HIvi ndivyo viongozi wa Afrika wanavyonunuliwa na mataifa makubwa ikiwemo Rais Tinubu ambaye ni jasusi la CIA

HIvi ndivyo viongozi wa Afrika wanavyonunuliwa na mataifa makubwa ikiwemo Rais Tinubu ambaye ni jasusi la CIA

Wachina wakimnunua ni sawa?

Warussia wakimnunua ni sawa?

East wakiwanunua ni sawa,ila West wakiwanunua si sawa ni ubeberu?

Hii vita ya East na West ni hovyo sana
Ukisha jiset in your mind kwamba ni sawa tu kunuluwa , mradi unapata mpunga wako, huna tofauti na malaya wa kambi ya Manzese kwa mfuga mbwa.
 
Rais wa Africa kununuliwa.., mi nadhani ni kawaida tu kwa sababu ya ujinga wa Mwafrica

Kiongozi wa Africa yuko tayari kuuza rasilimali kwa wageni kwa kupewa hongo na akasaini mkataba wa hatari
Wa miaka mia huku nchi yake ikipata 7% tu ya mradi huo

Unaona ajabu kwa kiongozi kununuliwa???
kuna wengine wananunuliwa na waarabu, wanauza hadi rasilimali zote kwa waarabu, kwao mwarabu kuwepo akila mali za nchi wanaona kama wanaishi karibu na malaika. hawa tuwaweke kundi gani?
 
Ukisha jiset in your mind kwamba ni sawa tu kunuluwa , mradi unapata mpunga wako, huna tofauti na malaya wa kambi ya Manzese kwa mfuga mbwa.
Intelligence is the business of exchanging information

Kutaja hapa Tunubu kanunuliwa,lini na bei gani na evidence zipo wapi?

Na nani alikwambia kununuliwa si sawa?

Everybody has a price,wewe included,kama u have something I need na nikafika your price,fair exchange of currencies inatokea,whats wrong with that?

Au wewe unadhani ukisema "kununuliwa" na America tu ndio vibaya ila sio China ndio sahihi?

Fvck it,stay with your fake morality uliyolishwa na CCM and your stupid Tanzanian govt.

Nina bidhaa unayoitaka,then I have to charge you for the fair exchange!

Mambo sijui ya nchi na wananchi sijui uzalendo,matacor yenu kila mtu ajitegemee,sina muda wa kusaidia mtu na wala sitaki mtu anisaidie lolote,nchi ni kipande cha ardhi na wananchi kwenye hiyo ardhi ni wanadamu kama kenge wengine tu

Keep that uzalendo nonsense to yourself
 
Intelligence is the business of exchanging information

Kutaja hapa Tunubu kanunuliwa,lini na bei gani na evidence zipo wapi?

Na nani alikwambia kununuliwa si sawa?

Everybody has a price,wewe included,kama u have something I need na nikafika your price,fair exchange of currencies inatokea,whats wrong with that?

Au wewe unadhani ukisema "kununuliwa" na America tu ndio vibaya ila sio China ndio sahihi?

Fvck it,stay with your fake morality uliyolishwa na CCM and your stupid Tanzanian govt.

Nina bidhaa unayoitaka,then I have to charge you for the fair exchange!

Mambo sijui ya nchi na wananchi sijui uzalendo,matacor yenu kila mtu ajitegemee,sina muda wa kusaidia mtu na wala sitaki mtu anisaidie lolote,nchi ni kipande cha ardhi na wananchi kwenye hiyo ardhi ni wanadamu kama kenge wengine tu

Keep that uzalendo nonsense to yourself
You are so cheap young man!
 
Intelligence is the business of exchanging information

Kutaja hapa Tunubu kanunuliwa,lini na bei gani na evidence zipo wapi?

Na nani alikwambia kununuliwa si sawa?

Everybody has a price,wewe included,kama u have something I need na nikafika your price,fair exchange of currencies inatokea,whats wrong with that?

Au wewe unadhani ukisema "kununuliwa" na America tu ndio vibaya ila sio China ndio sahihi?

Fvck it,stay with your fake morality uliyolishwa na CCM and your stupid Tanzanian govt.

Nina bidhaa unayoitaka,then I have to charge you for the fair exchange!

Mambo sijui ya nchi na wananchi sijui uzalendo,matacor yenu kila mtu ajitegemee,sina muda wa kusaidia mtu na wala sitaki mtu anisaidie lolote,nchi ni kipande cha ardhi na wananchi kwenye hiyo ardhi ni wanadamu kama kenge wengine tu

Keep that uzalendo nonsense to yourself
You are so cheap young man!
 
JF ndio tumefika Point ya Kujadili Mambo ambayo hayajatoka kwenye Credible source kabisa yani tujadili YouTuber uchwara huko anaetafuta Viewers
You tube is a source of information, haijakanushwa an Tinubu!
CIA wameconfirm kuwa Tinubu ni mtu wao.

The Central Intelligence Agency has reportedly confirmed that Nigeria’s sitting president, Bola Tinubu, is regarded as an active asset by U.S. intelligence, sparking a major international espionage scandal.

 

View: https://youtu.be/uQ-a7d0leig?si=KwxCAlbxJxtdeEwv

Rais Tinubu wa Nigeria ni jasusi la CIA.
Kanunuliwa, yuko mfukoni.

Nimesikitika, nimeshangaa, nikakasirika, halafu nikaisikitikia Mama Afika.

Sikiliza na uone tulivyo bado watumwa.


Watu bado ni washamba sana.

1. Huyo sio mtu wa kweli anaongea ni AI ambayo inasoma yenyewe maneno tu na kutumia sauti fake
2. Hizo propoganda zinatengenezwa na China kuaminisha watu kuwa ni wamarekani wanaongea.

Tafuta huyo mtu ambaye anaongea kama utampata!
 
Watu bado ni washamba sana.

1. Huyo sio mtu wa kweli anaongea ni AI ambayo inasoma yenyewe maneno tu na kutumia sauti fake
2. Hizo propoganda zinatengenezwa na China kuaminisha watu kuwa ni wamarekani wanaongea.

Tafuta huyo mtu ambaye anaongea kama utampata!
Refer to my post #55
Halafu utajua mshamba ni yupi kati yangu mimi na wewe.
 
You are so cheap young man!
Mkuu

Kama "cheap" ni price pia "expensive" ni price pia

We are all in the same business.......tumetofautiana bei tu

Sasa sijui hii "morality" uliyodanganywa uliitolea wapi hasa?

Fvck uzalendo na sijui nchi ambavyo ni vipande vya ardhi washenzi kama wewe na mimi wameweka beacons

Nina bidhaa unayoihitaji na mimi nipo willing for fair exchange
 
Ukisha jiset in your mind kwamba ni sawa tu kunuluwa , mradi unapata mpunga wako, huna tofauti na malaya wa kambi ya Manzese kwa mfuga mbwa.
And that will make me feel bad or some shit like that?

Huyo malaya wa Manzese sio mtu?

Comparison unafanya wewe,they got nothing to with me mkuu!

My head is totally away from you!

Nina bidhaa au information you need......lets do business!

Mbona wakati unauza shamba lako tusikuone "malaya"?

Kwanini nikiuza information zangu nilizozitafuta kwa jasho langu kuhusu nchi fulani au viongozi fulani nionekane "malaya"?

Like what the fvck is wrong with you?

Yaani wewe viongozi wa kisiasa walikua aminisha kuuza information zao ni "umalaya"?

Y'all are a bunch of fools!
 
Back
Top Bottom