Hivi ndivyo tunavocheat, palipo na viatu vya muwewe kuna ndala zangu

Ila Recho
 
Binafsi sina uvumilivu huo na sipendi kuishi kinafki aisee nilijaribu nikashindwa,japo demu bado anaamini ipo siku nitamsamehe na huwa anaulizia kila ninachofanya kujua kama nimeoa au bado ila anauliza kupitia mama yangu
Huyo mwanamke anakupenda na ameshajifujza makosa,kama unampenda mpe nafasi acha kujifanya nunda.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…