Mkulima tu wa kawaida ambaye anayamudu maisha yake.Habari za leo wananchi wenzangu?
Kuna binti mmoja huwa nampa lifti kwenye subaru impreza yangu kwenda job coz kazini kwangu na kazini kwake ni njia moja, sasa leo nimepata dharura ,nikamwambia sitoweza kumpitia instead nikamtumia tu kama elfu 30 nikamwambia ajaribu kurequest uber,ebwana yule binti kafurahi na kunitumia text kuwa mimi ni very gentleman and caring man.me nikawa najiuliza tu ,hicho kimsaada kiduchu ndio cha mimi kupewa masifa yote hayo?
Eti wakuu,mwanaume gentleman, ndio mwanaume wa namna gani?
. Aahh kumbe una ndinga Kali Sana mkuuNi subaru Impreza mkuu.
Umesahau kuandika namba ya gariHabari za leo wananchi wenzangu?
Kuna binti mmoja huwa nampa lifti kwenye subaru impreza yangu kwenda job coz kazini kwangu na kazini kwake ni njia moja, sasa leo nimepata dharura ,nikamwambia sitoweza kumpitia instead nikamtumia tu kama elfu 30 nikamwambia ajaribu kurequest uber,ebwana yule binti kafurahi na kunitumia text kuwa mimi ni very gentleman and caring man.me nikawa najiuliza tu ,hicho kimsaada kiduchu ndio cha mimi kupewa masifa yote hayo?
Eti wakuu,mwanaume gentleman, ndio mwanaume wa namna gani?
Mwanaume GENTLEMAN ni kama mimi vileHabari za leo wananchi wenzangu?
Kuna binti mmoja huwa nampa lifti kwenye subaru impreza yangu kwenda job coz kazini kwangu na kazini kwake ni njia moja, sasa leo nimepata dharura ,nikamwambia sitoweza kumpitia instead nikamtumia tu kama elfu 30 nikamwambia ajaribu kurequest uber,ebwana yule binti kafurahi na kunitumia text kuwa mimi ni very gentleman and caring man.me nikawa najiuliza tu ,hicho kimsaada kiduchu ndio cha mimi kupewa masifa yote hayo?
Eti wakuu,mwanaume gentleman, ndio mwanaume wa namna gani?
Hasiyeshabikia vyama vya kigaidi kama ccmHabari za leo wananchi wenzangu?
Kuna binti mmoja huwa nampa lifti kwenye subaru impreza yangu kwenda job coz kazini kwangu na kazini kwake ni njia moja, sasa leo nimepata dharura ,nikamwambia sitoweza kumpitia instead nikamtumia tu kama elfu 30 nikamwambia ajaribu kurequest uber,ebwana yule binti kafurahi na kunitumia text kuwa mimi ni very gentleman and caring man.me nikawa najiuliza tu ,hicho kimsaada kiduchu ndio cha mimi kupewa masifa yote hayo?
Eti wakuu,mwanaume gentleman, ndio mwanaume wa namna gani?
Mm nikajua labda ni mtu anaepiga mashine sanaaaanh , Mchakataji kumbe sioAnayejitambua kua ni mwanaume na anatambua mwanaume anatakiwa aweje..
Anajali na kuwajibika katika kutimiza wajibu wake kwa uadilifu...(Responsible man with Integrity)[emoji3590]
Umeua blaza πππ nuff respektNi jina jingine linalotumika badala ya uzoba..
zoba = gentleman
Dah... π ππMkulima tu wa kawaida ambaye anayamudu maisha yake.
.bc nimeipenda Sana daaaah Sasa kuwa Baharia wakiJerumani Huyo mtoto mdhurii asitokeNi gari mkuu
Mimi ni baharia wa Kirusi, boss wetu ni VLADMiR. Umemaliza Baharia mwenzangu wewe Ni Baharia wa wapi
Mimi wakiJerumani
Lugha nyingine anaitwa wanaume msikivu au mwelewa, anayempikia demu/mke wake, anaosha vyombo, anasafisha nyumba na kufua, mshahara wake wote anampa mwenza wake, na anamsindikiza saloon na pia akitoka na mashosti zake, na pia anakuwa available in case mwenza wake na marafiki wanahitaji huduma ndogondogo kama kununua vocha, kuita wahudumu kuongeza vinywaji, kupeleka mikoba kwenye gari, kuendea pedi, pipi na chewing gums supermarket, kurudia vitu nyumbani in case vimeshaulika kama simu, wallet, pedi.Habari za leo wananchi wenzangu?
Kuna binti mmoja huwa nampa lifti kwenye subaru impreza yangu kwenda job coz kazini kwangu na kazini kwake ni njia moja, sasa leo nimepata dharura ,nikamwambia sitoweza kumpitia instead nikamtumia tu kama elfu 30 nikamwambia ajaribu kurequest uber,ebwana yule binti kafurahi na kunitumia text kuwa mimi ni very gentleman and caring man.me nikawa najiuliza tu ,hicho kimsaada kiduchu ndio cha mimi kupewa masifa yote hayo?
Eti wakuu,mwanaume gentleman, ndio mwanaume wa namna gani?
πππLugha nyingine anaitwa wanaume msikivu au mwelewa, anayempikia demu/mke wake, anaosha vyombo, anasafisha nyumba na kufua, mshahara wake wote anampa mwenza wake, na anamsindikiza saloon na pia akitoka na mashosti zake, na pia anakuwa available in case mwenza wake na marafiki wanahitaji huduma ndogondogo kama kununua vocha, kuita wahudumu kuongeza vinywaji, kupeleka mikoba kwenye gari, kuendea pedi, pipi na chewing gums supermarket, kurudia vitu nyumbani in case vimeshaulika kama simu, wallet, pedi.
. Ooh Nw cc 2mempata boss mpya BIDENMimi ni baharia wa Kirusi, boss wetu ni VLADMiR
Ni Mwanaume kama wewe.Habari za leo wananchi wenzangu?
Kuna binti mmoja huwa nampa lifti kwenye subaru impreza yangu kwenda job coz kazini kwangu na kazini kwake ni njia moja, sasa leo nimepata dharura ,nikamwambia sitoweza kumpitia instead nikamtumia tu kama elfu 30 nikamwambia ajaribu kurequest uber,ebwana yule binti kafurahi na kunitumia text kuwa mimi ni very gentleman and caring man.me nikawa najiuliza tu ,hicho kimsaada kiduchu ndio cha mimi kupewa masifa yote hayo?
Eti wakuu,mwanaume gentleman, ndio mwanaume wa namna gani?