Hivi mwanamke akikuambukiza UTI si ina maana amechepuka?

Hivi mwanamke akikuambukiza UTI si ina maana amechepuka?

Jamii zisizostaarabika wanatabia ya kuleta statement jumuishi kuficha Jambo kwenye jamii ,GONO bongo hapa ni zaidi ya upatikanaji wa nyanya (imefichwa kwenye UTI),nawahanga wanawake hupakaziwa kilakitu na hii kwasababu wao ndo wenye UTI yakweli ya chooni ,baada ya kuona oooohooo ndoa zitavunjika zooote tuie UTI ,tofauti yake Moja hamtibiwi kwapamoja (utasikia unabakteria 3000 ,meza dawa Sana kunywa maji) , UTI ya mchongo lazima uulizwe unamke au unamume
kama nakuelewa hivi
 
Uti ni ugonjwa wa wanawake, sio ugonjwa wa zinaa ila kwa wanaume maranyingi huambukizwa kwa kujaamiiana na mwanamke wa ugonjwa huo ila kwa wanawake wanaupata kwenye chupi chafu, mabafu na eêvyoo vyaa public, bleed nk
 
Back
Top Bottom