Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Wanamjua Rrondo au wanamsikia.Rrondo hata papuchi akipewa hapokeiUnapopewa wazo la kibiashara inabidi nawewe uliweke kwenye mizani, kwahio na mimi nilifanya hivyo hivyo nikagundua I'm not smart enough for that thing called Forex business.
Nafikiri wewe ndio unatakiwe umtake radhi kaka yako.Dogo ntake radhi kwanza!
Wewe binti jiangalie.Wanamjua Rrondo au wanamsikia.Rrondo hata papuchi akipewa hapokei
Jeshi la mtu mmoja self service
mkuu tatzo mm natumia naked price sas nikiweka ma bollinger hyao daaaah naona mavitu vingi[emoji23][emoji23]hahahaha
safi sana ila mimi ni vitu vitatu navikubali sana
price action easy
parabolic
bollinger band
ni huakika sana
ukijumlisha na akili yako basi na 21 EMA
View attachment 735960
Ha ha ha ha!! Everything I do I do it for you babe nilitaka nije nikushangaze..bahati mbaya nimeshangazwa Mimi.Kumbe baby wangu ndo maana ulinikimbia
Kumbe uliibiwa mtaji
Hv hawa jamaa walidhani hela inaokotwa hivo ? Ingekuwa rahisi bakhresa angeuza chapati? Si angeajiri financial exparts wa kutosha wamfanyie forexWewe binti jiangalie.
Forex haina tatizo.D9,forex nilizitilia shaka tangu mwanzo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Daah.Na kweli mlipoitwa kwenye fursa mkakimbilia kuwa fursa Ontario akawatumia.
Poleni sana wazee wa kudownload pesa.
Acha mkwara wewe.Wewe binti jiangalie.
Duuh,hadi boss luge,mzee wa fursaaa.nae kawa fursaa[emoji16] [emoji16]Nandy, AY, Max, Ruge mutahaba, hawa wote nao wamekula za uso.
Wengine walikuwa wana trade kwa siri.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Kuna kigogo mmoja wa serikali alikuwepo pale ngoja nipige kimya tu! Nae kafurushwa vikali.
Ahahaaa njoo nikupe mtaji wa bodaboda .ila na wewe bna umenishangaza .forex uliijulia humu? Nenda nairaland forum ya Nigeria niliisoma huko kitambo ni liscam la muda mrefuHa ha ha ha!! Everything I do I do it for you babe nilitaka nije nikushangaze..bahati mbaya nimeshangazwa Mimi.
Hebu fanya Kama unafukua kaburi Rumburiaaa ili nasi tujisomee!At the peak ya haya mambo niliandika mada ya uchambuzi kuhusu forex.. Sikuwa na upande bali niliandika kama uchambuzi... Dah siisahau ile mada niliandamwa mno huku nikiambiwa najua nini ni afadhali nibaki na matunguli yangu mambo ya forex niwaachie wajuzi... Mwishowe mada ikawa executed...! Sikukubali nikapambana mpaka ikarudishwa... Wale ndugu sio nao ni wahanga!?
Shukrani mkuu! Kwa sasa sijui ni nani ataweza kuniingiza mkenge kwenye hii Forex.
Nimeiva! Something that doesn't kill you it can only makes much you stronger.
unaweza tuia moving average ya 12EMA na 5EMA MBONA iko safi tu sema uwe makinimkuu tatzo mm natumia naked price sas nikiweka ma bollinger hyao daaaah naona mavitu vingi[emoji23][emoji23]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] poa poa mkuuUnapopewa wazo la kibiashara inabidi nawewe uliweke kwenye mizani, kwahio na mimi nilifanya hivyo hivyo nikagundua I'm not smart enough for that thing called Forex business.