Hivi, Nawe ni Mmoja Kati ya Waliokuwa Hawavui Nguo za Shule Wakifika Home...?

Hivi, Nawe ni Mmoja Kati ya Waliokuwa Hawavui Nguo za Shule Wakifika Home...?

Ndo viko hivyo tuliviita tako nyani (nyanya) [emoji1787][emoji1787][emoji1787] vikibananishwa havina jeuri vinashika mikono na kuchezea vidole kama vinatongozwa ule mtongozo wa zaman[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzee , mtu mzima lazima ajue hakina hatia kumbe [emoji13][emoji13][emoji13]

Ila kikitoka huko kesi inaanza upya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka kwa sauti[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ubaya mi nilikua navyo vyote hunishindi mdomo hunishindi ndondi na kaka zangu walikua wababe raha ilioje[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Aaaah wapi we
 
Ubaya mi nilikua navyo vyote hunishindi mdomo hunishindi ndondi na kaka zangu walikua wababe raha ilioje[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]

Ukipata mbabe mwenzako then kaka wanaingilia...!
 
Na khanga inafungwa kwenye tako...!

[emoji85][emoji86][emoji87]
Ni kibwebwe bwebwe tu na mashaidi wa uongo kibao

Utakasikia eti furani kanafinya, kwenzi, mfyonzo, teke , ngumi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hafu viko very sensitive Kwa mazingira vikihisi tu haviko salama mbio [emoji13][emoji13][emoji13]
 
Ni kibwebwe bwebwe tu na mashaidi wa uongo kibao

Utakasikia eti furani kanafinya, kwenzi, mfyonzo, teke , ngumi

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hafu viko very sensitive Kwa mazingira vikihisi tu haviko salama mbio [emoji13][emoji13][emoji13]
Umejuaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom