Hivi mwanaume anapata nini kwenye ndoa kiasi kwamba ajutie kutokuwa na ndoa. Je, ndoa kwa Dunia hii ni muhimu kuliko pesa

If you cannot cultivate your own happiness and become personally content, then don't ever expect someone to fulfill the bleak emptiness inside you.

Of all the loneliest people in the world, Married people are ahead of the curve than single people. And why ?, unfulfilled expectations.

Waacheni watu waishi maisha yao.​
 
Utulivu WA Kweli unapatikana ktk ndoa, Allah amesema nimekuumbieni wanawake jinsi moja na yenu ili mpate utulivu ndani yao na amejaalia huruma na mapenzi ndani yao.

Hawara atakupenda ukiwa na hela Lkn ukiwa huna kitu huyo sio mwenzio, kwasababu hana mafungamano yoyote na wewe.

Mpango wa Mungu uzao wa mwanadamu upatikane ktk ndoa,kwani hakika mwadamu amepewa hadhi kubwa kuliko viumbe wore, iweje Leo mwanadamu awe Kama Mnyama?
 
dronedrake
 
Katika kabila letu, kijana wa kiume huwa anahama kutoka kundi la watoto pale tu anapooa. Hivyo ndoa ni ticket ya kuingia kwenye kundi la WANAUME.

Madhara ya kutokuoa katika ngazi ya ukoo ni kutoshiriki katika vikao vya kimaamuzi vya ukoo. Usipooa basi jua maamuzi yote yanayokuhusu katika ukoo utafanyiwa na wanaume wenzako waliooa maana wewe utahesabika kama mtoto hata kama utakuwa na miaka 70.
 
This is stupidity of high levels!!!
 
Mbowe hana mke????😀😀... Sasa angeruhusiwa vipi kugombea uraisi? sidhani kama hapa pana ukweli. By the way, wanawake siku hizi wamekuwa watu wa ajabu sana, kuanzia kwenye mahusiano tu wamekuwa wanayachukulia kama sehemu ya kupiga hela, hakuna mapenzi ya dhati mda wote wanawaza tu kupiga vizinga vya hela. Kwa staili hii ya wanawake wa siku hizi, sidhani kama huku JF kuna mwanaume anayeona haja ya kuwa ndoa. Wanawake jirekebisheni
 
Umri gani?

1. Huyo Sugu,umemuuliza kipi amekosa miaka yote,akaenda kukitafuta kwenye 40s?

2. Mbona sijaona jina Halima Mdee?

Mwanaume,hao watoto anawapataje labda? Aweze kuwa na furaha na watoto wake!!

Uliwahi muona kiongozi kwenye ngazi za taifa kakabidhiwa majukumu akiwa hajaoa/kuolewa? Ukimuona, ujue hilo taifa lina tatizo(kikatiba au kutoiheshimu katiba). Kasoro tu wanaohusika na vijana. Japo kuna nchi moja, taasisi ya vijana imeshikiliwa na vizee.
Kwenye ndoa, kuna mitihani mingi isiyoisha na haifauriki. Ndo maana inakuwa ni kipimo cha uvumilivu.
 
Kote huko kwenye 55!!! Muulize kwa sasa tumbo likichachamaa anafanyaje
 
This is stupidity of high levels!!!
Ukiwa na hiyo level ya stupidity ndio utakuwa na mtazamo kama wako. Ila wahenga walikuwa na akili sana kwenye hili maana kupitia huu utaratibu wameshape jamii na ni nadra kukutana na vijana wa hovyo wa kataa ndoa katika jamii yetu.

BTW hata katiba haimtambui kuwa na akili timamu ya kufanya maamuzi makubwa ya mustakabali wa taifa mtu mhuni asiye na mke, ndio maana ni mwiko kugombea uraisi wa nchi ukiwa hujaoa.
 
Huwezi kuelewa maana halisi ya ndoa kama wazazi wako waiishi katika ndoa ya manyanyaso na mateso, kama ulilelewa na mzazi mmoja, kama hukuona faida ya baba ndani ya nyumba.
Ndoa ni taasisi, inatengeneza jamii bora, kama huoni hilo unadhani kwako ndoa ina maana basi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…