Hivi, Nawe ni Mmoja Kati ya Waliokuwa Hawavui Nguo za Shule Wakifika Home...?

Hivi, Nawe ni Mmoja Kati ya Waliokuwa Hawavui Nguo za Shule Wakifika Home...?

Sio kabishi nikimaliza lazima nidunde mtu ndio niondoke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani nilikuaga na kautata nakaubabe flani hivi
Unaonekana tu mdomoni hukamatiki , ukiongeza na katako Kako kalikobinuka vivyo ndiyo ubabe ubabe

Na ubishoo
 
Nilikua muoga wa fimbo kipenzi cha baba na mama ndio alikua mkali alikua akitaka kunichapa namkumbatia huku natafuta angle ya kuchomokea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hahaha kama nakuona vile. Ila utoto jamani...! Lol.

💕
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1732][emoji1732][emoji1732]ila ubabe raha nyie
Unamfuata ukifika viswali huku vimikono umeshika kiunoni na kiuno mbinuko huko [emoji13][emoji13][emoji13]

Unampa kwenzi harafu mbio


[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwiooooo
 
Unamfuata ukifika viswali huku vimikono umeshika kiunoni na kiuno mbinuko huko [emoji13][emoji13][emoji13]

Unampa kwenzi harafu mbio


[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwiooooo
[emoji23][emoji23][emoji23]weee nakaa hapo hapo nauliza nikuongeze? Harafu KWA watu wazima nilivyokua mpole sasa naweza mpiga mwanao akaja kunisemea kwako na ukanitetea KWA 100%
 
Ntamchapa za kichina china[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Za kichina huziwezi Kwa kuwa wenye umbo la kumfuu ni wabishi Tu hawanaga kupiga wenziye , kakijipinda kukuzodoa unaweza Taman ardhi ipasuke uingie havipendi kujishika viononi Ila mkono mmoja kinakusodoa mwingine umeachwa maili moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Raha Sana
 
Hapana..mimi ilikuwa lazima nivue nguo kwanza nimkabidhi Mama..mambo mengine yaendelee
 
Ukimgusa Tu unnanuka [emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanaongea hao mkono mmoja kiunoni mwingine unasontwa na kusodolewa
Ole wako ujibu majibu asiyoyapenda na vinapenda kampani mno

Na uongo juuuu

[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Dhambi hizi Mungu atusamee tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Za kichina huziwezi Kwa kuwa wenye umbo la kumfuu ni wabishi Tu hawanaga kupiga wenziye , kakijipinda kukuzodoa unaweza Taman ardhi ipasuke uingie havipendi kujishika viononi Ila mkono mmoja kinakusodoa mwingine umeachwa maili moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Raha Sana
Ubaya mi nilikua navyo vyote hunishindi mdomo hunishindi ndondi na kaka zangu walikua wababe raha ilioje[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]weee nakaa hapo hapo nauliza nikuongeze? Harafu KWA watu wazima nilivyokua mpole sasa naweza mpiga mwanao akaja kunisemea kwako na ukanitetea KWA 100%
Ndo viko hivyo tuliviita tako nyani (nyanya) [emoji1787][emoji1787][emoji1787] vikibananishwa havina jeuri vinashika mikono na kuchezea vidole kama vinatongozwa ule mtongozo wa zaman[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzee , mtu mzima lazima ajue hakina hatia kumbe [emoji13][emoji13][emoji13]

Ila kikitoka huko kesi inaanza upya
 
Ukimgusa Tu unnanuka [emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanaongea hao mkono mmoja kiunoni mwingine unasontwa na kusodolewa
Ole wako ujibu majibu asiyoyapenda na vinapenda kampani mno

Na uongo juuuu

[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

Na khanga inafungwa kwenye tako...!

🙈🙉🙊
 
Back
Top Bottom