Hivi ndivyo Hayati Magufuli aliharibu Uchumi wa Tanzania. Takwimu huwa hazidanganyi

Fedha za wizi ndio Fedha zipi? Za wizi wa Plea bargaining Kwa nini hamkuziondoa? Za wizi wa Prof Assad 1.5T Kwa nini hamkuziondoa? Pesa zipi hizo za wizi mlizoziondoa? Unaweza nitajia?
Ndani ya uchumi uliokufa kuwepo pesa ndefu kiasi hiki za kupotea?

We hauko sawa
 
Hakuna mradi uliosimama ila Kasi yake ilikuwa ndogo sababu ya pesa na mfano mzuri ni mradi wa bwawa la Nyerere,Hadi Samia anauchukua ulikuwa umechelewa Kwa Zaidi ya miezi 8 sababu ni pesa..

Na hii ndio hoja inayothibitisha kwamba Hali ilikuwa mbaya..

Mwisho kushindwa kuunganisha Mikoa ya Magharibi Kwa Lami ni ushahidi tosha kwamba Mwendazake hakuwa na pesa,alivyopokea Ile Mikoa ya Magharibi akafa kaiacha hivyo hivyo bila lami..

Sasa saizi Wakandarasi wanakinukisha huko ni noma tupu maana pesa ipo.
 
Acha kuongea mambo usiyoyajua.

Ulipata ngapi Basic Mathematics?
Ulipata ngapi Economics?
 
Ndani ya uchumi uliokufa kuwepo pesa ndefu kiasi hiki za kupotea?

We hauko sawa
Hata Kwa Mugape pesa za Kuiba zilikuwepo licha ya uchumi kuharibika maana mnaobaki mnafaidi ni nyie mlioshika utawala ila mtaani hali mbaya..

Nitajie huko mtaani watu walifurahia maendelea yapi ikiwa Hadi korosho zilikosa soko?
 
Hata Kwa Mugape pesa za Kuiba zilikuwepo licha ya uchumi kuharibika maana mnaobaki mnafaidi ni nyie mlioshika utawala ila mtaani hali mbaya..

Nitajie huko mtaani watu walifurahia maendelea yapi ikiwa Hadi korosho zilikosa soko?
Mpaka hapa! Tayari nimekupuuza!

Unautoto mwingi na wewe ndiyo walee, mtandao uliobuniwa na wasomi wajinga wa sisiemu kwa lengo Lao walijualo wao kumchafua asiyechafuka!
 
Acha bla bla lete takwimu kujenga hoja otherwise kindly 😷
 
Mpaka hapa! Tayari nimekupuuza!

Unautoto mwingi na wewe ndiyo walee, mtandao uliobuniwa na wasomi wajinga wa sisiemu kwa lengo Lao walijualo wao kumchafua asiyechafuka!
Ukikosa hoja lazima utafute kichaka.

Mtaani mlifanya maendelea yapi? Mazao yote soko hakuna ,kazi hazipo, biashara haziendi , Wakandarasi hawapati kazi ,zote ziko Kwa force account na idara za serikali huo ndio uchumi?

Wawekezaji walikimbia,viwanda eti vyerehani, nilikwambia nitajie hata viwanda 5 huwezi vileta hapa ila wenzio Kwa mda mfupi sana wamevutia mamia Kwa mamia ya investors na wawekezaji wa viwanda..

Nyie Sukuma gang kubalini ,mtu wenu alikuwa looser na asiyejua Uchumi ila unyapala..
 
Porojo zipi? DGP growth rate ilipungua awamu ya Mwendazake kulinganisha na awamu zilizotangulia..

Figures ziko hapo fanya simple maths ya kutoa na kugawanya times 100 utapata majibu.
Umesoma swali na kulijibu kama linavyo uliza au ndio umeleta porojo nilizo zikataa toka awali kabisa ?
 
Waulize Business Insider watakwambia matokeo
Hebu weka hiyo makala ya Business Insider tuone kama wameandika "Magufuli alivyoharibu uchumi takwimu hazidanganyi."

Yaani hoja yangu ni kwamba hicho kichwa cha mada ulichoandika ni tafsiri yako ya hizo takwimu za Benki Kuu.

Ndo maana nimekuuliza kama unaelewa ulichokisoma? Na ili uelewe inatakiwa uwe na ufaulu wa Hisabati na Uchumi.
 
Attachment iliyoko kwenye mada inamtaja nani? Acha utoto
 
Huu ushuzi si umuhadithie Bibi yako na mabektatu. Eti maughuli alighalibu uhumi. Pumbaav mijizi ipo mingi likiwemo hili.
 
mbona huyo jamaa ni mweupe sana, na yuko hapa si kwa bahati mbaya,?

Anatimiza kile alichotumwa na wanamtandao wa uchafuzi!

Ni wa kupuuza tu
 
mbona huyo jamaa ni mweupe sana, na yuko hapa si kwa bahati mbaya,?

Anatimiza kile alichotumwa na wanamtandao wa uchafuzi!

Ni wa kupuuza tu
Hata mi naona. Bahati mbaya simjui ndo nimekutana na hii post ila kwa jinsi anavyojibu maswali niliyomuuliza nimeshaona kweli ni mweupe.
 
W
Walinda legacy wanakuja jiandae!!
 
Mbona tulisema sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…