babyfancy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 2,176
- 6,187
PamojaThat's great my lovely. Good girl...!
[emoji8][emoji8][emoji8]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PamojaThat's great my lovely. Good girl...!
[emoji8][emoji8][emoji8]
😂😂Embuu niacheeTabia za mabonge
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Embuu niachee
Tabia zinaendana na umbo la mtuUmejuaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mi nilikua montress mwenyewe ndio uzur wakeTabia zinaendana na umbo la mtu
Yaani nyie Kwa kusingizia [emoji114][emoji114][emoji114] ili mradi mgomvane Tu , midomo yenu huwasha haswa, miguu, mikono, miguu mpka viuno[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwenye Fujo za jumla hamkosi .
Kuwatishia mamonita ndiyo usiseme, marafiki zenu wale mabonge kama walinzi wenu
Kwa Leo tunawaita mabausa
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji4][emoji13]
Sahiv nimekua nimepunguza[emoji16][emoji16][emoji16]Tabia zinaendana na umbo la mtu
Yaani nyie Kwa kusingizia [emoji114][emoji114][emoji114] ili mradi mgomvane Tu , midomo yenu huwasha haswa, miguu, mikono, miguu mpka viuno[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwenye Fujo za jumla hamkosi .
Kuwatishia mamonita ndiyo usiseme, marafiki zenu wale mabonge kama walinzi wenu
Kwa Leo tunawaita mabausa
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji4][emoji13]
Ndiyo full nondo kutishia WatuMi nilikua montress mwenyewe ndio uzur wake
Ukipata mimba Tu lazima zirudi Kwa nguvu zoteSahiv nimekua nimepunguza[emoji16][emoji16][emoji16]
😂😂😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Namlivyo wavivu
Akikuangalia mtu unapotembea yaani mwendo wa haraka mno , lkn hatua haziendi mbele
Kongole kwenu
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Ukikuta kashingo kamenenepa mpaka mistali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo lazima nitakaa kishari shari[emoji57][emoji57][emoji57][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukipata mimba Tu lazima zirudi Kwa nguvu zote
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbaya zaidi upate mimba ya kikeHiyo lazima nitakaa kishari shari[emoji57][emoji57][emoji57][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unakaa kibalazani kila atakae pita unae[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbaya zaidi upate mimba ya kike
Sipati picha
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Huku ukiwa na kopo lako la kutea mateUnakaa kibalazani kila atakae pita unae[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndimu kipande na udongo kwenye kamfuko huko nimevaa shat la kazini la baba chanjaHuku ukiwa na kopo lako la kutea mate
[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndimu kipande na udongo kwenye kamfuko huko nimevaa shat la kazini la baba chanja
Nahis nitapelekwa mimba ikiwa na miezi minne tu nikajisubilie huko [emoji1787][emoji1787]na sikubali na usiombe upelekwe uchagan, uparen, uhayan, unyakyusani utakula mtori mpaka useme hallelujah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nampa pole itabidi akupeleke kijijini ukajifungue Kwanza
Maana Dela Hilo itakuwa nyumba ya ziada
[emoji13][emoji13][emoji13]