Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

Uliwakubalia walicho taka?Sio unaraumu tu!
 
Sasa hao wanaotaka wafuatwe na wanaowataka, wanajuaje anayemkataa sio yule anayemtaka, wakati kuna multiple IDs?
 
Teh mkuu siyo wewe uliyesema mwanamke wa JF kumfuata pm ni hadi ukuwe na mazoea naye jukwaani, sasa mbona mimi sikumbuki kama tuna mazoea eti jamani.

Au id yako nyingine ni ipi kwani ??
ID yangu ni hii hii. Nataka kuja ili nifanye research juu ya mbinu nyingine na nije kutoa ushuhuda hapa juu ya majibu ntakayopewa katika kuchangia uzi Kama unavyohitaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…