Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Lkn huo ni uchafu banaMimi hata sielewi shida inakuwa nini. Sijui ni fungus au magonjwa ya zinaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lkn huo ni uchafu banaMimi hata sielewi shida inakuwa nini. Sijui ni fungus au magonjwa ya zinaa
1.UTI is not sexually transmittedBaada ya kukutana nae tu, siku mbili mbele nikaanza jisikia ovyo, nimepima nimekutwa na UTI, na hapa si inamana nipime na ukimwi? Hii sio ishara ya kuchepuka?
Daaah mpaka kinyaa aisee. Hivi mtu anawezaje kuishi na uchafu kama huo?🤮Lkn huo ni uchafu bana
Tuliambiwa humuhumu UTI haiambukizwi kwa sexNenda jukwaa la afya. Ila kwa navyoelewa mimi wanawake ni rahisi sana kupata UTI hata kwa kushare tu vyoo ambavyo sio safi. Haina maana kua amechepuka
Kuna mchangiaji humu alisema ukiona mtu ameandikiwa sindano aina ya powersafe ujue ana UTI ya mchongoJamii zisizostaarabika wanatabia ya kuleta statement jumuishi kuficha Jambo kwenye jamii ,GONO bongo hapa ni zaidi ya upatikanaji wa nyanya (imefichwa kwenye UTI),nawahanga wanawake hupakaziwa kilakitu na hii kwasababu wao ndo wenye UTI yakweli ya chooni ,baada ya kuona oooohooo ndoa zitavunjika zooote tuie UTI ,tofauti yake Moja hamtibiwi kwapamoja (utasikia unabakteria 3000 ,meza dawa Sana kunywa maji) , UTI ya mchongo lazima uulizwe unamke au unamume
Catheter1.UTI is not sexually transmitted
2.UTI is highly over-diagnosed in Tanzania (watu wengi sana wanasingiziwa UTI ambazo hata hawana wala hawajawahi kuwa nazo, hasa wanaume).
3.Ni ngumu sana sana kisayansi kwa mwanaume mtu mzima kupata UTI, isipokua tu wale wenye risk factors fulani fulani (eg Wanaokojoa kwa kutumia mipira, wenye ugonjwa fulani wa kimaumbile wa kuzaliwa kwenye mfumo wao wa mkojo).
Kama mtu anyoi hadi ukoko unaota kweny kwapa unadhani hivo ndo hawezi.Daaah mpaka kinyaa aisee. Hivi mtu anawezaje kuishi na uchafu kama huo?🤮
Halafu ni mwanamke sasa watu wachafu aiseeKama mtu anyoi hadi ukoko unaota kweny kwapa unadhani hivo ndo hawezi.
Na nyie mnalamba tuHalafu ni mwanamke sasa watu wachafu aisee
Tukishavua nguo sijui akili huwa zinaenda wapi? Lakini kama yule hapana jamani khaaa!Na nyie mnalamba tu
😂😂😂We unasema wengine wanawalamba kabisa wanaume wana siri nyingi sanaTukishavua nguo sijui akili huwa zinaenda wapi? Lakini kama yule hapana jamani khaaa!
Cervical excitationUnaumri Gani wewe hospitalini au matibabu GONO haiitwi GONO ,wanaita u.t.i.... kunatofauti u.t.i ya chooni unayosema na GONO , endapo itakua u.t.i yakawaida hutaambiwa kamlete mweza wako ,ukiona umeambiwa kamlete mweza wao au swali unamweza Jua tayari 99% umeambukizwa n ukimwi
Madaktari mnaraha ,wengine hupima UTI Kwa kutia vidole wanawake ,utasikia lala hapo ,jamaa anaingiza kidole.....daaaaa
Huwa tunajizima data sana aisee, maana kuna wakati tunalamba na kufyonza mpaka demu unayemfyonza anakushangaa huo ujasiri wa kumfyonza tigo umeupata wapi😂😂😂We unasema wengine wanawalamba kabisa wanaume wana siri nyingi sana
Mhhh poleni sana aisehHuwa tunajizima data sana aisee, maana kuna wakati tunalamba na kufyonza mpaka demu unayemfyonza anakushangaa huo ujasiri wa kumfyonza tigo umeupata wapi
Ila kwa sababu anasikia utamu anakukaushia tu
Mtupe na hongera maana tunawasisimua sana tunapolamba nyuchi zenu dunia yote mnaiona yenuMhhh poleni sana aiseh
Mmhhhh hongereni kwa kujibebea uchafu wote.Mtupe na hongera maana tunawasisimua sana tunapolamba nyuchi zenu dunia yote mnaiona yenu
🙏🙏🙏asante kwa kushukuru tuko kwa ajili yenu muinjoiMmhhhh hongereni kwa kujibebea uchafu wote.
Asante sana🙏🙏🙏asante kwa kushukuru tuko kwa ajili yenu muinjoi