Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee wakakuambia ubaki na mambo ya matunguli!!!? Hii dunia inawatu wana maneno hatari aisee duuh!!
 
You nailed it!
 
Reactions: uth
ugumu wa forex ulikuwa katika kusoma, na kufanikiwa taratibu.
lkn baada ya kugundua kumbe wengi wanatrade kwa kuongozwa na wadau tena bila elimu ya kutosha nikaamua kukaa pembeni na madesa yangu nisubiri Lessons Learned.

sioni shida ya ontario na personality yake, wala forex bali ni wafuasi ambao wanafikiri baada ya kutenda.
 
unaweza kupost link ya uzi wako wa forex hapa kwa reply this
 
DEPEND NA AINA YA ROBOT na alivyo tengenezwa maana kuna wengine ikitokea news wana changanyikiwa na ku lose
 
Reactions: uth
hivi hearly na Da'Vinci' mmeiona hii biashara ya kudownload pesa!?..
hahaaaa Hawa watu wacha wapigwe tu mkuu ..tuliwaambia sana humu kuwa Jamaa anatumia udhaifu wao wakutokusoma vitabu nakujifnza mambo mengi ....walikuwa hawataki kutusikia "" tulikuwa tunatukanwa ile mbaya""

ama kweli muda ni hakimu wa haki ""

vipi wewe mkuu hujawahi kwenda janjid plaza kwa Mr Ontario !??
 
Ina maana kamanda na yeye atakuwa amelizwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…