Hivi, Nawe ni Mmoja Kati ya Waliokuwa Hawavui Nguo za Shule Wakifika Home...?

Hivi, Nawe ni Mmoja Kati ya Waliokuwa Hawavui Nguo za Shule Wakifika Home...?

Mi nilikuwa nanawa mikono na kutafuta chakula kilipo nikimaliza kula ndio navua naenda kuoga
Nyie njaa ya Shule ni kali mno
 
Kama chakula kilicho pikwa ni kitam navua ila kama sikipendi navua shat tu sketi naenda nayo kwenye rede[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama chakula kilicho pikwa ni kitam navua ila kama sikipendi navua shat tu sketi naenda nayo kwenye rede[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

🤣🤣🤣🤣🤣

Ikirudi huko hai-tamaniki kwa jinsi ilivyochafuka...! Hahaha.
 
Kama chakula kilicho pikwa ni kitam navua ila kama sikipendi navua shat tu sketi naenda nayo kwenye rede[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwenye rede nako ulikuwa kabishi mno [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Back
Top Bottom