ney kush
JF-Expert Member
- Feb 16, 2012
- 1,407
- 916
hakuna mtu asiependa kuonewa wivuMimi binafsi napenda mwanamke awe na wivu kwangu...
TATIZO LINAKUJA HUO WIVU HUO
UNAPOZIDI MJOMBA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna mtu asiependa kuonewa wivuMimi binafsi napenda mwanamke awe na wivu kwangu...
tuachane na hayolabda mchecheto anajisahau kuzima kwa remote !lol
Watu wengine sijui mapenzi wamejifunzia ukubwani!
Yani hivi kwa akili ya kawaida unaweza kunilinda mimi mtu mzima tena tuliyekutana ukubwani wote tukiwa na meno 32 mdomoni?
Jamani hivi na nyie wenzangu mnadate na watu yenye wivu wa kiporipori kama huyu wangu? Asione simu imepigwa atanikodolea macho mpaka nimalize kuongea halafu ndio aniulize eti nilikua naongea na nani.
Mtu ana wivu mpaka kwa ndugu zangu yaani. Asione nimeongozana njiani na mtu wa jinsia tofauti, atajinunisha mpaka basi.
Wenzangu mnawezaje kuishi na watu wa namna hii?
8000/kgtuachane na hayo
strawberry [emoji39] [emoji39] [emoji39] ... bei gani?
hhahaahahah mayo weeeee! mie nilishaweza kujitune nowdys ukiona naongea na simu mbele ya hubby bas 90%huwa ni za biashara zangu za strawberry !otherwise sipend kupigiwa simu maana unamuona mtu ananyanyuka anazima tv !sasa jichetue ukaongelee nje utajuta huo mnuno na gubu !ptu !pole !
ntakutafuta soon ...8000/kg
Ningempata wa kunipigia xm 4x/day na kunidekeza si ningenenepa mie [emoji4]
Bora yako mkuu,, mimi wangu nikimsifia BEYONCE,,,au NICK MINAJ kwenye Tv nanuniwa...nikiwa hata na picha KWENYE SIMU YANGU za wasichana wanamuziki wa majuu pia UGOMVI...hapa nilipo tupo pamoja na mpnz wng tunaangalia tv nimesifia tu ROSE NDAUKA MZURI ,,basi naangaliwa JICHO HILO... BALAA..Watu wengine sijui mapenzi wamejifunzia ukubwani!
Yani hivi kwa akili ya kawaida unaweza kunilinda mimi mtu mzima tena tuliyekutana ukubwani wote tukiwa na meno 32 mdomoni?
Jamani hivi na nyie wenzangu mnadate na watu yenye wivu wa kiporipori kama huyu wangu? Asione simu imepigwa atanikodolea macho mpaka nimalize kuongea halafu ndio aniulize eti nilikua naongea na nani.
Mtu ana wivu mpaka kwa ndugu zangu yaani. Asione nimeongozana njiani na mtu wa jinsia tofauti, atajinunisha mpaka basi.
Wenzangu mnawezaje kuishi na watu wa namna hii?
Njoo kwangNatamani kweli mpenzi mwenye wivu!!!
Hv mwanaume naanzaje kuwa nahhahaahahah mayo weeeee! mie nilishaweza kujitune nowdys ukiona naongea na simu mbele ya hubby bas 90%huwa ni za biashara zangu za strawberry !otherwise sipend kupigiwa simu maana unamuona mtu ananyanyuka anazima tv !sasa jichetue ukaongelee nje utajuta huo mnuno na gubu !ptu !pole !
Aiseee cjui kwann wanatufanyiaHahaha unajua mapenzi sijui kuna utotoo, maana ukidekeza sana napo kuna madhara; masharti, kununaa, visiranii.....yaan wanawake ninyi basii tuu, mkijua kidume kimekufia basi inakisanifuuu mara maringooi, sijui ndiyo mwanaukomee dah nashindwa kueleza hahaha ila inaumiza sana
Aiseee cjui kwann wanatufanyia
hv wanapojua kidume amemfia
Sema hakiyamungu!Natamani kweli mpenzi mwenye wivu!!!