HIvi ndivyo viongozi wa Afrika wanavyonunuliwa na mataifa makubwa ikiwemo Rais Tinubu ambaye ni jasusi la CIA

HIvi ndivyo viongozi wa Afrika wanavyonunuliwa na mataifa makubwa ikiwemo Rais Tinubu ambaye ni jasusi la CIA

Kizazi cha kwanza cha wanaharakati wa Afrika wengi wao hawakuwa vibaraka,ila hiki kizazi cha sasa ndio wengi ni vibaraka na pili wanatamaa ndio maana Afrika kitu kinacho liangamiza hili bara ni rushwa na ufisadi
Hata hao wa kwanza kama nyerere alikuwa kibaraka wa uingereza na marekani kitamboo tuu
 
Nani kakwambia ww na story zenu za kutunga. Nyerere alikuwa anachukiwa West, hivi ushajiuliza Why Che Guavara alikuja kujificha huku Tz na si kwinginepo? au why viongozi wote wa kusini mwa Africa wakati wa harakati mambo yakiwa magumu wanakuja kujificha huku Africa.

Maana kama Nyerere angekuwa Kibaraka basi angemchoma Che na baadhi ya viongozi wa vyama vya ukombozi wa kusini mwa jangwa la Africa.
Nyerere hwezi kumchoma che alijua che akiuliwa hapa tz au akikamatwa tz Cuba 🇨🇺 haitamwelewaa
 
Eti Nyerere alilala vichakani USA, alikua darling wa west,soma kitabu Cha molony, Nyerere;early years uone alivyokua akicheza kwenye mabangaloo akiandaliwa kupewa nchi,tafuta picha yake na rais mzinifu kenned wakiwa white house,aliandaliwa na mabeberu tangu tabora school,alitaka kuwa Padre wakamkataza,maana walijua ana kazi maalum,kwame akiwa madarakani nchi nyingi za west Africa hazikua huru,na Nyerere hakuunda regional block yoyote,na Kama ni harakati za Mandela zinakuzuzua basi jua hata uingereza walikua wakivujisha Siri za makaburu kwa wapigania uhuru,waingereza waliomuandaa Nyerere ndiyo waliomuokoa na mapinduzi
Waingereza ndio walimsaidia nyerere kupinduliwaaa
 
Eti Nyerere alilala vichakani USA, alikua darling wa west,soma kitabu Cha molony, Nyerere;early years uone alivyokua akicheza kwenye mabangaloo akiandaliwa kupewa nchi,tafuta picha yake na rais mzinifu kenned wakiwa white house,aliandaliwa na mabeberu tangu tabora school,alitaka kuwa Padre wakamkataza,maana walijua ana kazi maalum,kwame akiwa madarakani nchi nyingi za west Africa hazikua huru,na Nyerere hakuunda regional block yoyote,na Kama ni harakati za Mandela zinakuzuzua basi jua hata uingereza walikua wakivujisha Siri za makaburu kwa wapigania uhuru,waingereza waliomuandaa Nyerere ndiyo waliomuokoa na mapinduzi
Kennedy alikuwa mzee wa totoz sana
 
Hata hao wa kwanza kama nyerere alikuwa kibaraka wa uingereza na marekani kitamboo tuu
Nyerere angekuwa kibaraka wa UK sizani angepewa treatment ya hovyo alivyoenda US. Vyama vyote vya ukombozi kusini mwa Jangwa la Sahara walikuwa wanakuja kujificha Tanzania, mpaka Che Guavara alikuja kujificha Tz.

Kama Nyerere kweli angekuwa kibaraka angewachoma wenzake, mfano Che alivyokuja na kukaa hapa Tz hamna aliyejua mpaka anaondoka Tz.Ndipo watu walipojua Che alikuja kujificha Tz.Hivi unajua nchi za West walivyokuwa wakimsaka Che na Castro ili wawaangamize, ila Tz Nyerere akampa hifadhi Che.
 
Nyerere angekuwa kibaraka wa UK sizani angepewa treatment ya hovyo alivyoenda US. Vyama vyote vya ukombozi kusini mwa Jangwa la Sahara walikuwa wanakuja kujificha Tanzania, mpaka Che Guavara alikuja kujificha Tz.

