Hivi ndivyo Jimmy Carter alivyobaki. Ndiyo tujue sasa dunia haina urafiki

Kazeeka na alifiwa na mkewe.Ila nae hana siku nyingi atamrudia Muumba.Ila Mungu kampa upendeleo kuishi mpaka uzee huu.
Halafu mleta maada hakuna cha ajabu ,hii ndo nature ya maisha kwa waliojaliwa kuishi muda mrefu.
 
Nionavyo mimi wewe ndio una shida ya kuwaza.
Unamuona mzee kama huyo aliyewahi kuwa raisi wa taifa kubwa halafu unasema kila kitu ni kawaida tu.Huchukui funzo hata moja.
Toa hoja acha bla blah!

Wadau wengi wanakuuliza point yako ni nini hasa?

Unadhani kila mtu anawaza kama unavyowaza kwenye bichwa lako?

Wewe mbona babu yako alipozeeka na kuugua mbona hukuja kuanzisha uzi?

Unataka nini hasa?
 
Mkewe alifariki mwaka jana kama sikosei.
 
Jaribu kukaa chini na ufikiri vyema.Utajua tu.
Ukishindwa tafuta wakubwa zako watakuzindua.
Acha ubishi, jibu swali, point yako ni ipi hapo?
Kama haukuwa tayari kwa mjadala usingefungua uzi.
Yaani uzi ufungue wewe halafu maswali tuwaulize wengine?
 
Kwa bahati mbaya maskini anaangalia walio juu yake i.e Matajiri lakini matajiri hawana muda kuangalia walio chini yao i.e maskini. Kwakuwa maskini wanatazama juu na kuwaona matajiri ndo mana wanawazungumzia. Otherwise nakubaliana na ww kuwa hizo ni mentality za maskini.
 
Toa hoja acha bla blah!

Wadau wengi wanakuuliza point yako ni nini hasa?

Unadhani kila mtu anawaza kama unavyowaza kwenye bichwa lako?

Wewe mbona babu yako alipozeeka na kuugua mbona hukuja kuanzisha uzi?

Unataka nini hasa?
🤣🤣🤣 wengi hatujamwelewa huyo jamaa!
 
nisaidie kuwaza basi we juha. nyie ndo tajri akifa mnaweka vikao, et alikuwa anaangaikia nn sasa mbona kila kitu kaacha wanafaid wengine.
Jamaa ana mentality za kimasikini sana huyo! Kwahiyo watu wasitafute mali kwamba watakufa.
Hajui kwamba mtu anaweza kuwa masikini na Pepo aisiione vile vile! Sisi wote ni wa Mungu inategemea na mtu anaegemea wapi!
 
Sasa wakati huo ukifika 99 years si poa tu!

Shida ni kufa below 60!
Hakuna 99 wala below ya 60, maenyezi mungu katuumba kua na tamaa ya kuipenda dunia kuliko akhera ingawa kwenye vitabu vya dini tunaambiwa akhera ni bora zaid kuliko dunia lakin hakuna anapataka. Kwahiyo ipo hivi kila umli unaofika unaona ulipotoka si parefu yani unaona umezaliwa juzi tu hata ukifika hiyo miaka 60 au 70 bado hautaridhika na kuona u ekaa sana bado utaona juz tu huku madogo wakikuona ww umeifaid dunia huku wakitaman kufika umri wako na wakati huo wewe unaona mambo yako kibao hujayakamilisha kwqhiyo ndio ipo hivyo usishangae kuona huyo mwamba bado nae anataman sana kuish nae anamambo yake
 
Miili mliyopewa ni kwa ajili ya matumizi ya duniani, sasa unaanzaje kuipenda ahera usiyoijua kwa kutumia mwili ulioumbwa kwa matumizi ya duniani?
Subiri uwe na mwili wa ahera ndiyo uanze kuishi kiahera
 
huyu juha kama ana watoto, watakuwa wanasali kila siku wakiomba afe tu.
 
Miili mliyopewa ni kwa ajili ya matumizi ya duniani, sasa unaanzaje kuipenda ahera usiyoijua kwa kutumia mwili ulioumbwa kwa matumizi ya duniani?
Subiri uwe na mwili wa ahera ndiyo uanze kuishi kiahera
au anywe sumu afe awai akhera atuachie dunia yetu na maisha yaliyojaa ubatili na kujilisha upepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…