Uchaguzi 2020 Hivi ni haki kweli kwa akina Robert Amsterdam kuingilia uchaguzi mkuu wa nchi yetu? Je, tunaweza kuwashitaki kwenye mahakama za kimataifa?

Uchaguzi 2020 Hivi ni haki kweli kwa akina Robert Amsterdam kuingilia uchaguzi mkuu wa nchi yetu? Je, tunaweza kuwashitaki kwenye mahakama za kimataifa?

Jiwe nje ya mifumo ya dola(polisi+tiss),idara za serikali pamoja na tume ya uchaguzi,ambazo zinambeba ni mwepesi kuliko unyoya wa kuku.
Akitaka aone anashindwa uchaguzi saa 4 asubuhi ya tarehe 28,ajitoe huko.Kumlinganisha Lissu na Jiwe kwenye ulingo wa siasa ni sawa na kumfananisha ,"Tysoni"Lissu na "Matumla"Jiwe
Vice versa Magu ndio Tyson na Lissu ndio Matumla.
 
Ni kweli kama walivyosema kuwa uchaguzi wa mwaka huu ni wa kihistoria.Haijawahi kutokea huko nyuma, kwa uchaguzi mkuu wa nchi yetu kuingiliwa ki wazi wazi na watu wa nchi za nje wa aina ya akina Robert Amsterdam!

Sijui ingalikuwaje kama kila mgombea wa urais katika uchaguzi huu angalikuwa na Amsterdam wake kutoka mataifa yenye nguvu duniani; yakimprotect mgombea wao na kutishia kuwafikisha kwenye mahakama ya ICC wale wote watakaoonekana kuwa tishio la mgombea wao kupata ushindi.

Fikiria kama Benard Membe naye angalikuwa na Amstedam wake, kwa dhoruba alilolipata, Seif na Zitto wangalikuwa wanasubiri kufikishwa ICC!! Fikiria dhoruba wanayoipata akina Hashim Rungwe kwa kuzuiliwa kutoa ubwabwa kwenye kampeni zao, idadi ya watu wangaliofikishwa mahakama ya ICC wangalikuwa kiasi gani? Fikiria dhoruba wanayoipata akina Lipumba na kadhalika kwa kukosa mafuriko kwenye mikutano yao na kadhalika.

Huko kwa akina Amsterdam nchi nyingine hata kuhisiwa tu kama ilishiriki kuingilia uchaguzi wa nchi yao huwa ni jambo lisilokubalika. Tulishuhudia kasheshe iliyotokea kwa China na Urusi kuhisiwa kusaidia ushindi wa Trump katika uchaguzi mkuu wa Marekani wa mwaka 2016. Kasheshe hii hadi sasa haijaisha na wala Trump mambo ya ICC hayamuhusu.

Sasa jee tunaweza kuwashitaki kwenye mahakama za kimataifa hawa akina Robert Amsterdam ambao wazi wazi kabisa wameingilia uchaguzi mkuu wetu? Au sheria za kimataifa zinasema nini juu ya watu kama hawa?
mbona unaweweseka si serikali ina mwanasheria si ajibu hoja za robert hoja hujibiwa kwa hoja na sasa basi kisheria serikali ina mzigo wa kuthibitisha pasi na shaka kwa robert ni mwongo, kitu ambacho mpaka sasa serikali ipo kimya, ccm mshazoea vya kunyonga vya kuchinja hamuwezi
 
Uko sahihi.....
Hizo ni siasa za kizamani.Ukiwa mjamaa huwezi kuwa bilionea.Nyerere ni mjamaa halisi.Mpaka anaondoka madarakani hakuwa na mali.Alipoona Ujamaa umefeli duniani aliamua kuondoka.Hizo globalization,free trade,free economy,they are just "terminologies".Zote Zina akisi mifumo ya kibepari na kibeberu!
 
Lissu is something else I am glad idadi ya watanzania inaongezeka mtaani ambao wameanza kukerwa jinsi polisi wanavyocheka nae.
Usiseme watanzania sema takataka CCM wanakwerwa jinsi Polisi wanavyocheka nye...


Pathetic fool
 
Wameingiliaje uchaguzi?

Kuzungumzia ukweli ni kuingilia uchaguzi? Siku hizi hakuna uchaguzi wa peke yako, upeke yako unabaki katika kutiki tuu karatasi ya kura lakini mengine yanawahusu wote was ulinwengu huu.

