Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

Cc: Bazazi
 
jaman naomba kujua maana ya pm au ndo ile post meridian.... Msaada plz
 
Lol, binadamu hatupo sawa kimawazo/kimtazamo. Kutokufanya kitu wengi wanachokifanya haimaanishi mimi ni mshamba au kufanya kitu wengi wanachokifanya hapanifanyi kuwa mjanja.
Utani nimeupokea Next Man.
Hahahahh huo ni mtazamo wako (Mzuri)
Lakini ushamba kama ushamba utaendelea kuwepo katika Aspect Nyingi tu za Maisha. Ndio mana ata hilo neno ushamba Lipo. Ni vizur sana wewe kutojiona Mshamba, Endelea kupokea utani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…