Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
Sasa kama hoja ya mwalimu ilikua unafiki, ni kwann ya kwame iomekane ni genuine?Hakuna point hapo mkuu, mwalimu alikua na kawaida ya kuhalalisha yake kwa hoja za kulazimisha,kudai kwame alitaka kuwa rais wakati muungano wenyewe ulikua kwenye hatua ya mdahalo,ni unafiki,ukizabizabina,haya huo muungano uko wapi Leo miaka 60 baadae?!.. Africa kuwa nchi moja ilikua tishio kwa mabeberu, mwalimu ndiye aliyeogopa kukosa mamlaka ya urais,huenda agenda zake zisingekua
You're rightHakuna point hapo mkuu, mwalimu alikua na kawaida ya kuhalalisha yake kwa hoja za kulazimisha,kudai kwame alitaka kuwa rais wakati muungano wenyewe ulikua kwenye hatua ya mdahalo,ni unafiki,ukizabizabina,haya huo muungano uko wapi Leo miaka 60 baadae?!.. Africa kuwa nchi moja ilikua tishio kwa mabeberu, mwalimu ndiye aliyeogopa kukosa mamlaka ya urais,huenda agenda zake zisingekua
Kwani kumjua mwizi lazima na wewe uwe mwizi!?🤣🤣🤣 unaona sasa...
Alijuaje kama kibaraka kama yeye hakua kibaraka!. Hao woote walikua waarabu wa pemba , walijuana kwa viremba vyao
kama nakuelewa hivi.Hakuna point hapo mkuu, mwalimu alikua na kawaida ya kuhalalisha yake kwa hoja za kulazimisha,kudai kwame alitaka kuwa rais wakati muungano wenyewe ulikua kwenye hatua ya mdahalo,ni unafiki,ukizabizabina,haya huo muungano uko wapi Leo miaka 60 baadae?!.. Africa kuwa nchi moja ilikua tishio kwa mabeberu, mwalimu ndiye aliyeogopa kukosa mamlaka ya urais,huenda agenda zake zisingekua
Duh! Sikuwa nafahamu hilo kuwa Kwame aliwahi kumshutumu Mwalimu Nyerere kuwa ni kibaraka.Kwame hakuwa kibaraka,Ila alimshutumu mwalimu kuwa kibaraka
Nyerere naunga hoja alikuwa kibaraka wa malkiaKwame hakuwa kibaraka,Ila alimshutumu mwalimu kuwa kibaraka
I bet to my last dime, Nyerere was nobody's stooge!Rais wa Africa kununuliwa.., mi nadhani ni kawaida tu kwa sababu ya ujinga wa Mwafrica
Kiongozi wa Africa yuko tayari kuuza rasilimali kwa wageni kwa kupewa hongo na akasaini mkataba wa hatari
Wa miaka mia huku nchi yake ikipata 7% tu ya mradi huo
Unaona ajabu kwa kiongozi kununuliwa???
Kwa nyie watoto wa juzi ambao hamjui kusoma historia, nasikiaNyerere kuna wakati alienda kuonanan na Malkia , na Malkia akampa mkono akiwa amevaa gloves. Nyerere akampa kifimbo ndio asalimiane na Malkia, Malkia akaelewa haraka na kuvua gloves.Nyerere naunga hoja alikuwa kibaraka wa malkia
Waislamu hawampendi nyerere sijui kwaninikama nakuelewa hivi.
Huu uongo kama uongo mwingine wa vijiwe vya kawa uongooooooooooooooo.Kwa nyie watoto wa juzi ambao hamjui kusoma historia, nasikiaNyerere kuna wakati alienda kuonanan na Malkia , na Malkia akampa mkono akiwa amevaa gloves. Nyerere akampa kifimbo ndio asalimiane na Malkia, Malkia akaelewa haraka na kuvua gloves.
Vile vile kuna wakati Nyerere alifanya stop over London akitokea Marekani.
Waziri Mkuu wakati huo Margaret Thatcher akamtumia ujumbe kuwa akifika, aende Ofisini kwake waonane.
Alipofika Heathrow London, Mwalimu hakutoka Uwanja wa ndege, alipoulizwa kuwa anasubiriwa Ikulu ya Waziri Mkuu, Nyerere akamwambia aliyetumwa kuwa toka Airport kwenda Ikulu ni umbali ule ule toka Ikulu kwenda Airport, maana yake kwa nini yeye Margaret Tatcher kwa nini asije Airport tuonane. Airport za wenzetu zina vyumba Executive vya mikutano.
Hiyo ndiyo jeuri ya Mwalimi
Hapo mama Thatcher alilewa.
Nyerere was nobody's stooge!
Ukisoma historia ya ukweli ndiyo utaelewaWaislamu hawampendi nyerere sijui kwanini
Historia ya ukweli inasemaje ili nielewe?Ukisoma historia ya ukweli ndiyo utaelewa
Mfuatilie Mohammed SaidHistoria ya ukweli inasemaje ili nielewe?
Sio jambo la ajabu, unafikiri alinunuliwa Jana! Huyo yupo kwenye mfumo wa USA, tangu akiwa kijana wa, miaka 20+! Ni, kawaida tu, mpaka Leo, nyie vijana mnapoitwa na kupewa fulsa za, vijana viongozi kwenda USA kujifunza Mambo ya uongozi, mnafikiri USA, inafsnya hivyo kwa vile inawapenda? Acheni ujinga, don't be naive niggers! There is nothing like free lunch in this world!vile RL unfurl="true" media="youtube:uQ-a7d0leig"]
View: https://youtu.be/uQ-a7d0leig?si=KwxCAlbxJxtdeEwv[/URL]
Rais Tinubu wa Nigeria ni jasusi la CIA.
Kanunuliwa, yuko mfukoni.
Nimesikitika, nimeshangaa, nikakasirika, halafu nikaisikitikia Mama Afika.
Sikiliza na uone tulivyo bado watumwa.
Soma vitabu ujazwe hikma!Huu uongo kama uongo mwingine wa vijiwe vya kawa uongooooooooooooooo.
Kweli vijana wa sasa kusaliti nchi yao ni kama kawaida tu kwao.Sio jambo la ajabu, unafikiri alinunuliwa Jana! Huyo yupo kwenye mfumo wa USA, tangu akiwa kijana wa, miaka 20+! Ni, kawaida tu, mpaka Leo, nyie vijana mnapoitwa na kupewa fulsa za, vijana viongozi kwenda USA kujifunza Mambo ya uongozi, mnafikiri USA, inafsnya hivyo kwa vile inawapenda? Acheni ujinga, don't be naive niggers! There is nothing like free lunch in this world!