Hivi, Nawe ni Mmoja Kati ya Waliokuwa Hawavui Nguo za Shule Wakifika Home...?

Hivi, Nawe ni Mmoja Kati ya Waliokuwa Hawavui Nguo za Shule Wakifika Home...?

Sie wengne tulikua zaid ya majambaz...hadi ikambid mama anihamishe shule kutoka st kayumba had st mama rwakatare maana nilikua napotea...vichapo kila siku...mara nisirud nyumban after svhool...da..nilikuaga napiga mademu yaan nilikua sinaga shobo na mtu..ingawa walikua wanashangaa darasan niko vzur....kuna kipind had mama alitaka nipeleka shule ya kijeshi labda nitabadilika...ila nilivyofika darasa la 4 ndio nikaanza badilika na kuwa bookworm na serious na shule...ilikua nacheza namba 1 na mbili nabadilishana na mdada m1 hiv..aisee ilikua ni faya
 
[emoji23][emoji23]Embuu niachee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Namlivyo wavivu

Akikuangalia mtu unapotembea yaani mwendo wa haraka mno , lkn hatua haziendi mbele

Kongole kwenu


[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Umejuaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tabia zinaendana na umbo la mtu

Yaani nyie Kwa kusingizia [emoji114][emoji114][emoji114] ili mradi mgomvane Tu , midomo yenu huwasha haswa, miguu, mikono, miguu mpka viuno[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwenye Fujo za jumla hamkosi .

Kuwatishia mamonita ndiyo usiseme, marafiki zenu wale mabonge kama walinzi wenu

Kwa Leo tunawaita mabausa

[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji4][emoji13]
 
Tabia zinaendana na umbo la mtu

Yaani nyie Kwa kusingizia [emoji114][emoji114][emoji114] ili mradi mgomvane Tu , midomo yenu huwasha haswa, miguu, mikono, miguu mpka viuno[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwenye Fujo za jumla hamkosi .

Kuwatishia mamonita ndiyo usiseme, marafiki zenu wale mabonge kama walinzi wenu

Kwa Leo tunawaita mabausa

[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji4][emoji13]
Mi nilikua montress mwenyewe ndio uzur wake
 
Tabia zinaendana na umbo la mtu

Yaani nyie Kwa kusingizia [emoji114][emoji114][emoji114] ili mradi mgomvane Tu , midomo yenu huwasha haswa, miguu, mikono, miguu mpka viuno[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwenye Fujo za jumla hamkosi .

Kuwatishia mamonita ndiyo usiseme, marafiki zenu wale mabonge kama walinzi wenu

Kwa Leo tunawaita mabausa

[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji4][emoji13]
Sahiv nimekua nimepunguza[emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Namlivyo wavivu

Akikuangalia mtu unapotembea yaani mwendo wa haraka mno , lkn hatua haziendi mbele

Kongole kwenu


[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
😂😂😂😂😂
 
Ukipata mimba Tu lazima zirudi Kwa nguvu zote


[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo lazima nitakaa kishari shari[emoji57][emoji57][emoji57][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hiyo lazima nitakaa kishari shari[emoji57][emoji57][emoji57][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbaya zaidi upate mimba ya kike

Sipati picha

[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Ndimu kipande na udongo kwenye kamfuko huko nimevaa shat la kazini la baba chanja
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nampa pole itabidi akupeleke kijijini ukajifungue Kwanza

Maana Dela Hilo itakuwa nyumba ya ziada

[emoji13][emoji13][emoji13]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nampa pole itabidi akupeleke kijijini ukajifungue Kwanza

Maana Dela Hilo itakuwa nyumba ya ziada

[emoji13][emoji13][emoji13]
Nahis nitapelekwa mimba ikiwa na miezi minne tu nikajisubilie huko [emoji1787][emoji1787]na sikubali na usiombe upelekwe uchagan, uparen, uhayan, unyakyusani utakula mtori mpaka useme hallelujah
 
Back
Top Bottom