Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

Hivi ni jibu gani uliwahi mpa mtu PM akakuchunia mazima?

hahahaha[emoji23] umetisha yani unamuita mtoto mzuri kiongozi, mimi kuna majina yameshashindwa kutoka mdomoni kwangu mfano Dada, hakuna mwanamke namuita dada its either nimuite jina lake au nimuite Dear,Baby nk


Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo majina mengine nimeyaweka maalumu kumuita mtu ninayempenda..Ila mkuu na kiongozi ndio za watu wa kawaida.
Hua naanza pm Mambo kiongozi.?
😁😁😁
 
Back
Top Bottom