[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka kwa sauti[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndo viko hivyo tuliviita tako nyani (nyanya) [emoji1787][emoji1787][emoji1787] vikibananishwa havina jeuri vinashika mikono na kuchezea vidole kama vinatongozwa ule mtongozo wa zaman[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzee , mtu mzima lazima ajue hakina hatia kumbe [emoji13][emoji13][emoji13]
Ila kikitoka huko kesi inaanza upya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na khanga inafungwa kwenye tako...!
[emoji85][emoji86][emoji87]
Uzi tayari...!
👊🏾
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ubaya mi nilikua navyo vyote hunishindi mdomo hunishindi ndondi na kaka zangu walikua wababe raha ilioje[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Hapana..mimi ilikuwa lazima nivue nguo kwanza nimkabidhi Mama..mambo mengine yaendelee
Utakuwa mtu wa mbeya huyuHahaha I wish nikuone unafananaje jmn. Mweh.
[emoji3059]
Ubaya mi nilikua navyo vyote hunishindi mdomo hunishindi ndondi na kaka zangu walikua wababe raha ilioje[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Kapole tu mimi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] na hata sifananii na hayo matendo basi tu
Weee haijawai nitokea ila nakumbuka nikiwa la pili nilipigana na MDADA wa la sita wee alinipa ya uso [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukipata mbabe mwenzako then kaka wanaingilia...!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka kwa sauti[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni kibwebwe bwebwe tu na mashaidi wa uongo kibaoNa khanga inafungwa kwenye tako...!
[emoji85][emoji86][emoji87]
Nikwamba nina sehem zangu yaani nikikutana na watu wababe basi nami naleta wakwangu na sipendi kuonea wanyonge nina huruma sanaAaaaaaaah wapi inaonekana you are very stubborn my lovely...!
[emoji7]
Uachie na za kesho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka kwa sauti[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukishavua nguo za shule inakuaje???--- unatembea uch★??
Utateseka sana🤣
Weee haijawai nitokea ila nakumbuka nikiwa la pili nilipigana na MDADA wa la sita wee alinipa ya uso [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umejuaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni kibwebwe bwebwe tu na mashaidi wa uongo kibao
Utakasikia eti furani kanafinya, kwenzi, mfyonzo, teke , ngumi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hafu viko very sensitive Kwa mazingira vikihisi tu haviko salama mbio [emoji13][emoji13][emoji13]
Uliweka earphones masikionMbona sijaskia jamani...!
[emoji7]
Nilipewa kichapoHahahaha kama nakuona vile...!
Nikwamba nina sehem zangu yaani nikikutana na watu wababe basi nami naleta wakwangu na sipendi kuonea wanyonge nina huruma sana