Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 4,102
- 4,028
Unaonekana tu mdomoni hukamatiki , ukiongeza na katako Kako kalikobinuka vivyo ndiyo ubabe ubabeSio kabishi nikimaliza lazima nidunde mtu ndio niondoke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani nilikuaga na kautata nakaubabe flani hivi
Yaani acha na hiyo rede ikiisha jua lazima ndondi zianze [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikua muoga wa fimbo kipenzi cha baba na mama ndio alikua mkali alikua akitaka kunichapa namkumbatia huku natafuta angle ya kuchomokea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na ukirudi home fimbo zinakusubiri...!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilikua muoga wa fimbo kipenzi cha baba na mama ndio alikua mkali alikua akitaka kunichapa namkumbatia huku natafuta angle ya kuchomokea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1732][emoji1732][emoji1732]ila ubabe raha nyieUnaonekana tu mdomoni hukamatiki , ukiongeza na katako Kako kalikobinuka vivyo ndiyo ubabe ubabe
Na ubishoo
MIE hata sihiv vukinijia vibaya tu umeishaHahaha kama nakuona vile. Ila utoto jamani...! Lol.
[emoji177]
Unamfuata ukifika viswali huku vimikono umeshika kiunoni na kiuno mbinuko huko [emoji13][emoji13][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1732][emoji1732][emoji1732]ila ubabe raha nyie
Ukimgusa Tu unnanuka [emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanaongea hao mkono mmoja kiunoni mwingine unasontwa na kusodolewababyfancy unamsikia huyu...?
[emoji23][emoji23][emoji23]weee nakaa hapo hapo nauliza nikuongeze? Harafu KWA watu wazima nilivyokua mpole sasa naweza mpiga mwanao akaja kunisemea kwako na ukanitetea KWA 100%Unamfuata ukifika viswali huku vimikono umeshika kiunoni na kiuno mbinuko huko [emoji13][emoji13][emoji13]
Unampa kwenzi harafu mbio
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwiooooo
Za kichina huziwezi Kwa kuwa wenye umbo la kumfuu ni wabishi Tu hawanaga kupiga wenziye , kakijipinda kukuzodoa unaweza Taman ardhi ipasuke uingie havipendi kujishika viononi Ila mkono mmoja kinakusodoa mwingine umeachwa maili moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Raha SanaNtamchapa za kichina china[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dhambi hizi Mungu atusamee tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukimgusa Tu unnanuka [emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanaongea hao mkono mmoja kiunoni mwingine unasontwa na kusodolewa
Ole wako ujibu majibu asiyoyapenda na vinapenda kampani mno
Na uongo juuuu
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Ubaya mi nilikua navyo vyote hunishindi mdomo hunishindi ndondi na kaka zangu walikua wababe raha ilioje[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]Za kichina huziwezi Kwa kuwa wenye umbo la kumfuu ni wabishi Tu hawanaga kupiga wenziye , kakijipinda kukuzodoa unaweza Taman ardhi ipasuke uingie havipendi kujishika viononi Ila mkono mmoja kinakusodoa mwingine umeachwa maili moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Raha Sana
MIE hata sihiv vukinijia vibaya tu umeisha
Ndo viko hivyo tuliviita tako nyani (nyanya) [emoji1787][emoji1787][emoji1787] vikibananishwa havina jeuri vinashika mikono na kuchezea vidole kama vinatongozwa ule mtongozo wa zaman[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzee , mtu mzima lazima ajue hakina hatia kumbe [emoji13][emoji13][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23]weee nakaa hapo hapo nauliza nikuongeze? Harafu KWA watu wazima nilivyokua mpole sasa naweza mpiga mwanao akaja kunisemea kwako na ukanitetea KWA 100%
Kapole tu mimi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] na hata sifananii na hayo matendo basi tuHahaha I wish nikuone unafananaje jmn. Mweh.
[emoji3059]
Ukimgusa Tu unnanuka [emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanaongea hao mkono mmoja kiunoni mwingine unasontwa na kusodolewa
Ole wako ujibu majibu asiyoyapenda na vinapenda kampani mno
Na uongo juuuu
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Tabia za mabongeHapana..mimi ilikuwa lazima nivue nguo kwanza nimkabidhi Mama..mambo mengine yaendelee