BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Hii ni hoja pia binafsi kipato changu kidogo majukumu ya kutunza mke nahisi ni ghaliKataa ndoa wana kwepa majukumu ktk familia hakuna kingine. Ni wana akiri za kitoto na hawa pendi kuwajibika ktk jamii.
Huenda sina taarifa currently kuhusu Hilo.Usiongee usichokijua
dhamana ni haki ya mtuhumiwa.
Ndoa zimekuwa utapeli sanaHii ni moja ya sababu za Vijana kutokuoa
Upotoshaji huu.Vijana wanaokataa ndoa asilimia 100 wanajichua
Na jamaa kamuachia na mtoto kmmmkndicho anachokiogopa Masanja baada ya kutafuniwa mkewe mchana kweupe
anajua akikiwasha, nusu ya worth yake inateketea
Wanagongwa nje ya ndoaHao malaya wanaoolewa na wanenu wanafanya umalaya na kina nani?
Kulia sio tatizoUtakuja kulia vibaya ww
Hii kitu ni ngumu sana aisee.no fap ndo mpango mzuri kabla ya ndoa
Kwenye post yako No. 44 umesema wanenu wanaoa wanawake WALIOTUMIKA sana KABLA ya ndoa yaani malaya. Ndiyo maana nikauliza huo umalaya wanaoufanya KABLA ya ndoa hao wanawake wanafanya huo umalaya na kina nani?Wanagongwa nje ya ndoa
Na wanaumeKwenye post yako No. 44 umesema wanenu wanaoa wanawake WALIOTUMIKA sana KABLA ya ndoa yaani malaya. Ndiyo maana nikauliza huo umalaya wanaoufanya KABLA ya ndoa hao wanawake wanafanya huo umalaya na kina nani?
Nimekuwa nikijiuliza Nini cha maana mwanaume anapata kwenye ndoa, kiasi kwamba ajutie anapokuwa hana ndoa. Siungani na wale wa kataa ndoa, ila najiuliza tu Nini kinapotea kama haupo kwenye ndoa. Kwa wanaume, una pesa, una watoto.
Mwanamke akiwa kwenye ndoa anapata faida hizi .
1. Usalama wa kijamii na kifedha.
2. Furaha nk ,
Najiuliza Sana sababu wanaume wenye pesa na hawana ndoa naona kama wapo happy Sana na afya zao zipo SAWA sana .............
Kuna watu maarufu mitaani wenye pesa na hawana ndoa, mfano mchukue Mbowe, Aliko Dangote, Diamond Platnum, Myika Nk na wengine wengi wenye pesa na hawana ndoa, vipi wenye wanonekana kutetereka kwa kuikosa ndoa.
Mchukulie Sugu ameoa akiwa na almost 40 hivi kuna kitu anaweza kuwa anajutia sawa na Gerald Amos yule mwimba kwanya pale kanisani kwenu aliyeoa akiwa na miaka 20 na anaishi kwenye nyumba ya kupanga, hawezi panga mlo wa wiki, watoto wapo Kayumba school, ada, nguo vinamtesa
sasa kama kuandika tu huwezi,utajua umuhimu wa ndoa wewe?Nimekuwa nikijiuliza Nini cha maana mwanaume anapata kwenye ndoa, kiasi kwamba ajutie anapokuwa hana ndoa. Siungani na wale wa kataa ndoa, ila najiuliza tu Nini kinapotea kama haupo kwenye ndoa. Kwa wanaume, una pesa, una watoto.
Mwanamke akiwa kwenye ndoa anapata faida hizi .
1. Usalama wa kijamii na kifedha.
2. Furaha nk ,
Najiuliza Sana sababu wanaume wenye pesa na hawana ndoa naona kama wapo happy Sana na afya zao zipo SAWA sana .............
Kuna watu maarufu mitaani wenye pesa na hawana ndoa, mfano mchukue Mbowe, Aliko Dangote, Diamond Platnum, Myika Nk na wengine wengi wenye pesa na hawana ndoa, vipi wenye wanonekana kutetereka kwa kuikosa ndoa.
Mchukulie Sugu ameoa akiwa na almost 40 hivi kuna kitu anaweza kuwa anajutia sawa na Gerald Amos yule mwimba kwanya pale kanisani kwenu aliyeoa akiwa na miaka 20 na anaishi kwenye nyumba ya kupanga, hawezi panga mlo wa wiki, watoto wapo Kayumba school, ada, nguo vinamtesa
kama nyie ambao hamtakiii kuoaaa.Na wanaume
Bora tuendelee kula kimasihara tu ila hawa wanawake wa miaka hii kichefuchefukama nyie ambao hamtakiii kuoaaa.
Binadamu mwenye utulivu wa juu kabisa wa akili na anayefanya tahajudi inavyotakiwa haitaji sex kuwa ni sehemu ya lazima ya maisha yake.Ukipata vihelaa ukala ukashiba utaelewa utulivuu gani anazungumziaa ilaa Kama unaamka asubuhi hujui utakulaa nini bhasi akili yako bado haiitaji utulivu unaosemwaa pambana...
Unachodhani ni muhimu kwako sio muhimu kwa mwingine, na kilicho muhimu kwa mwenzio sio lazima kiwe muhimu kwako. Muhimu katika maisha ni furaha tu.Nimekuwa nikijiuliza Nini cha maana mwanaume anapata kwenye ndoa, kiasi kwamba ajutie anapokuwa hana ndoa. Siungani na wale wa kataa ndoa, ila najiuliza tu Nini kinapotea kama haupo kwenye ndoa. Kwa wanaume, una pesa, una watoto.
Mwanamke akiwa kwenye ndoa anapata faida hizi .
1. Usalama wa kijamii na kifedha.
2. Furaha nk ,
Najiuliza Sana sababu wanaume wenye pesa na hawana ndoa naona kama wapo happy Sana na afya zao zipo SAWA sana .............
Kuna watu maarufu mitaani wenye pesa na hawana ndoa, mfano mchukue Mbowe, Aliko Dangote, Diamond Platnum, Myika Nk na wengine wengi wenye pesa na hawana ndoa, vipi wenye wanonekana kutetereka kwa kuikosa ndoa.
Mchukulie Sugu ameoa akiwa na almost 40 hivi kuna kitu anaweza kuwa anajutia sawa na Gerald Amos yule mwimba kwanya pale kanisani kwenu aliyeoa akiwa na miaka 20 na anaishi kwenye nyumba ya kupanga, hawezi panga mlo wa wiki, watoto wapo Kayumba school, ada, nguo vinamtesa
Let's talk realityNilipoona unasema Mbowe naye Hana Ndoa nikaacha kuendelea kusoma ulichoandika.
Hata kama ulizaliwa na kulelewa na single parent haitapendeza watoto wako nao waishi hivyo.
Usichojua ni kuwa Mwanaume mwenye Ndoa anapata heshima kubwa kwenye jamii kuliko asiye na Mke.
Hata ukiwa na Kesi Polisi/Mahakamani dhamana haitolewi Kwa Muhuni/ Mwanaume asiye na familia
π π π π Kirohoo kipii na huko makanisani ndo kumechafukaa na misikitinii...kesi za kubaka na kulawiti haziishi...its human nature wew jidai hutaki sex kazi kazi yako ni kunyetukaaa tuuBinadamu mwenye utulivu wa juu kabisa wa akili na anayefanya tahajudi inavyotakiwa haitaji sex kuwa ni sehemu ya lazima ya maisha yake.
Watu wenye ukuaji mkubwa wa kiroho sex sio suala la lazima.Sex ni lazima kwa watu wenye ujuzi mdogo wa mambo ya kiroho.Kiroho hapa simaanishi dini.
Kama ndoa ni mpango wa mungu , Je watu wakiachana ni mpango wa nani ?Japokuwa ndoa huwa ina changamoto nyingi ila lazima ukubali ni Mpango wa MUNGU!, Mungu aliagiza hilo na ni lazima lifuatwe,Mtu mpagani asiye na dini ndio anaweza kuuliza swali tata kama lako na kupoteza muda Kwa swali hili