HIvi ndivyo viongozi wa Afrika wanavyonunuliwa na mataifa makubwa ikiwemo Rais Tinubu ambaye ni jasusi la CIA

HIvi ndivyo viongozi wa Afrika wanavyonunuliwa na mataifa makubwa ikiwemo Rais Tinubu ambaye ni jasusi la CIA

Hakuna point hapo mkuu, mwalimu alikua na kawaida ya kuhalalisha yake kwa hoja za kulazimisha,kudai kwame alitaka kuwa rais wakati muungano wenyewe ulikua kwenye hatua ya mdahalo,ni unafiki,ukizabizabina,haya huo muungano uko wapi Leo miaka 60 baadae?!.. Africa kuwa nchi moja ilikua tishio kwa mabeberu, mwalimu ndiye aliyeogopa kukosa mamlaka ya urais,huenda agenda zake zisingekua
Sasa kama hoja ya mwalimu ilikua unafiki, ni kwann ya kwame iomekane ni genuine?
 
Hakuna point hapo mkuu, mwalimu alikua na kawaida ya kuhalalisha yake kwa hoja za kulazimisha,kudai kwame alitaka kuwa rais wakati muungano wenyewe ulikua kwenye hatua ya mdahalo,ni unafiki,ukizabizabina,haya huo muungano uko wapi Leo miaka 60 baadae?!.. Africa kuwa nchi moja ilikua tishio kwa mabeberu, mwalimu ndiye aliyeogopa kukosa mamlaka ya urais,huenda agenda zake zisingekua
You're right
 
Hakuna point hapo mkuu, mwalimu alikua na kawaida ya kuhalalisha yake kwa hoja za kulazimisha,kudai kwame alitaka kuwa rais wakati muungano wenyewe ulikua kwenye hatua ya mdahalo,ni unafiki,ukizabizabina,haya huo muungano uko wapi Leo miaka 60 baadae?!.. Africa kuwa nchi moja ilikua tishio kwa mabeberu, mwalimu ndiye aliyeogopa kukosa mamlaka ya urais,huenda agenda zake zisingekua
kama nakuelewa hivi.
 
Rais wa Africa kununuliwa.., mi nadhani ni kawaida tu kwa sababu ya ujinga wa Mwafrica

Kiongozi wa Africa yuko tayari kuuza rasilimali kwa wageni kwa kupewa hongo na akasaini mkataba wa hatari
Wa miaka mia huku nchi yake ikipata 7% tu ya mradi huo

Unaona ajabu kwa kiongozi kununuliwa???
I bet to my last dime, Nyerere was nobody's stooge!
 
Nyerere naunga hoja alikuwa kibaraka wa malkia
Kwa nyie watoto wa juzi ambao hamjui kusoma historia, nasikiaNyerere kuna wakati alienda kuonanan na Malkia , na Malkia akampa mkono akiwa amevaa gloves. Nyerere akampa kifimbo ndio asalimiane na Malkia, Malkia akaelewa haraka na kuvua gloves.
Vile vile kuna wakati Nyerere alifanya stop over London akitokea Marekani.
Waziri Mkuu wakati huo Margaret Thatcher akamtumia ujumbe kuwa akifika, aende Ofisini kwake waonane.
Alipofika Heathrow London, Mwalimu hakutoka Uwanja wa ndege, alipoulizwa kuwa anasubiriwa Ikulu ya Waziri Mkuu, Nyerere akamwambia aliyetumwa kuwa toka Airport kwenda Ikulu ni umbali ule ule toka Ikulu kwenda Airport, maana yake kwa nini yeye Margaret Tatcher kwa nini asije Airport tuonane. Airport za wenzetu zina vyumba Executive vya mikutano.
Hiyo ndiyo jeuri ya Mwalimi

Hapo mama Thatcher alilewa.
Nyerere was nobody's stooge!
 
Kwa nyie watoto wa juzi ambao hamjui kusoma historia, nasikiaNyerere kuna wakati alienda kuonanan na Malkia , na Malkia akampa mkono akiwa amevaa gloves. Nyerere akampa kifimbo ndio asalimiane na Malkia, Malkia akaelewa haraka na kuvua gloves.
Vile vile kuna wakati Nyerere alifanya stop over London akitokea Marekani.
Waziri Mkuu wakati huo Margaret Thatcher akamtumia ujumbe kuwa akifika, aende Ofisini kwake waonane.
Alipofika Heathrow London, Mwalimu hakutoka Uwanja wa ndege, alipoulizwa kuwa anasubiriwa Ikulu ya Waziri Mkuu, Nyerere akamwambia aliyetumwa kuwa toka Airport kwenda Ikulu ni umbali ule ule toka Ikulu kwenda Airport, maana yake kwa nini yeye Margaret Tatcher kwa nini asije Airport tuonane. Airport za wenzetu zina vyumba Executive vya mikutano.
Hiyo ndiyo jeuri ya Mwalimi

Hapo mama Thatcher alilewa.
Nyerere was nobody's stooge!
Huu uongo kama uongo mwingine wa vijiwe vya kawa uongooooooooooooooo.
 
vile RL unfurl="true" media="youtube:uQ-a7d0leig"]
View: https://youtu.be/uQ-a7d0leig?si=KwxCAlbxJxtdeEwv[/URL]

Rais Tinubu wa Nigeria ni jasusi la CIA.
Kanunuliwa, yuko mfukoni.

Nimesikitika, nimeshangaa, nikakasirika, halafu nikaisikitikia Mama Afika.

Sikiliza na uone tulivyo bado watumwa.

Sio jambo la ajabu, unafikiri alinunuliwa Jana! Huyo yupo kwenye mfumo wa USA, tangu akiwa kijana wa, miaka 20+! Ni, kawaida tu, mpaka Leo, nyie vijana mnapoitwa na kupewa fulsa za, vijana viongozi kwenda USA kujifunza Mambo ya uongozi, mnafikiri USA, inafsnya hivyo kwa vile inawapenda? Acheni ujinga, don't be naive niggers! There is nothing like free lunch in this world!
 
Sio jambo la ajabu, unafikiri alinunuliwa Jana! Huyo yupo kwenye mfumo wa USA, tangu akiwa kijana wa, miaka 20+! Ni, kawaida tu, mpaka Leo, nyie vijana mnapoitwa na kupewa fulsa za, vijana viongozi kwenda USA kujifunza Mambo ya uongozi, mnafikiri USA, inafsnya hivyo kwa vile inawapenda? Acheni ujinga, don't be naive niggers! There is nothing like free lunch in this world!
Kweli vijana wa sasa kusaliti nchi yao ni kama kawaida tu kwao.
Lakini kwa vile wamenunuliwa , basi kuitumikia nchi yao ni kama ndoto.
 
Back
Top Bottom