Hivi na nyie wapenzi wenu wana wivu kama huyu wangu?

Hivi na nyie wapenzi wenu wana wivu kama huyu wangu?

Aisee, wangu nikimpigia simu mara nne kwa siku anakasirika balaa sijui ni hiyo mimba inamfanya hivyo...

Ninapenda kudekeza na kubebisha ila yeye kabadilika ghafla.


wanawake akili zenu mnazijua wenyewe
Ningempata wa kunipigia xm 4x/day na kunidekeza si ningenenepa mie [emoji4]
 
Nicheki nikupe application ambayo tunatumia cc wakwale kesi hizo zitaisha Mkuu na utakuwa huru
 
Kwanini usimwambie huyo jamaa kuwa apunguze wivu kuliko kuja kulalamika huku! Vitu vidogo kama hivyo, ni vya kuongea tuu!!!!

Labda yeye anaona yupo sawa ingawa wewe unaona kero.
 
Mkuu wivu ni sehemu ya mapenzi ya dhati kwa mawazo yangu, istoshe ukiona mtu ambae una mahusiano nae ya ndani moyo anakuacha ufanye utakavyo anza upelelezi mapema.

Lingine, wivu upo na utaendelea kuwepo kwa mtu anaekujali, ila kuna kitu kinaitwa gubu hiki sikiafiki hata mimi. Ukikuta mpenzi anakuandama mda wote kila unachokifanya ujue kuna mapungufu makubwa dhidi yako. Makosa ni ya kwako jirekebishe halafu ndo uje ulalamike.

Hata mimi binafsi nina wivu sana kwa mke wangu, ila sijawahi kumuhisi au kumgundua na viashiria vyovyote vyenye kuvunja amani katika ndoa yetu. Ila sipendi kumuona akicheka cheka ovyo na mwanaume nisimtambua. Moyo wangu unakua na subra pale lakini tukifika ndani namchamba harudii tena. Ila mimi akiniona nacheka na mdada anamaliza pale pale, mdada anatakiwa awe na nguvu za ziada anaweza kumpiga japo kipande cha nondo kama kipo karibu.
 
Watu wengine sijui mapenzi wamejifunzia ukubwani!

Yani hivi kwa akili ya kawaida unaweza kunilinda mimi mtu mzima tena tuliyekutana ukubwani wote tukiwa na meno 32 mdomoni?

Jamani hivi na nyie wenzangu mnadate na watu yenye wivu wa kiporipori kama huyu wangu? Asione simu imepigwa atanikodolea macho mpaka nimalize kuongea halafu ndio aniulize eti nilikua naongea na nani.

Mtu ana wivu mpaka kwa ndugu zangu yaani. Asione nimeongozana njiani na mtu wa jinsia tofauti, atajinunisha mpaka basi.

Wenzangu mnawezaje kuishi na watu wa namna hii?
Duuh! Hayo siyo mapz bali ni jela hiyo...
Anyway, hakuna kitu kizuri kwenye mahusiano/ndoa kama kufahamu mazuri na madhaifu ya mwenzako.

Kutokana na madhaifu hayo jitahidi kuepukana nayo kadiri unavyoweza, nafikiri njia nzuri ni Elimu. Mwelimishane juu ya Madhara ya Wivu Uliopitiliza kwenye mahusiano.

Mimi naamini kwamba, kati ya kitu ambacho huwezi kukizuia kwenye mahusiano kama mmoja wapo akiamua ni kuchepuka. Kutokana na utashi tulionao kuna namna nyingi muno ambazo binadamu anaweza kuzitumia bila kumuhisi wala kujua kinachoendelea hata miaka 10.

Mahusiano mazuri hujengwa ktk misingi ifuatayo:-

(i)Uaminifu, lazima kila mmoja amwamini mwenzake.

(ii)Uvumilivu, lazima kila mmoja awe mvumilivu ktk shida na raha na ktk baadhi ya mambo ambayo ni ya kawaida.

(iii)Kuheshimiana, ni jukumi la kila mmoja kumweshimu mwenzake.

Aidha, ktk misingi hii mitatu ndiyo huzaa Upendo, furaha, amani na wivu wa kujenga miongoni mwa wapz/wanandoa.


Ni hayo tu...

 
Si usepe tu kama yeye ana shida. Mwishowe wewe ndio utaonekana tatizo.
 
hhahaahahah mayo weeeee! mie nilishaweza kujitune nowdys ukiona naongea na simu mbele ya hubby bas 90%huwa ni za biashara zangu za strawberry !otherwise sipend kupigiwa simu maana unamuona mtu ananyanyuka anazima tv !sasa jichetue ukaongelee nje utajuta huo mnuno na gubu !ptu !pole !
remote yenu mbovu?
 
Mkuu wivu ni sehemu ya mapenzi ya dhati kwa mawazo yangu, istoshe ukiona mtu ambae una mahusiano nae ya ndani moyo anakuacha ufanye utakavyo anza upelelezi mapema.

Lingine, wivu upo na utaendelea kuwepo kwa mtu anaekujali, ila kuna kitu kinaitwa gubu hiki sikiafiki hata mimi. Ukikuta mpenzi anakuandama mda wote kila unachokifanya ujue kuna mapungufu makubwa dhidi yako. Makosa ni ya kwako jirekebishe halafu ndo uje ulalamike.

Hata mimi binafsi nina wivu sana kwa mke wangu, ila sijawahi kumuhisi au kumgundua na viashiria vyovyote vyenye kuvunja amani katika ndoa yetu. Ila sipendi kumuona akicheka cheka ovyo na mwanaume nisimtambua. Moyo wangu unakua na subra pale lakini tukifika ndani namchamba harudii tena. Ila mimi akiniona nacheka na mdada anamaliza pale pale, mdada anatakiwa awe na nguvu za ziada anaweza kumpiga japo kipande cha nondo kama kipo karibu.
Umeongea kama Mimi vile yaani...
 
Back
Top Bottom