HIvi ndivyo viongozi wa Afrika wanavyonunuliwa na mataifa makubwa ikiwemo Rais Tinubu ambaye ni jasusi la CIA

HIvi ndivyo viongozi wa Afrika wanavyonunuliwa na mataifa makubwa ikiwemo Rais Tinubu ambaye ni jasusi la CIA

Rais wa Africa kununuliwa.., mi nadhani ni kawaida tu kwa sababu ya ujinga wa Mwafrica

Kiongozi wa Africa yuko tayari kuuza rasilimali kwa wageni kwa kupewa hongo na akasaini mkataba wa hatari
Wa miaka mia huku nchi yake ikipata 7% tu ya mradi huo

Unaona ajabu kwa kiongozi kununuliwa???
 
Wakati mwalimu anaweka mapingamizi ya afrika kuungana na kua nchi moja,inasemekana alimchana kuwa wewe ni kibaraka wa mabeberu
Ila mwalimu alikua na point, na inasemekana pia Kwame alikua anautaka urais wa muungano huo yeye mwenyewe.
Mwalimu had a logic kwa concern hii.
Badala ya afrika yote kuungana, ni muhim kwanza kukaanza muungano wa nchi katika jumuia ndogo ndogo kwanza kama eac, etc. Kisha hiz jumuia ndogo ndogo kushughukika na changamoto za muungano baina ya nchi na nchi then itakua kuziunganisha jumuia hiz kuwa nchi moja of which ita take time lakin pia itapunguza strife ya ku deal na issues nying zinazopatikana katika muingano wowote ule.
Sasa imagine eac tu ilivunjika, whay if kuiunganisha afrika nzima just at pah!!! Ni kitu kiaingekua rahis kama Kwame alivyotaka.

So Nyerere was right on this
We cheki tu Tanganyika na Zanzibar muungano wa nchi 2 ila minyukano kibao miaka mingi sasa
 
Ila mwalimu alikua na point, na inasemekana pia Kwame alikua anautaka urais wa muungano huo yeye mwenyewe.
Mwalimu had a logic kwa concern hii.
Badala ya afrika yote kuungana, ni muhim kwanza kukaanza muungano wa nchi katika jumuia ndogo ndogo kwanza kama eac, etc. Kisha hiz jumuia ndogo ndogo kushughukika na changamoto za muungano baina ya nchi na nchi then itakua kuziunganisha jumuia hiz kuwa nchi moja of which ita take time lakin pia itapunguza strife ya ku deal na issues nying zinazopatikana katika muingano wowote ule.
Sasa imagine eac tu ilivunjika, whay if kuiunganisha afrika nzima just at pah!!! Ni kitu kiaingekua rahis kama Kwame alivyotaka.

So Nyerere was right on this
We cheki tu Tanganyika na Zanzibar muungano wa nchi 2 ila minyukano kibao miaka mingi sasa
Hakuna point hapo mkuu, mwalimu alikua na kawaida ya kuhalalisha yake kwa hoja za kulazimisha,kudai kwame alitaka kuwa rais wakati muungano wenyewe ulikua kwenye hatua ya mdahalo,ni unafiki,ukizabizabina,haya huo muungano uko wapi Leo miaka 60 baadae?!.. Africa kuwa nchi moja ilikua tishio kwa mabeberu, mwalimu ndiye aliyeogopa kukosa mamlaka ya urais,huenda agenda zake zisingekua
 
Back
Top Bottom