Aki hyo mistari mbona kama najiona naingia kingi kirahisi! Akati me nataka nikusumbue sumbue kidogo, nione uvumilivu wako.Vumbi lanini..?
Mbona unataka kunijazia watu..??
Haya ni mambo ya wawili na humalizwa kwa uwili!
Unataka kutia ndimu kwenye asali utakosa utamu!
Kaka yako wa hiari kanirithisha mali..
Niwe wako wa hiari niachane na kina mwajuma shomari😉
Usiitapakaze bahati lawama,ukaja vunja kioo kwa kuchutama..
Ila wewe mpaka nitakuwowa sio kwa kunifatilia huku😜
Yapi hayoMie huwa nina majibu yangu fulani ya kuwakimbiza watu, ila asante kupitia huu uzi wako nimejifunza na mengine ya nyongeza.
[emoji16][emoji16] yangu au niliyojifunzaYapi hayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mie huwa nina majibu yangu fulani ya kuwakimbiza watu, ila asante kupitia huu uzi wako nimejifunza na mengine ya nyongeza.
Mkuu umetoa mwongozo [emoji23],Hayo majina mengine nimeyaweka maalumu kumuita mtu ninayempenda..Ila mkuu na kiongozi ndio za watu wa kawaida.
Hua naanza pm Mambo kiongozi.?
[emoji16][emoji16][emoji16]
Ha ha! Unahitaji upako gani kujua Mimi ni wako wa enzi..?Aki hyo mistari mbona kama najiona naingia kingi kirahisi! Akati me nataka nikusumbue sumbue kidogo, nione uvumilivu wako.
Au ndo utatoka ndukii🏃🏃🏃
Ukifanyie kazi Sasa[emoji3526]Ila wewe mpaka nitakuwowa sio kwa kunifatilia huku[emoji12]
Ahsanteni kwa kuona kile ambacho mi sikioni..
Hi guys,
Nimekumbuka hii ujinga Leo nikaishia kucheka.! Kuna wale watu huwa wanakuja PM kwa mbwembwe kibao, mrembo mrembo nyingi mara mtoto mzuri, (wanadanganyika na avatar obviously) lakini vile huja kupotea ndo wanashangaza na jukwaani unawaona unaishia tu kucheka hiiii'...!!
Huyu wa kwanza alikuja mbwembwe kibao, akauliza umri nikajibu 41, hajawahi kurudi na hata hiyo PM hakujibu, akajionea tu hii kikongwe nimetokana nayo wapi? akatoka ndukii akaniachia mpaka vumbi walaqhi'..!!
Huyu mwingine naye kaja na mbwembwe kama ngombea wa uenyekiti wa Vicoba, akataka kujua nipo wapi, nikamtajia kijiji ambacho hakipo hata kwenye ramani ya Tanzania, akajibu tu 'I thought upo dar nikutafute, nice day', akanipotezea mazima, nikaona ile namna wa mikoani hutengwa waziwazi, hahaa.!!
Huyu mwingine naye eti akaniongelesha busara siku mbili tatu,story za hapa na pale, baadaye akataka kujua nafanya kazi gani, nikamjibu mkulima, I swear mpaka Leo akanipotezea na ile PM hakujibu na huku jukwaani tunakutana zetu kiroho safi,
Hivyo kila nikionaga ID ya miminimkulimaakachekasana naishiaga tu kucheka, huwa natamani iwe 'miminimkulimaetiakanichunia'..!
Hivii huwa mnakutana nahizi sarakasi ama hizi ni kwa ajili yetu tu sisi wabarikiwa?
#nohardfeelings# tupunguze tu stress za corona,
Stay safe guys..!!
Afu nyie mafala wenye avatar kama hizi ndo huwa mnakulanga madem wetu wa jf umu
A we kazi bongo!
Yako ili tuongeze mbinu[emoji16][emoji16] yangu au niliyojifunza
[emoji23][emoji23][emoji23]
Si ndiyo hapo Sasa..nikionaga I'd yake nacheekaaa
Rafiki mpendwa kwema
Hii fursa nzuri, ila me napenda mtu anianze yeye bana. Ndo naskiaga raha et[emoji847]
Unataka ukifanyie wapi kazi?A we kazi bongo!
Sitegemei na wala sijui naanzia wapi!![emoji23]
Nmefall inlove na hyo mistari😍, hayo mengine tutaongea chemba basi😂😂Ha ha! Unahitaji upako gani kujua Mimi ni wako wa enzi..?
Nitumie lugha ipi ili ujue nakupenda kushinda mapenzi..?
Usitie dukuduku mimi sio upupu!
Sikudanganyi kwa supu,Bali kwa huba maradufu😘
Usiogope kusema ndio hautapoteza uzio!
Siteti mengi usije niona mshenzi!
Ila mimi ndo kenzy mwenye huba lisilo mawenzi😉