Hivi mwanaume anapata nini kwenye ndoa kiasi kwamba ajutie kutokuwa na ndoa. Je, ndoa kwa Dunia hii ni muhimu kuliko pesa

Hivi mwanaume anapata nini kwenye ndoa kiasi kwamba ajutie kutokuwa na ndoa. Je, ndoa kwa Dunia hii ni muhimu kuliko pesa

Usiongee usichokijua
dhamana ni haki ya mtuhumiwa.
Huenda sina taarifa currently kuhusu Hilo.

Tuje kwenye mada iliyopo Mezani, vipi hujaona Faida za Kuoa kwa Mwanaume kama alivyosema Mtoa mada?
 
Kwa mwanaume kuwa na ndoa ndio maumbile yake kijana wangu.!! Sasa ww umepewa mkia WA Nini kama kujamiiana kihalali hutaki ? Au unataka kuolewa ww ili upate furaha na amani kama mwanamke.
 
Nimekuwa nikijiuliza Nini cha maana mwanaume anapata kwenye ndoa, kiasi kwamba ajutie anapokuwa hana ndoa. Siungani na wale wa kataa ndoa, ila najiuliza tu Nini kinapotea kama haupo kwenye ndoa. Kwa wanaume, una pesa, una watoto.

Mwanamke akiwa kwenye ndoa anapata faida hizi .
1. Usalama wa kijamii na kifedha.
2. Furaha nk ,

Najiuliza Sana sababu wanaume wenye pesa na hawana ndoa naona kama wapo happy Sana na afya zao zipo SAWA sana .............

Kuna watu maarufu mitaani wenye pesa na hawana ndoa, mfano mchukue Mbowe, Aliko Dangote, Diamond Platnum, Myika Nk na wengine wengi wenye pesa na hawana ndoa, vipi wenye wanonekana kutetereka kwa kuikosa ndoa.

Mchukulie Sugu ameoa akiwa na almost 40 hivi kuna kitu anaweza kuwa anajutia sawa na Gerald Amos yule mwimba kwanya pale kanisani kwenu aliyeoa akiwa na miaka 20 na anaishi kwenye nyumba ya kupanga, hawezi panga mlo wa wiki, watoto wapo Kayumba school, ada, nguo vinamtesa

Kua uyaone.
 
Nimekuwa nikijiuliza Nini cha maana mwanaume anapata kwenye ndoa, kiasi kwamba ajutie anapokuwa hana ndoa. Siungani na wale wa kataa ndoa, ila najiuliza tu Nini kinapotea kama haupo kwenye ndoa. Kwa wanaume, una pesa, una watoto.

Mwanamke akiwa kwenye ndoa anapata faida hizi .
1. Usalama wa kijamii na kifedha.
2. Furaha nk ,

Najiuliza Sana sababu wanaume wenye pesa na hawana ndoa naona kama wapo happy Sana na afya zao zipo SAWA sana .............

Kuna watu maarufu mitaani wenye pesa na hawana ndoa, mfano mchukue Mbowe, Aliko Dangote, Diamond Platnum, Myika Nk na wengine wengi wenye pesa na hawana ndoa, vipi wenye wanonekana kutetereka kwa kuikosa ndoa.

Mchukulie Sugu ameoa akiwa na almost 40 hivi kuna kitu anaweza kuwa anajutia sawa na Gerald Amos yule mwimba kwanya pale kanisani kwenu aliyeoa akiwa na miaka 20 na anaishi kwenye nyumba ya kupanga, hawezi panga mlo wa wiki, watoto wapo Kayumba school, ada, nguo vinamtesa
sasa kama kuandika tu huwezi,utajua umuhimu wa ndoa wewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukipata vihelaa ukala ukashiba utaelewa utulivuu gani anazungumziaa ilaa Kama unaamka asubuhi hujui utakulaa nini bhasi akili yako bado haiitaji utulivu unaosemwaa pambana...
Binadamu mwenye utulivu wa juu kabisa wa akili na anayefanya tahajudi inavyotakiwa haitaji sex kuwa ni sehemu ya lazima ya maisha yake.
Watu wenye ukuaji mkubwa wa kiroho sex sio suala la lazima.Sex ni lazima kwa watu wenye ujuzi mdogo wa mambo ya kiroho.Kiroho hapa simaanishi dini.
 
Nimekuwa nikijiuliza Nini cha maana mwanaume anapata kwenye ndoa, kiasi kwamba ajutie anapokuwa hana ndoa. Siungani na wale wa kataa ndoa, ila najiuliza tu Nini kinapotea kama haupo kwenye ndoa. Kwa wanaume, una pesa, una watoto.

Mwanamke akiwa kwenye ndoa anapata faida hizi .
1. Usalama wa kijamii na kifedha.
2. Furaha nk ,

Najiuliza Sana sababu wanaume wenye pesa na hawana ndoa naona kama wapo happy Sana na afya zao zipo SAWA sana .............

Kuna watu maarufu mitaani wenye pesa na hawana ndoa, mfano mchukue Mbowe, Aliko Dangote, Diamond Platnum, Myika Nk na wengine wengi wenye pesa na hawana ndoa, vipi wenye wanonekana kutetereka kwa kuikosa ndoa.

Mchukulie Sugu ameoa akiwa na almost 40 hivi kuna kitu anaweza kuwa anajutia sawa na Gerald Amos yule mwimba kwanya pale kanisani kwenu aliyeoa akiwa na miaka 20 na anaishi kwenye nyumba ya kupanga, hawezi panga mlo wa wiki, watoto wapo Kayumba school, ada, nguo vinamtesa
Unachodhani ni muhimu kwako sio muhimu kwa mwingine, na kilicho muhimu kwa mwenzio sio lazima kiwe muhimu kwako. Muhimu katika maisha ni furaha tu.
 
Nilipoona unasema Mbowe naye Hana Ndoa nikaacha kuendelea kusoma ulichoandika.

Hata kama ulizaliwa na kulelewa na single parent haitapendeza watoto wako nao waishi hivyo.

Usichojua ni kuwa Mwanaume mwenye Ndoa anapata heshima kubwa kwenye jamii kuliko asiye na Mke.

Hata ukiwa na Kesi Polisi/Mahakamani dhamana haitolewi Kwa Muhuni/ Mwanaume asiye na familia
Let's talk reality

Kwamba mwanaume mwenye mke anapata heshima kuliko mwanaume mwenye hela?
 
Binadamu mwenye utulivu wa juu kabisa wa akili na anayefanya tahajudi inavyotakiwa haitaji sex kuwa ni sehemu ya lazima ya maisha yake.
Watu wenye ukuaji mkubwa wa kiroho sex sio suala la lazima.Sex ni lazima kwa watu wenye ujuzi mdogo wa mambo ya kiroho.Kiroho hapa simaanishi dini.
😀 😀 😀 😀 Kirohoo kipii na huko makanisani ndo kumechafukaa na misikitinii...kesi za kubaka na kulawiti haziishi...its human nature wew jidai hutaki sex kazi kazi yako ni kunyetukaaa tuu
 
Japokuwa ndoa huwa ina changamoto nyingi ila lazima ukubali ni Mpango wa MUNGU!, Mungu aliagiza hilo na ni lazima lifuatwe,Mtu mpagani asiye na dini ndio anaweza kuuliza swali tata kama lako na kupoteza muda Kwa swali hili
Kama ndoa ni mpango wa mungu , Je watu wakiachana ni mpango wa nani ?
 
Back
Top Bottom