Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Vice versa Magu ndio Tyson na Lissu ndio Matumla.Jiwe nje ya mifumo ya dola(polisi+tiss),idara za serikali pamoja na tume ya uchaguzi,ambazo zinambeba ni mwepesi kuliko unyoya wa kuku.
Akitaka aone anashindwa uchaguzi saa 4 asubuhi ya tarehe 28,ajitoe huko.Kumlinganisha Lissu na Jiwe kwenye ulingo wa siasa ni sawa na kumfananisha ,"Tysoni"Lissu na "Matumla"Jiwe
mbona unaweweseka si serikali ina mwanasheria si ajibu hoja za robert hoja hujibiwa kwa hoja na sasa basi kisheria serikali ina mzigo wa kuthibitisha pasi na shaka kwa robert ni mwongo, kitu ambacho mpaka sasa serikali ipo kimya, ccm mshazoea vya kunyonga vya kuchinja hamuweziNi kweli kama walivyosema kuwa uchaguzi wa mwaka huu ni wa kihistoria.Haijawahi kutokea huko nyuma, kwa uchaguzi mkuu wa nchi yetu kuingiliwa ki wazi wazi na watu wa nchi za nje wa aina ya akina Robert Amsterdam!
Sijui ingalikuwaje kama kila mgombea wa urais katika uchaguzi huu angalikuwa na Amsterdam wake kutoka mataifa yenye nguvu duniani; yakimprotect mgombea wao na kutishia kuwafikisha kwenye mahakama ya ICC wale wote watakaoonekana kuwa tishio la mgombea wao kupata ushindi.
Fikiria kama Benard Membe naye angalikuwa na Amstedam wake, kwa dhoruba alilolipata, Seif na Zitto wangalikuwa wanasubiri kufikishwa ICC!! Fikiria dhoruba wanayoipata akina Hashim Rungwe kwa kuzuiliwa kutoa ubwabwa kwenye kampeni zao, idadi ya watu wangaliofikishwa mahakama ya ICC wangalikuwa kiasi gani? Fikiria dhoruba wanayoipata akina Lipumba na kadhalika kwa kukosa mafuriko kwenye mikutano yao na kadhalika.
Huko kwa akina Amsterdam nchi nyingine hata kuhisiwa tu kama ilishiriki kuingilia uchaguzi wa nchi yao huwa ni jambo lisilokubalika. Tulishuhudia kasheshe iliyotokea kwa China na Urusi kuhisiwa kusaidia ushindi wa Trump katika uchaguzi mkuu wa Marekani wa mwaka 2016. Kasheshe hii hadi sasa haijaisha na wala Trump mambo ya ICC hayamuhusu.
Sasa jee tunaweza kuwashitaki kwenye mahakama za kimataifa hawa akina Robert Amsterdam ambao wazi wazi kabisa wameingilia uchaguzi mkuu wetu? Au sheria za kimataifa zinasema nini juu ya watu kama hawa?
Hizo ni siasa za kizamani.Ukiwa mjamaa huwezi kuwa bilionea.Nyerere ni mjamaa halisi.Mpaka anaondoka madarakani hakuwa na mali.Alipoona Ujamaa umefeli duniani aliamua kuondoka.Hizo globalization,free trade,free economy,they are just "terminologies".Zote Zina akisi mifumo ya kibepari na kibeberu!
Usiseme watanzania sema takataka CCM wanakwerwa jinsi Polisi wanavyocheka nye...Lissu is something else I am glad idadi ya watanzania inaongezeka mtaani ambao wameanza kukerwa jinsi polisi wanavyocheka nae.
ICC ni Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu inayotumika kushitaki uhalifu ikiwamo mauaji ya kimbari, uhalifu dhidi ya ubinadamu, uhalifu wa kivita.Wameingiliaje uchaguzi?
Kuzungumzia ukweli ni kuingilia uchaguzi? Siku hizi hakuna uchaguzi wa peke yako, upeke yako unabaki katika kutiki tuu karatasi ya kura lakini mengine yanawahusu wote was ulinwengu huu.
Kama uliusoma ujumbe wa Balozi wa Marekani nadhani utakuwa umeelewa vizuri alimaanisha nini umuhimu wa uchaguzi wa TZ na mataifa yote ya East and Central.
Kukubali kunyamazia ujinga wa jirani kisha yale ya Rwanda au Burundi yanatokea kisha ndio wanajitokeza utakuwa upuuzi wa hali ya juu
Baada ya uchaguzi beberu Amsterdam atachukua jike lake wataondoka. Hapo utajua kwanini Amsterdam anahangaika nae.Kwahiyo Amsterdam amekuingilia?
Endeleeni kuotaIjumaa sio mbali ‘hayawi hayawi,.....’ Magufuli anashinda asubuhi na mapema. Tuone Lissu na Amsterdam watafanya nini.
Sheria na Kanuni ipi za tume zinakataza wananchi kulinda kura??ICC ni Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu inayotumika kushitaki uhalifu ikiwamo mauaji ya kimbari, uhalifu dhidi ya ubinadamu, uhalifu wa kivita.