Kama uliusoma ujumbe wa Balozi wa Marekani nadhani utakuwa umeelewa vizuri alimaanisha nini umuhimu wa uchaguzi wa TZ na mataifa yote ya East and Central.

Kukubali kunyamazia ujinga wa jirani kisha yale ya Rwanda au Burundi yanatokea kisha ndio wanajitokeza utakuwa upuuzi wa hali ya juu
ICC ni Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu inayotumika kushitaki uhalifu ikiwamo mauaji ya kimbari, uhalifu dhidi ya ubinadamu, uhalifu wa kivita.
Kwetu tutoe uhalifu wa Kimbari,Uhalifu wa Kivita tuweke Uhalifu wa kibinadamu(Human Rights Criminal) kimsingi Tundu Lissu anaiweka mtegoni Serikali kupitia jeshi la polisi na huo mchezo IGP kaustukia kwa maana atakaeanza kuivunja haki ya watu kuwatenda kinyume na sheria zetu atakuwa katenda kosa la jinai.
Labda Chadema wanahisi wanayo haki kuipinga tume kuwaambia wafuasi wake waingie barabarani au walinde kura kituoni kitendo ambacho sheria na kanuni za tume zinakataza sasa wakikamatwa au kupigwa Tundu hawezi kwenda Nertheland kushtaki lazima aanzie kwenye Mahakama zetu .

Mahakama ya ICC inakuwa na mamlaka pale mahakama za kitaifa zinapokataa ama zinaposhindwa kufanya uchunguzi ama kuendesha mashitaka juu ya uhalifu wa aina hii,na ukumbe pia kama Wasimamizi wa Uchaguzi wakapatwa na Uhalifu Chadema imekula kwao tutawafungulia mashtaka hapa hapa na itakuwa imekula kwao nahivi wana kesi zingine lukuki mbona watahama nchi.
Hivyo Amstadam lazima afungue shauri la Tundu na vithibitisho vyote kama kuna watu wameuwawa kwenye Mahakama yetu hawezi kwenda nje mpaka pale mahakama ya ndani isipotenda haki na mimi nasema hakuna Serikali duniani inaweza kuchekelea upumbavu wa Lissu tulieni mtaona uchaguzi ukiisha atakavyokuwa mpole huyu mjua kila kitu.
 
ICC ni Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu inayotumika kushitaki uhalifu ikiwamo mauaji ya kimbari, uhalifu dhidi ya ubinadamu, uhalifu wa kivita.
Kwetu tutoe uhalifu wa Kimbari,Uhalifu wa Kivita tuweke Uhalifu wa kibinadamu(Human Rights Criminal) kimsingi Tundu Lissu anaiweka mtegoni Serikali kupitia jeshi la polisi na huo mchezo IGP kaustukia kwa maana atakaeanza kuivunja haki ya watu kuwatenda kinyume na sheria zetu atakuwa katenda kosa la jinai.
Labda Chadema wanahisi wanayo haki kuipinga tume kuwaambia wafuasi wake waingie barabarani au walinde kura kituoni kitendo ambacho sheria na kanuni za tume zinakataza sasa wakikamatwa au kupigwa Tundu hawezi kwenda Nertheland kushtaki lazima aanzie kwenye Mahakama zetu .

Mahakama ya ICC inakuwa na mamlaka pale mahakama za kitaifa zinapokataa ama zinaposhindwa kufanya uchunguzi ama kuendesha mashitaka juu ya uhalifu wa aina hii,na ukumbe pia kama Wasimamizi wa Uchaguzi wakapatwa na Uhalifu Chadema imekula kwao tutawafungulia mashtaka hapa hapa na itakuwa imekula kwao nahivi wana kesi zingine lukuki mbona watahama nchi.
Hivyo Amstadam lazima afungue shauri la Tundu na vithibitisho vyote kama kuna watu wameuwawa kwenye Mahakama yetu hawezi kwenda nje mpaka pale mahakama ya ndani isipotenda haki na mimi nasema hakuna Serikali duniani inaweza kuchekelea upumbavu wa Lissu tulieni mtaona uchaguzi ukiisha atakavyokuwa mpole huyu mjua kila kitu.
Sheria na Kanuni ipi za tume zinakataza wananchi kulinda kura??
 
Vice versa Magu ndio Tyson na Lissu ndio Matumla.
Ninyi pamoja kina Bashiru+Polepole ndio mnampa bichwa Magu linaendelea kuvimba.Jamaa kisiasa mwepesi dola ndio inayomlinda.Kutumia dola ndio hatua ya mwisho kabisa ya kutetea uhai wa CCM.Dola ikifeli ndio kifo Cha mende Cha CCM!
 
