Hivi ndivyo tunavocheat, palipo na viatu vya muwewe kuna ndala zangu

Naomba niulize swali. Nimesikia maneno mengi sana yanasemwa kwamba mwanaume anae cheat ni yule ambae haridhishwi na mkewe ndani. Kuna huduma anakosa and all that. Sasa swali langu- Kwa mwanamke asie ridhishwa na mumewe, hapewi huduma inavyotakiwa na yupo tu nyumbani afanyaje?
 
Mkuu hongera sana story ni nzuri na inavutia kwakweli kikubwa zaidi umepangilia. Nachofurahia unatoa na mafunzo kabisa. Well Done mkuu
 
mme wa recho kayakanyaga, recho moyo kasha utoa kwa Mr devil
 

Attachments

  • Screenshot_20241230_072018_WhatsApp.jpg
    125.5 KB · Views: 8
Ni kweli Wagumu Tunadumu. Ingekua ni Hadithi ya kutunga basi ningekua na kila taarifa inayohitajika. Kwasababu ni kisa cha uhalisia basi nimeandika yale nilioweza kuyashuhudia kupitia viungo vyangu vya fahamu pekee. Karibu sana.
Hapo ndo ulipotuangusha kwa kushindwa kuhoji ni vipi huyo mwanaume mwenzetu alikuwa makin na mali yake mpaka kugundua kuwa imeibiwa

Kama ungeuliza huenda hata sisi tungeweza kutumia mbinu ya huyo jamaa kugundua mali yake haipo sawa
 
Rafiki HakiKwanza_2015 nikujuze tu swala la kuridhisha/kuridhishwa sio tatizo bali ni mtazamo.

Ukiwa na mtazamo chanya na huyo mtu wako hakika utaibua hisia njema za mapenzi nae. Na hata ukilala nae haihitaji upigwe jerk kwa muda mrefu ili uridhike.

Kuwepo nyumbani tu kusifanye uchepuke. Hapana ni kweli ukila ukashiba na huna kazi za kufanya basi wazo la mapenzi Huwa linachukua sehemu kubwa. Hivyo basi...

Jikiweke katika Hali ya kujishughulisha na kazi ndogo ndogo ikiwemo kutunza mazingira ya mji wako au hata kutumia muda kufundisha wanao au kufanya nao homeworks.

Karibu sana.
 
Hapo ndo ulipotuangusha kwa kushindwa kuhoji ni vipi huyo mwanaume mwenzetu alikuwa makin na mali yake mpaka kugundua kuwa imeibiwa

Kama ungeuliza huenda hata sisi tungeweza kutumia mbinu ya huyo jamaa kugundua mali yake haipo sawa
Upo sahihi kaka. Kumbuka katika episode ya 08 na 09 nikiongelea wasiwasi wa Recho kustukiwa kwa kumuigizia jamaa yake.

Mwanamke kama Hana hisia za mapenzi na wewe kwa wakati husika hawezi furahia tendo. Hata umuandae na namna gani.

Hapa simply namaanisha kulowa au kutengeneza uteute. Kisasa mnaitwa utelezi.

Kama ni mkeo atajitahidi sana kukuigizia anafurahia kumbe haipo hivo. Na ndio Recho alichokuwa akimaanisha.
 
We' ERoni toka huko milimani uje upoozee baridi kwenye huu uzi unapitwa...🤣
Mwite na nduguyo Atoto
Kunani tena humu dada?

Nipe samare maana siku hizi kusoma hadithi ndefu za kusadikika nimeshindwa🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Mtiririko mzuri, unadishi makini na mafundisho yaliyobebwa, yamefanya simulizi hii kuwa isiyochosha, yenye mafunzo na kuburudisha. Japo wivu wako dhidi ya mali ya wizi kuna wakati ulikuzidi msimuliaji. Tunashukuru hasa kwa Bonus Episode.
 
Ungemsamehe 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…