Kwetu tutoe uhalifu wa Kimbari,Uhalifu wa Kivita tuweke Uhalifu wa kibinadamu(Human Rights Criminal) kimsingi Tundu Lissu anaiweka mtegoni Serikali kupitia jeshi la polisi na huo mchezo IGP kaustukia kwa maana atakaeanza kuivunja haki ya watu kuwatenda kinyume na sheria zetu atakuwa katenda kosa la jinai.
Labda Chadema wanahisi wanayo haki kuipinga tume kuwaambia wafuasi wake waingie barabarani au walinde kura kituoni kitendo ambacho sheria na kanuni za tume zinakataza sasa wakikamatwa au kupigwa Tundu hawezi kwenda Nertheland kushtaki lazima aanzie kwenye Mahakama zetu .
Mahakama ya ICC inakuwa na mamlaka pale mahakama za kitaifa zinapokataa ama zinaposhindwa kufanya uchunguzi ama kuendesha mashitaka juu ya uhalifu wa aina hii,na ukumbe pia kama Wasimamizi wa Uchaguzi wakapatwa na Uhalifu Chadema imekula kwao tutawafungulia mashtaka hapa hapa na itakuwa imekula kwao nahivi wana kesi zingine lukuki mbona watahama nchi.
Hivyo Amstadam lazima afungue shauri la Tundu na vithibitisho vyote kama kuna watu wameuwawa kwenye Mahakama yetu hawezi kwenda nje mpaka pale mahakama ya ndani isipotenda haki na mimi nasema hakuna Serikali duniani inaweza kuchekelea upumbavu wa Lissu tulieni mtaona uchaguzi ukiisha atakavyokuwa mpole huyu mjua kila kitu.
Ninyi pamoja kina Bashiru+Polepole ndio mnampa bichwa Magu linaendelea kuvimba.Jamaa kisiasa mwepesi dola ndio inayomlinda.Kutumia dola ndio hatua ya mwisho kabisa ya kutetea uhai wa CCM.Dola ikifeli ndio kifo Cha mende Cha CCM!Vice versa Magu ndio Tyson na Lissu ndio Matumla.
Wewe ndugu upige kura ubaki kituoni hiyo ni kazi yako.?Sheria na Kanuni ipi za tume zinakataza wananchi kulinda kura??
Nimekwambiaje weka kifungu hicho cha sheria ya tume kinachosema mwananchi hapaswi kulinda kuraWewe ndugu upige kura ubaki kituoni hiyo ni kazi yako.?
Hakuna anayeingilia uchaguzi wetu,uchaguzi wetu ni wa ovyo kabisa usio huru na haki.Ni kweli kama walivyosema kuwa uchaguzi wa mwaka huu ni wa kihistoria.Haijawahi kutokea huko nyuma, kwa uchaguzi mkuu wa nchi yetu kuingiliwa ki wazi wazi na watu wa nchi za nje wa aina ya akina Robert Amsterdam!
Sijui ingalikuwaje kama kila mgombea wa urais katika uchaguzi huu angalikuwa na Amsterdam wake kutoka mataifa yenye nguvu duniani; yakimprotect mgombea wao na kutishia kuwafikisha kwenye mahakama ya ICC wale wote watakaoonekana kuwa tishio la mgombea wao kupata ushindi.
Fikiria kama Benard Membe naye angalikuwa na Amstedam wake, kwa dhoruba alilolipata, Seif na Zitto wangalikuwa wanasubiri kufikishwa ICC!! Fikiria dhoruba wanayoipata akina Hashim Rungwe kwa kuzuiliwa kutoa ubwabwa kwenye kampeni zao, idadi ya watu wangaliofikishwa mahakama ya ICC wangalikuwa kiasi gani? Fikiria dhoruba wanayoipata akina Lipumba na kadhalika kwa kukosa mafuriko kwenye mikutano yao na kadhalika.
Huko kwa akina Amsterdam nchi nyingine hata kuhisiwa tu kama ilishiriki kuingilia uchaguzi wa nchi yao huwa ni jambo lisilokubalika. Tulishuhudia kasheshe iliyotokea kwa China na Urusi kuhisiwa kusaidia ushindi wa Trump katika uchaguzi mkuu wa Marekani wa mwaka 2016. Kasheshe hii hadi sasa haijaisha na wala Trump mambo ya ICC hayamuhusu.
Sasa jee tunaweza kuwashitaki kwenye mahakama za kimataifa hawa akina Robert Amsterdam ambao wazi wazi kabisa wameingilia uchaguzi mkuu wetu? Au sheria za kimataifa zinasema nini juu ya watu kama hawa?
Naona kama wajinga Tanzania wanazidi kuongezeka badala ya kupungua na ndio maana IQ yetu ni miongoni mwa ndogo kabisa duniani..!!Hapa duniani kuna sheria tu, haki iko mbinguni kwa Mwenyezi Mungu. Hivyo kwetu hapa duniani haki ni zile sheria tulizojitungia wenyewe kwenye bunge letu na haki za aina hiyo hupatikana mahakamani tu kama unaona au kuhisi hujatendewa haki.
