Anataka kura yako katika uchaguzi wa kipi kipikwe."Bebi Leo tunakula nini?"
Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.
Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
Hahaha.. Hili swali zuri sana"Bebi Leo tunakula nini?"
Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.
Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
Kweli kabisaaaaKuwaza Cha kupika huwa ni kazi ngumu hata kukiwa na kila kitu, nakumuuliza mume nikujua anapenda nini kipikwe nisije kupika kitu asichokipenda. So kusaidiana mawazo kuhusu msosi ni Jambo zuri na linapunguza mzigo kwa mpigaji na njia rahisi ni kuwa na ratiba ya msosi
😂Aisee! Kumbe watu mkizoeana ndo kunakuaga na vituko kiasi hicho!? Kwahyo mkuu unakula wife anakuangalia tu?Dawa yake huaa najipitiaga hotelin nafungiwa portion ya mtu moja msosi mzuri[emoji23]afu namwambia ujapika , ngoja na mm nile nilichotafutaa ananunaa hata unyumba siki hio sipewi[emoji23]atanyooka tu
"Bebi Leo tunakula nini?"
Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.
Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
😄 mkuu hapo ni baada ya kutibuana ama?Mkuu...kuish na mtu ndan ni kaz kuliko watu wanavyofkiri....mi kuna siku dem wangu akinigusa namwambia..toa mkono unanikera..acha tu..kuish na mtu kitanda ki1..miaka nenda rud inataka moyo sana
Yaani wanaume hawana jema wallah...Kuwaza Cha kupika huwa ni kazi ngumu hata kukiwa na kila kitu, nakumuuliza mume nikujua anapenda nini kipikwe nisije kupika kitu asichokipenda. So kusaidiana mawazo kuhusu msosi ni Jambo zuri na linapunguza mzigo kwa mpigaji na njia rahisi ni kuwa na ratiba ya msosi
😂 duh! Hata kuitwa baby kumbe kunachoshaga sometimes!! Ila mkuu hapo mwenzio si anakua anadekaa kwa 'dadii', au hata kabla ya ndoa ulikua hupendezwi nalo?Kuna hilo na mtu kukuita beby ...beby kama mtoto hivi unaitika alafu haongei
Hahahaa, hili swali pia huwa linanikera na mimi."Bebi Leo tunakula nini?"
Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.
Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
Utakuwa na mapepo kuchukia chukia hovyo jirekebisheMimi kero yangu nyingine pamoja na hiyo ya kuuliza chakula, ni kulala kwenye kochi na kunilalia kila napo ka karibu nae duh, hawezi kuangalia move au tv bila kulalia sofa, inakera arafu huwezi kumkemea atasema hooo! you ur not romantic, wanaumme hampendeki nk..........inekera sana plz wake zetu regulate your habits plz
Juzi tu tumetoka kuzinguana kwajili ya hili swali"Bebi Leo tunakula nini?"
Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.
Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
Kweli hauko romantic wewe lolMimi kero yangu nyingine pamoja na hiyo ya kuuliza chakula, ni kulala kwenye kochi na kunilalia kila napo ka karibu nae duh, hawezi kuangalia move au tv bila kulalia sofa, inakera arafu huwezi kumkemea atasema hooo! you ur not romantic, wanaumme hampendeki nk..........inekera sana plz wake zetu regulate your habits plz