Ni kweli kama walivyosema kuwa uchaguzi wa mwaka huu ni wa kihistoria.Haijawahi kutokea huko nyuma, kwa uchaguzi mkuu wa nchi yetu kuingiliwa ki wazi wazi na watu wa nchi za nje wa aina ya akina Robert Amsterdam!

Sijui ingalikuwaje kama kila mgombea wa urais katika uchaguzi huu angalikuwa na Amsterdam wake kutoka mataifa yenye nguvu duniani; yakimprotect mgombea wao na kutishia kuwafikisha kwenye mahakama ya ICC wale wote watakaoonekana kuwa tishio la mgombea wao kupata ushindi.

Fikiria kama Benard Membe naye angalikuwa na Amstedam wake, kwa dhoruba alilolipata, Seif na Zitto wangalikuwa wanasubiri kufikishwa ICC!! Fikiria dhoruba wanayoipata akina Hashim Rungwe kwa kuzuiliwa kutoa ubwabwa kwenye kampeni zao, idadi ya watu wangaliofikishwa mahakama ya ICC wangalikuwa kiasi gani? Fikiria dhoruba wanayoipata akina Lipumba na kadhalika kwa kukosa mafuriko kwenye mikutano yao na kadhalika.

Huko kwa akina Amsterdam nchi nyingine hata kuhisiwa tu kama ilishiriki kuingilia uchaguzi wa nchi yao huwa ni jambo lisilokubalika. Tulishuhudia kasheshe iliyotokea kwa China na Urusi kuhisiwa kusaidia ushindi wa Trump katika uchaguzi mkuu wa Marekani wa mwaka 2016. Kasheshe hii hadi sasa haijaisha na wala Trump mambo ya ICC hayamuhusu.

Sasa jee tunaweza kuwashitaki kwenye mahakama za kimataifa hawa akina Robert Amsterdam ambao wazi wazi kabisa wameingilia uchaguzi mkuu wetu? Au sheria za kimataifa zinasema nini juu ya watu kama hawa?
Hakuna anayeingilia uchaguzi wetu,uchaguzi wetu ni wa ovyo kabisa usio huru na haki.
Kati ya wagombea wote,mgombea mmoja yeye ndie kamteua refa,yeye ndie kateua wasimamizi wote wa uchaguzi.
Yeye ndio kateua Mkuu wa polisi ambaye hafanyi kitu mpaka aambiwe naye.
Vyombo vya habari vyote vimezuiwa kutangaza mambo ya wapinzani wake,ukitangaza tu,kesho TRA hawa hapa.
Kwa miaka mitano iliyopita,alizuia siasa kabisa,yeye kapiga kampeni tangu 2015,
 
Hapa duniani kuna sheria tu, haki iko mbinguni kwa Mwenyezi Mungu. Hivyo kwetu hapa duniani haki ni zile sheria tulizojitungia wenyewe kwenye bunge letu na haki za aina hiyo hupatikana mahakamani tu kama unaona au kuhisi hujatendewa haki.

Tume yetu iko huru kwa mjibu wa sheria zetu na katiba yetu. Kama unahisi haiko huru nenda kaidai mahakamani, vinginevyo utakuwa unataka kuleta vurugu na kuvunja amani yetu.
Naona kama wajinga Tanzania wanazidi kuongezeka badala ya kupungua na ndio maana IQ yetu ni miongoni mwa ndogo kabisa duniani..!!
 
Ni kweli kama walivyosema kuwa uchaguzi wa mwaka huu ni wa kihistoria.Haijawahi kutokea huko nyuma, kwa uchaguzi mkuu wa nchi yetu kuingiliwa ki wazi wazi na watu wa nchi za nje wa aina ya akina Robert Amsterdam!

Sijui ingalikuwaje kama kila mgombea wa urais katika uchaguzi huu angalikuwa na Amsterdam wake kutoka mataifa yenye nguvu duniani; yakimprotect mgombea wao na kutishia kuwafikisha kwenye mahakama ya ICC wale wote watakaoonekana kuwa tishio la mgombea wao kupata ushindi.