Tume yetu iko huru kwa mjibu wa sheria zetu na katiba yetu. Kama unahisi haiko huru nenda kaidai mahakamani, vinginevyo utakuwa unataka kuleta vurugu na kuvunja amani yetu.
Robert Amsterdam sio nchi. Ni wskili au kampuni ya mawakili. Hajaingilia uchaguzi wetu. Yeye amepewa kazi na Tundu Lissu kusimamia masuala yake ya kisheria. Kila mtu/taasisi anayo haki ya kuwa na wakili kusimamia mambo yake kisheria.Ni kweli kama walivyosema kuwa uchaguzi wa mwaka huu ni wa kihistoria.Haijawahi kutokea huko nyuma, kwa uchaguzi mkuu wa nchi yetu kuingiliwa ki wazi wazi na watu wa nchi za nje wa aina ya akina Robert Amsterdam!
Sijui ingalikuwaje kama kila mgombea wa urais katika uchaguzi huu angalikuwa na Amsterdam wake kutoka mataifa yenye nguvu duniani; yakimprotect mgombea wao na kutishia kuwafikisha kwenye mahakama ya ICC wale wote watakaoonekana kuwa tishio la mgombea wao kupata ushindi.
Fikiria kama Benard Membe naye angalikuwa na Amstedam wake, kwa dhoruba alilolipata, Seif na Zitto wangalikuwa wanasubiri kufikishwa ICC!! Fikiria dhoruba wanayoipata akina Hashim Rungwe kwa kuzuiliwa kutoa ubwabwa kwenye kampeni zao, idadi ya watu wangaliofikishwa mahakama ya ICC wangalikuwa kiasi gani? Fikiria dhoruba wanayoipata akina Lipumba na kadhalika kwa kukosa mafuriko kwenye mikutano yao na kadhalika.
Huko kwa akina Amsterdam nchi nyingine hata kuhisiwa tu kama ilishiriki kuingilia uchaguzi wa nchi yao huwa ni jambo lisilokubalika. Tulishuhudia kasheshe iliyotokea kwa China na Urusi kuhisiwa kusaidia ushindi wa Trump katika uchaguzi mkuu wa Marekani wa mwaka 2016. Kasheshe hii hadi sasa haijaisha na wala Trump mambo ya ICC hayamuhusu.
Sasa jee tunaweza kuwashitaki kwenye mahakama za kimataifa hawa akina Robert Amsterdam ambao wazi wazi kabisa wameingilia uchaguzi mkuu wetu? Au sheria za kimataifa zinasema nini juu ya watu kama hawa?
Watu wa kimataifa kama Amsterdam wanawasaidia nyie wajinga wa Africa kuondokana na tawala za kidikteta ambazo nyie kwa ujinga wenu mwingi hamna hata habari kwamba mnanyanyaswa. Ni sawa tu na misaada ya nchi zilizoendelea sio lazima misaada iwe fedha inaweza kuwa misaada ya kisheria, kitechnologia, kijeshi, etcNi kweli kama walivyosema kuwa uchaguzi wa mwaka huu ni wa kihistoria.Haijawahi kutokea huko nyuma, kwa uchaguzi mkuu wa nchi yetu kuingiliwa ki wazi wazi na watu wa nchi za nje wa aina ya akina Robert Amsterdam!
Sijui ingalikuwaje kama kila mgombea wa urais katika uchaguzi huu angalikuwa na Amsterdam wake kutoka mataifa yenye nguvu duniani; yakimprotect mgombea wao na kutishia kuwafikisha kwenye mahakama ya ICC wale wote watakaoonekana kuwa tishio la mgombea wao kupata ushindi.
Fikiria kama Benard Membe naye angalikuwa na Amstedam wake, kwa dhoruba alilolipata, Seif na Zitto wangalikuwa wanasubiri kufikishwa ICC!! Fikiria dhoruba wanayoipata akina Hashim Rungwe kwa kuzuiliwa kutoa ubwabwa kwenye kampeni zao, idadi ya watu wangaliofikishwa mahakama ya ICC wangalikuwa kiasi gani? Fikiria dhoruba wanayoipata akina Lipumba na kadhalika kwa kukosa mafuriko kwenye mikutano yao na kadhalika.
Huko kwa akina Amsterdam nchi nyingine hata kuhisiwa tu kama ilishiriki kuingilia uchaguzi wa nchi yao huwa ni jambo lisilokubalika. Tulishuhudia kasheshe iliyotokea kwa China na Urusi kuhisiwa kusaidia ushindi wa Trump katika uchaguzi mkuu wa Marekani wa mwaka 2016. Kasheshe hii hadi sasa haijaisha na wala Trump mambo ya ICC hayamuhusu.
Sasa jee tunaweza kuwashitaki kwenye mahakama za kimataifa hawa akina Robert Amsterdam ambao wazi wazi kabisa wameingilia uchaguzi mkuu wetu? Au sheria za kimataifa zinasema nini juu ya watu kama hawa?