Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

Aki hyo mistari mbona kama najiona naingia kingi kirahisi! Akati me nataka nikusumbue sumbue kidogo, nione uvumilivu wako.
Au ndo utatoka ndukii🏃🏃🏃
 
Aki hyo mistari mbona kama najiona naingia kingi kirahisi! Akati me nataka nikusumbue sumbue kidogo, nione uvumilivu wako.
Au ndo utatoka ndukii🏃🏃🏃
Ha ha! Unahitaji upako gani kujua Mimi ni wako wa enzi..?
Nitumie lugha ipi ili ujue nakupenda kushinda mapenzi..?

Usitie dukuduku mimi sio upupu!
Sikudanganyi kwa supu,Bali kwa huba maradufu😘
Usiogope kusema ndio hautapoteza uzio!
Siteti mengi usije niona mshenzi!
Ila mimi ndo kenzy mwenye huba lisilo mawenzi😉
 

Umeamua kuja kunisema hadharani 🤣🤣🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nmefall inlove na hyo mistari😍, hayo mengine tutaongea chemba basi😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…