Kama Nyerere kweli angekuwa kibaraka angewachoma wenzake, mfano Che alivyokuja na kukaa hapa Tz hamna aliyejua mpaka anaondoka Tz.Ndipo watu walipojua Che alikuja kujificha Tz.Hivi unajua nchi za West walivyokuwa wakimsaka Che na Castro ili wawaangamize, ila Tz Nyerere akampa hifadhi Che.
Ndio nikakwambia Nyerere asingetaka che akamatwe hapa tz kwasababu Cuba isingemwelewa na Cuba ilitoa mafunzo sana ya askari wa Tanzania 🇹🇿
 
Nyerere hwezi kumchoma che alijua che akiuliwa hapa tz au akikamatwa tz Cuba 🇨🇺 haitamwelewaa
Sera na mitizamo ya Nyerere, Che,Castro ilikuwa inafanana na ndio maana Nyerere aliwaelewa kuhusu harakati zao za kuik9mboa nchi yao ya Cuba,kwani alichokuwa anacho kiamaini Castro na Che (Ukomunisti) ndicho alichokuwa akikiamini Nyerere.
 
Nani kakwambia ww na story zenu za kutunga. Nyerere alikuwa anachukiwa West, hivi ushajiuliza Why Che Guavara alikuja kujificha huku Tz na si kwinginepo? au why viongozi wote wa kusini mwa Africa wakati wa harakati mambo yakiwa magumu wanakuja kujificha huku Africa.

Maana kama Nyerere angekuwa Kibaraka basi angemchoma Che na baadhi ya viongozi wa vyama vya ukombozi wa kusini mwa jangwa la Africa.
Wewe ni mtupu
 
Ndio nikakwambia Nyerere asingetaka che akamatwe hapa tz kwasababu Cuba isingemwelewa na Cuba ilitoa mafunzo sana ya askari wa Tanzania 🇹🇿
Kwani Nyerere angemkamatisha Che Cuba wangeifanya nini Tz? Sababu Cuba yenyewe ilikiwa inapamba ipate uhuru wake na kuwa free. Sasa kama mafunzo Nyerere si angemsnitch Che kwa UK/US ,ili apewe hayo mafunzo na hizo nchi kwani US/UK wasingeshindwa.Kwani Castro na Che zile harakati zao ziliwa fungua viongozi wengine wa America Kusini ,hiki kitu kilikuwa hatari West hawakukipenda.

Hivi unajua West waliweka resources ngapi na kumwangamiza Che na Castro. Mpaka kesho US bado anakitaka kile kisiwa na juzi kaangukia pua UN.
 
Kwani Nyerere angemkamatisha Che Cuba wangeifanya nini Tz? Sababu Cuba yenyewe ilikiwa inapamba ipate uhuru wake na kuwa free. Sasa kama mafunzo Nyerere si angemsnitch Che kwa UK/US ,ili apewe hayo mafunzo na hizo nchi kwani US/UK wasingeshindwa.Kwani Castro na Che zile harakati zao ziliwa fungua viongozi wengine wa America Kusini ,hiki kitu kilikuwa hatari West hawakukipenda.

Hivi unajua West waliweka resources ngapi na kumwangamiza Che na Castro. Mpaka kesho US bado anakitaka kile kisiwa na juzi kaangukia pua UN.
Daaaaah sawa mkuu
 
Kwani Nyerere angemkamatisha Che Cuba wangeifanya nini Tz? Sababu Cuba yenyewe ilikiwa inapamba ipate uhuru wake na kuwa free. Sasa kama mafunzo Nyerere si angemsnitch Che kwa UK/US ,ili apewe hayo mafunzo na hizo nchi kwani US/UK wasingeshindwa.Kwani Castro na Che zile harakati zao ziliwa fungua viongozi wengine wa America Kusini ,hiki kitu kilikuwa hatari West hawakukipenda.

