Kama ni hivo kwanini huwa bench la ufundi inaonyesha taulo sometimes wakati refa yupo?
Ni kweli kabisa, angesubiri muda kidogo tu, tungeshuhudia KOAlichoniudhi refa wa jana maana yeye ndio kaharibu pambano alitakiwa avumilie kidogo tu yule jamaa angeongezwa ngumi chache angekwenda chini
🙄🙄🙄Kiduku!!! Oooh No No No. Hajui ngumi , Dulla alimkalisha, tusifananishe na mpira nasema kiduku bado sana
Huyo refa mpuuzi.Tena ngumi zenyewe alikua anazikwepa. Aibu kwa waamuzi wetu. Kama yule wa Tony na msouth et refa anasema too much running wakati inaruhusiwa.
Mdigo kawashika pabaya!! Ha,haa,haaaaaa....Mwakinyo ana ujanja ujanja mwingi sana kulikuwa na ngumi gani ya maana ya kumfanya refa kumaliza pambano kihuni vile.
Hata Francis Cheka alipokuwa kwenye ubora wake walimuandama hivihivi mpaka akapotea. Watu wengine upinzani ndio utamaduni wao!!Mtoa uzi na wanamsapot wote wshamba na asili yao watu wa kanda ya ziwa na moshi au arusha
Mna chuki binafsi kisa ni mtu wa tanga kaaeni mtulie ngumi hamjui fuatilia pambano
Kaangalie la salim mtango kule nje TKO iliamuliwa vip
Sizani kama unaelewa vzuri maana ya professional player.Mimi najua maana yake ndio maana nimeandika hivyo..Nikuulize wewe unajua maana yake?
Hauwezi kunielewesha mimi labda wewe ndio Ueleweshwe mwanzo ulikanusha ulitaka kusema mwakinyo sio professional player halafu sasa hivi unasema mwakinyo ni professional player .Sizani kama unaelewa vzuri maana ya professional player.
Kuwa mkweli ueleweshwe.
Mwakinyo ni professional player pia kiduku ni profesional player utofauti ni katika uzto.
Ile ni TKO ndugu zangu.
Mtu akipigwa ngumi 5 bila kurudisha Referee au upande wake (kocha) wanaweza sitisha pambano.
Kumbuka pambano ya Wilder Vs Furry.
Referee wa Wlder ndio alisitisha pambano kwa kurusha kitaulo.
#YNWA
Nipe namba ya mkeo.Ngumi hujui .
Fuatilia michezo mingine tu.
Yule refa mhandisi wa ndege(rtd)John chaguHuyo refa mpuuzi.
Sheria ya ngumi inasema piga na zuia usipigwe .
Kwa hiyo pigana vyovyote unavyojua wewe kikubwa usivunje sheria
Kwahyo Debut ndio kuacha ngumi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Watanzania acheni ujuaji
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Huyo refa ni zao la tumeNi kweli kwamba kama pambano lile lingemalizika kwenye round ile , bila shaka Mwakinyo angeshinda kwa points , maana alipeleka ngumi nyingi za maana kwa mpinzani wake.
Lakini kilichonishangaza ni kitendo cha mwamuzi kumaliza pambano wakati bado Indongo yuko imara, hii kwa mnaojua ngumi mnadhani sababu ni nini hasa?
Kama usemayo ni kweli ni vema Bondia wetu bora akapambana na twaha kiduku au na kidunda.
Simba na yanga kwa ukubwa zake lakini bado hucheza mechi na timu ndogo. Kwa mwakinyo anakataa kucheza pambano moja na hawa ndugu zake kwa ajili ya kuwapa uzoefu?
Anaogopa nini bingwa wetu?
Kuna jambo na siri gani mwakinyo anaificha nyuma ya mapambano na wageni anaowaalika?
Nampongeza kwa kushinda kwake pambano la jana usiku lkn pamoja na pongezi zangu ananiangusha kuogopa kucheza na watu wa nyumbani..
Katika pre season hii alhaly ya misri imecheza mechi nyingi na timu mpaka ya daraja la kwanza. Simba ilifungwa na timu ya daraja la kwanza kutoka kigoma na kutolewa kwenye FA na bado simba na alhaly ni timu kubwa na zakuogopesha.
Lini simba na Yanga zilienda kucheza ndondo cup ili kuzipa uzoefu team ndogo?!Kama usemayo ni kweli ni vema Bondia wetu bora akapambana na twaha kiduku au na kidunda.
Simba na yanga kwa ukubwa zake lakini bado hucheza mechi na timu ndogo. Kwa mwakinyo anakataa kucheza pambano moja na hawa ndugu zake kwa ajili ya kuwapa uzoefu?
Anaogopa nini bingwa wetu?
Kuna jambo na siri gani mwakinyo anaificha nyuma ya mapambano na wageni anaowaalika?
Nampongeza kwa kushinda kwake pambano la jana usiku lkn pamoja na pongezi zangu ananiangusha kuogopa kucheza na watu wa nyumbani..
Katika pre season hii alhaly ya misri imecheza mechi nyingi na timu mpaka ya daraja la kwanza. Simba ilifungwa na timu ya daraja la kwanza kutoka kigoma na kutolewa kwenye FA na bado simba na alhaly ni timu kubwa na zakuogopesha.
Ngumi ni biashara we unadhani wanapigana kupata sifa baadae waje kuteseka na magonjwa sugu uzeeni...angalia rank ya huyo bondia hapo anashika nafasi ya 40 duniani kati ya mabondia 1691 wa uzito wake.Huyo bondia aliyepigana na mwakinyo Julius indongo ni kweli bondia ila alishaacha ngumi Mwaka jana na pambano lake la mwisho kapigwa kwa Ko sio ud napata tabu kidogo na promota wa mwakinyo hiv uzito wa mwakinyo hakuna mabondia wazur mpaka wakatafute mabondia ambao tayar walishaacha na mchezo?lengo ni nini?View attachment 1923097
Apigane na Kiduku wakiwa wanagombea kitu gani?!Kama ina kanuni kwanini mwakinyo hataki kupigana na kiduku?
Na wewe tukuandalie lini pambano na ubebweMwakinyo kabebwa
Watanzania kwa ujuaji ni kiboko yaani we hata kiingereza hujui unajifanya unajua nyie ndio mnapotosha watu mitaani kwa ujuaji wenu.Pambano la mwisho kacheza 2009 ndio maana nikasema ni sawa na kuacha ngumi…hiv mtu toka 2009 ndo kacheza mchezo wa mwisho ndo unamleta bongo kwenye ngumi na mwakinyo?