Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
😘Asante sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😘Asante sana
Motto Nditi unataka kujua vilivyomo ndani ya skirt,ndio ukome nenda kapime ukimwi na ghonorhea maana waga vinaenda pamoja na utiBaada ya kukutana nae tu, siku mbili mbele nikaanza jisikia ovyo, nimepima nimekutwa na UTI, na hapa si inamana nipime na UKIMWI? Hii sio ishara ya kuchepuka?
Ebwana! Nilikua nasikia homa, kiuno kinauma ila mkojo na chini hakukua kunauma, sasa inakuaje?Tunatumia Tafsida tu wakuu ila UTI haiambukizwi kwa ngono ukiona chini kunauma kiuno kinauma mkojo unauma homa ujue ushayavagaa tayari GONO
Kapime sasa kakaEbwana! Nilikua nasikia homa, kiuno kinauma ila mkojo na chini hakukua kunauma, sasa inakuaje?
[emoji1787]Angalia tako achana na ukoko
Baada ya kukutana nae tu, siku mbili mbele nikaanza jisikia ovyo, nimepima nimekutwa na UTI, na hapa si inamana nipime na UKIMWI? Hii sio ishara ya kuchepuka?