislamu wanakaririshwa uongo mkubwa Sana. Wanaaminishwa mambo ya uongo mkubwa. Ndo mana pia Nikagundua pia mashehe wetu wengi hawajasoma wengi wanakaririshwa tu. Ndipo Nikagundua waislamu wengi wanatetea uislamu kwa Magomvi na mauaji. Nikagundua kuwa muislamu anaweza hubiri ulaya lkn si rahisi mkristo akahubiri bara la Asia lzm atauawa.. Nilipogundua uongo huu WA korani na ubaya na ukatili wa waarabu niliamua kuhama dini hii miaka 20 iliyopita. Hakika uislamu ni dini iliyojaa uongo ukatili ushirikina na waislamu Hawana Hofu ya mungu.
Mkuu heshima kwako, katika kitu naogopa ni uongo, Islam yeyote akikusoma hapo anajua kwamba unadanganya na sijui ni kwa faida ya nani? Hapa tupo katika kufundishana, kurekebishana pia kujisahihisha na hakuna ugomvi humu zaidi ya ubishi wa kawaida ila si uongo kama wako, mkuu neno ukishindwa kulitamka hata kuliandika ni kazi kidogo, hebu pitia uone umechemka wapi [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Swali lako haliko sahihi

Ni sawa na kuuliza hivi Magufuli ni Msukuma au Muislam?
Kwa kuwa inawezekana akawa ni Msukuma pia ni Muislam
Inawezekana Mtu akawa Muarabu lakin pia akawa Myahudi Ila haiwezekani Ukawa Muarabu hapo hapo Ukawa Muisrael

Uarabun ni race lakin Uyahudi ni dini
Ingekuwa Mussa alikuwa muisrael au muarabu
Au Mussa alikuwa Muislam au Myahudi?

Mtoa mada kwenye title yake alikua sahihi kusema MUSA ALIKUA MUARABU AU MYAHUDI ila amekuja kukosea aliposema Yaani muislam au mjewish(mjuda).

Kaka wewe umezidi kutupoteza baada ya kusema angeuliza Musa alikua muislam au myahudi.

Tuelewane kidogo,sisi tunashindwa kutenganisha kati ya Jewish na Judaism, ama hatuna kiswahili fasaha cha kutenganisha kati ya Jewish na Judaism. Kiurahisi kabisa Jewish ni kabila, na Judaism ni mila ama tamaduni in general ni dini/religion. Kwa hiyo mtu anawezekana akawa Jew lakin akawa ana imani ya kislam au kikristu au Judaism au akawa nonbeliever. Kwa hiyo dini ni Judaism, Muslim na Christian na zinginezo.

Kwa maelezo hayo machache mtoa mada alikua sahihi kusema Musa alikua ni muarabu au myahudi?. Hapa alitaka kujua Musa alitokea kwenye kabila ama jamii ya waarabu au alitokea kwenye kabira/jamii ya kiyahudi/Jewish.
 
Muislaam wa kwanza ni Adam (Nabii Adam AS). Ni kwa mujibu wa Qur'an na mafundisho ya Kiislaam na si kwa mujibu wa tuition' za Sunday school or kipa imara.
Hivyo watu wote huzaliwa Waislaam na wengine hujitoa kwenye asili yao ya Uislaam wakabatizwa au kuasi.
Ndugu, wapo walio karirishwa na wapo wanaosoma wenyewe.!
kwa mujibu wa biblia niisomayo mimi hakuna hata sehemu moja inayosema Adamu alikuwa muislam..!
 
Ndugu, wapo walio karirishwa na wapo wanaosoma wenyewe.!
kwa mujibu wa biblia niisomayo mimi hakuna hata sehemu moja inayosema Adamu alikuwa muislam..!
Kukariri unakuelewaje ? Ndugu zetu hivi uelewa wenu ukoje ?. Kukariri ni kufuata kitu vile vile kilivyo. Ukiambiwa Mungu ni Mmoja ni hivyo hivyo tu. Sasa usipo kariri ndo unaambiwa mara mmoja kwa watatu sijui nini !
 
Moses ni finction tu,
bali kulipata kuwepo farao Tutmoses,
walibase story ya moses kutokana na huyu farao,kama walivyobase story ya Daud kwa kutumia mfalme Hazael wa Aramean empire.

Mfalme wa israel aliesimamisha kingdom ikaeleweka na ikasimama ni mfalme Omri,akaja mwana ahaziah,kina jehu,
mfano huyu omri mpaka kuna sarafu zake na mabaki ya ikulu yake yanaonekana kule samaria.

Lakini wayahudi walifanya juu chini kuchafua record zao,huku wakioverate record za machifu wa kabila dogo za kiyahudi ambalo utawala wao ulikuwa weak na masikini sana na mda wote wa uwepo wake yudah ilikuwa ni vasaal state ya ama Egypt,asyria ama persia,ama alexander the great
 
View attachment 657600
Huu Msikiti upo Jerusaleem, ulijengwa na Nabii Suleyman na ndipo ulikuwa uelekeo wa Waislaam wa zamani wakati wakiswali.
Tafuta andiko kwenye Biblia kuna maneno Yesu anasema: hamtamuabudu Baba (Mungu) katika Mlima ule (Sinai) wala kule Jerusaleem, bali 'ufalme' wa Baba (Mungu) utahamishwa kwenda Taifa jingine lenye kuzaa matunda.
Acha uongo wewe.!
 
Back
Top Bottom