Fikiria kama Benard Membe naye angalikuwa na Amstedam wake, kwa dhoruba alilolipata, Seif na Zitto wangalikuwa wanasubiri kufikishwa ICC!! Fikiria dhoruba wanayoipata akina Hashim Rungwe kwa kuzuiliwa kutoa ubwabwa kwenye kampeni zao, idadi ya watu wangaliofikishwa mahakama ya ICC wangalikuwa kiasi gani? Fikiria dhoruba wanayoipata akina Lipumba na kadhalika kwa kukosa mafuriko kwenye mikutano yao na kadhalika.

Huko kwa akina Amsterdam nchi nyingine hata kuhisiwa tu kama ilishiriki kuingilia uchaguzi wa nchi yao huwa ni jambo lisilokubalika. Tulishuhudia kasheshe iliyotokea kwa China na Urusi kuhisiwa kusaidia ushindi wa Trump katika uchaguzi mkuu wa Marekani wa mwaka 2016. Kasheshe hii hadi sasa haijaisha na wala Trump mambo ya ICC hayamuhusu.

Sasa jee tunaweza kuwashitaki kwenye mahakama za kimataifa hawa akina Robert Amsterdam ambao wazi wazi kabisa wameingilia uchaguzi mkuu wetu? Au sheria za kimataifa zinasema nini juu ya watu kama hawa?
Robert Amsterdam sio nchi. Ni wskili au kampuni ya mawakili. Hajaingilia uchaguzi wetu. Yeye amepewa kazi na Tundu Lissu kusimamia masuala yake ya kisheria. Kila mtu/taasisi anayo haki ya kuwa na wakili kusimamia mambo yake kisheria.
 
ukitaka kuujua unafiki wa mabeberu tizama walichokifanya libya, baada ya kumng'oa waliemwita dictator leo miaka 9 libya bado haitamaniki, mzungu anapoleta choko choko usidhani anatetea haki no hapo analenga maslahi yake, kinyume na maslahi yake mzungu hawezi kukupenda
 
safari hii mkisema mmeibiwa kura. mje na data za wapi zimeibiwa ngapi na muweke ushahidi wa viambatanishi vilivyosainiwa na mawakala wenu.
 
Ni kweli kama walivyosema kuwa uchaguzi wa mwaka huu ni wa kihistoria.Haijawahi kutokea huko nyuma, kwa uchaguzi mkuu wa nchi yetu kuingiliwa ki wazi wazi na watu wa nchi za nje wa aina ya akina Robert Amsterdam!

Sijui ingalikuwaje kama kila mgombea wa urais katika uchaguzi huu angalikuwa na Amsterdam wake kutoka mataifa yenye nguvu duniani; yakimprotect mgombea wao na kutishia kuwafikisha kwenye mahakama ya ICC wale wote watakaoonekana kuwa tishio la mgombea wao kupata ushindi.

Fikiria kama Benard Membe naye angalikuwa na Amstedam wake, kwa dhoruba alilolipata, Seif na Zitto wangalikuwa wanasubiri kufikishwa ICC!! Fikiria dhoruba wanayoipata akina Hashim Rungwe kwa kuzuiliwa kutoa ubwabwa kwenye kampeni zao, idadi ya watu wangaliofikishwa mahakama ya ICC wangalikuwa kiasi gani? Fikiria dhoruba wanayoipata akina Lipumba na kadhalika kwa kukosa mafuriko kwenye mikutano yao na kadhalika.

Huko kwa akina Amsterdam nchi nyingine hata kuhisiwa tu kama ilishiriki kuingilia uchaguzi wa nchi yao huwa ni jambo lisilokubalika. Tulishuhudia kasheshe iliyotokea kwa China na Urusi kuhisiwa kusaidia ushindi wa Trump katika uchaguzi mkuu wa Marekani wa mwaka 2016. Kasheshe hii hadi sasa haijaisha na wala Trump mambo ya ICC hayamuhusu.

Sasa jee tunaweza kuwashitaki kwenye mahakama za kimataifa hawa akina Robert Amsterdam ambao wazi wazi kabisa wameingilia uchaguzi mkuu wetu? Au sheria za kimataifa zinasema nini juu ya watu kama hawa?
Watu wa kimataifa kama Amsterdam wanawasaidia nyie wajinga wa Africa kuondokana na tawala za kidikteta ambazo nyie kwa ujinga wenu mwingi hamna hata habari kwamba mnanyanyaswa. Ni sawa tu na misaada ya nchi zilizoendelea sio lazima misaada iwe fedha inaweza kuwa misaada ya kisheria, kitechnologia, kijeshi, etc
 
Back
Top Bottom