Hivi unajua West waliweka resources ngapi na kumwangamiza Che na Castro. Mpaka kesho US bado anakitaka kile kisiwa na juzi kaangukia pua UN.
"Fidel Castro - Wikipedia" Fidel Castro - Wikipedia

Tukikwambia wewe mtupu uwe unakubali, Castro kapindua Cuba 1959, Tanganyika imepata uhuru 1961,che hakuwa mcuba,na alikuja kusaidia mapambano DRC,akavunjwa moyo na uzembe,ulevi na uzinzi wa askari wa kikongo aliokua nao bega kwa bega,akaondoka,na che aliuzwa na Castro baada ya Castro kupewa maelekezo na ma Wana zake, USSR
 
"Fidel Castro - Wikipedia" Fidel Castro - Wikipedia

Tukikwambia wewe mtupu uwe unakubali, Castro kapindua Cuba 1959, Tanganyika imepata uhuru 1961,che hakuwa mcuba,na alikuja kusaidia mapambano DRC,akavunjwa moyo na uzembe,ulevi na uzinzi wa askari wa kikongo aliokua nao bega kwa bega,akaondoka,na che aliuzwa na Castro baada ya Castro kupewa maelekezo na ma Wana zake, USSR
Unajua inashangza viongozi wa Africa walipewa elimu na hao wakoloni tena wajee wakuwe against wakoloni sasa walipa elimu ya nn
 
"Fidel Castro - Wikipedia" Fidel Castro - Wikipedia

Tukikwambia wewe mtupu uwe unakubali, Castro kapindua Cuba 1959, Tanganyika imepata uhuru 1961,che hakuwa mcuba,na alikuja kusaidia mapambano DRC,akavunjwa moyo na uzembe,ulevi na uzinzi wa askari wa kikongo aliokua nao bega kwa bega,akaondoka,na che aliuzwa na Castro baada ya Castro kupewa maelekezo na ma Wana zake, USSR
Kumbe kasto ndo alimuuza che Guevara
 
Hujamwelewa right way in life...
Ikiwa TU muungano uliozaa Tanzania Hadi Leo kero hazijaisha... What about the whole African continent? Hebu tuwe realistic
 
Hakuna point hapo mkuu, mwalimu alikua na kawaida ya kuhalalisha yake kwa hoja za kulazimisha,kudai kwame alitaka kuwa rais wakati muungano wenyewe ulikua kwenye hatua ya mdahalo,ni unafiki,ukizabizabina,haya huo muungano uko wapi Leo miaka 60 baadae?!.. Africa kuwa nchi moja ilikua tishio kwa mabeberu, mwalimu ndiye aliyeogopa kukosa mamlaka ya urais,huenda agenda zake zisingekua
Kweli ticha alizingua.
 
"Fidel Castro - Wikipedia" Fidel Castro - Wikipedia

Tukikwambia wewe mtupu uwe unakubali, Castro kapindua Cuba 1959, Tanganyika imepata uhuru 1961,che hakuwa mcuba,na alikuja kusaidia mapambano DRC,akavunjwa moyo na uzembe,ulevi na uzinzi wa askari wa kikongo aliokua nao bega kwa bega,akaondoka,na che aliuzwa na Castro baada ya Castro kupewa maelekezo na ma Wana zake, USSR
Wewe ndio mweupe unazani hizo harakati ziliamza 1959? Hivi unazani Che alitoa mafunzo kwa Congo DRC tuu? Castro hajawahi kumuuza Che ,hivi wewe unazani majarabio Mangapi waliyafanya west kumuangamiza Castro? Kwani hao askari wa Kikongo walikuwa wanaongozwa na nani? Na aliwekwa madarakani baada ya kumpindua nani? Hapo ndipo utajua Che alijua move ya Mobutu ndio maana choice yake ya kujificha ikawa Tz,sababu anajua wanaharakati wengi walikuwa wanakuja kujificha Tz.
Castro mpaka uzee wake US walikuwa wanamwinda

Che hakuwa Mcuba (Argentina),ila harakati zake Cuba ndizo zilizompa umaarufu, kwa vyama vingi vya ukombozi vya Afrika na Kusini mwa America. Nishaona documentary ya ukombozi wa Cuba,alikiwa bega kwa bega majoring na Castro,kwenye kuwaondoa Wakaloni na kuvirudisha viwanda vingi vikiwemo vya sukari.
 
Back
Top Bottom