[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee wakakuambia ubaki na mambo ya matunguli!!!? Hii dunia inawatu wana maneno hatari aisee duuh!!At the peak ya haya mambo niliandika mada ya uchambuzi kuhusu forex.. Sikuwa na upande bali niliandika kama uchambuzi... Dah siisahau ile mada niliandamwa mno huku nikiambiwa najua nini ni afadhali nibaki na matunguli yangu mambo ya forex niwaachie wajuzi... Mwishowe mada ikawa executed...! Sikukubali nikapambana mpaka ikarudishwa... Wale ndugu sio nao ni wahanga!?
Dah kudadeki kweli antorio nyokoNandy, AY, Max, Ruge mutahaba, hawa wote nao wamekula za uso.
Wengine walikuwa wana trade kwa siri.
kama hivi namaanishamkuu tatzo mm natumia naked price sas nikiweka ma bollinger hyao daaaah naona mavitu vingi[emoji23][emoji23]
ndioo mkuu apo unatakiwa uwe sharps san yan pale cros xinapotokea ukiongeza n reversal candle mkuu si sawah tu unareplac order
Safi sana naona kuna zones kuna breakout na retest/retouch zimetokea hapo ni mwendo wakubuy Ndugu vizuri sana.
You nailed it!Nachoweza kusema Watanzania tubadilike ,binafsi namuona Ontario kama mpambanaji na mtafuta fursa , aliyefanyia vizuri
Naamini hakumlazimisha mtu kujiunga na TMT ni willingness ya mtu ndio alivutiwa
Tatizo Watanzania tukishindwa kupata kitu tunachotarajia tunaanza kuita mtu tapeli n.k wakati yeye katimiza wajibu wake
Nashauri Acheni kumchafua , maana hakuwavuta shati kwenda TMT
unaweza kupost link ya uzi wako wa forex hapa kwa reply thisAt the peak ya haya mambo niliandika mada ya uchambuzi kuhusu forex.. Sikuwa na upande bali niliandika kama uchambuzi... Dah siisahau ile mada niliandamwa mno huku nikiambiwa najua nini ni afadhali nibaki na matunguli yangu mambo ya forex niwaachie wajuzi... Mwishowe mada ikawa executed...! Sikukubali nikapambana mpaka ikarudishwa... Wale ndugu sio nao ni wahanga!?
Myahudi Jr II ni muelewa sana sikuhizi huwa hafuati upepo na hatokuja kukukandia mleta mada kama alivyokuwa akifanya kwenye thread hii SHAHIDI: Majibu kwa Ontario kuhusu kuitwa tapeli wa Biashara ya Forex kupitia TMT (II)
mlikuwa mgamboKwa hiyo sisi tumekuwa Kama wacambodia nini?
hadi max hahahahha...ntaanzisha uzi wa kutoa calls kila siku..Nandy, AY, Max, Ruge mutahaba, hawa wote nao wamekula za uso.
Wengine walikuwa wana trade kwa siri.
Kifo cha wengi harusi! Ungekuja tu mkuu.Ilibaki kidogo niingie mtegoni
Shukrani mkuu kwa somo makini
DEPEND NA AINA YA ROBOT na alivyo tengenezwa maana kuna wengine ikitokea news wana changanyikiwa na ku loseUnajua robot wanaweza kupata faida sana Kwenye Forex maana hawana emotional na adui mkubwa wa Forex ni emotional pekee.
Jaribu kutafuta best ways to handle emotions then you will be fine. Huu mtihani Mimi nilishaupita..emotions nilishazinyofoa zamani.
Kwa sasa siko Dar mkuu.
hahaaaa Hawa watu wacha wapigwe tu mkuu ..tuliwaambia sana humu kuwa Jamaa anatumia udhaifu wao wakutokusoma vitabu nakujifnza mambo mengi ....walikuwa hawataki kutusikia "" tulikuwa tunatukanwa ile mbaya""
Ina maana kamanda na yeye atakuwa amelizwa?Watu tumeandika sana kuhusu TMT na ONTARIO miezi mingi sana nyuma huko ila still watu wanaibiwa tu na mtu huyo huyo.
Nyie mnaoliwa sasahivi ni kwa kujitakia na ONTARIO endelea tu kuwala kwasababu hawawezi kutrade pasipo nyie.
Sasa TMT Na ONTARIO sasa sio wa kulaumiwa ila wakujilaumu ni hawa walioziba masikio na kusema "Watu wanachuki binafsi na ONTARIO" na wengine wakasema "FOREX DAR ndio wanasambaza habari za chuki kumharibia mshindani wao ,ONTARIO".
ONTARIO endelea tu kuwala wote wanaoendelea kufanya FOREX na nyinyi.
Watu waliandika sana mkaanza kuwaharibia thread zao kwa kukanunsha kila kilichoandikwa mda ule.Hakuna kipya hapo alichokindika Mleta mada ambacho toka mwezi wa 10 mpaka jan hakikuandikwa humu na vyote vilikanushwa na watea wake kindakindaki.
Watu wameona NANDI kaenda FOREX kwa ONTARIO akapiga picha na ONTARIO akaipost humu watu wakaanza kusema mbona NANDI kaenda bhana,hawa wengine ni chuki twendeni(Great thinkers wenzetu wakavutwa na NANDI hahahah).
ONTARIO kama utasoma hii comment ujue tu mimi sina kesi wala tatizo na wewe hata kidogo maana tofauti yangu na wewe nilimalizia kwenye thread hii SHAHIDI: Majibu kwa Ontario kuhusu kuitwa tapeli wa Biashara ya Forex kupitia TMT (II)
Myahudi Jr II ni muelewa sana sikuhizi huwa hafuati upepo na hatokuja kukukandia mleta mada kama alivyokuwa akifanya kwenye thread hii SHAHIDI: Majibu kwa Ontario kuhusu kuitwa tapeli wa Biashara ya Forex kupitia TMT (II)